makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ni wakulima Tena unapotaja wakulima wa Mbazi na Mahindi Kiteto ni watu wa ukanda Moja kuanzia Kondoa Hadi Kiteto niUmeweka gharama za labor, warehouse, chakula na malazi? Au ukifika Dar tu unauza juu ya gari unarudi kwenu?
Hizi mbazi zinatofautiana ubora mbazi ya Kusini ni Tofauti na Mbazi za Kiteto na Kondoa huwa zipo juu sokoni.Juzi nimeona kwenye taarifa ya habari, nadhani ni utv wale,wenzao lindi wanasifia bei ya 1950.
Ila nilipoona wasifiaji wamevaa nguo za kijani na njano, nikapata mashaka na habari ile.😂🤣
Gharama anazochajiwa mnunuzi mbazi Wilayani Kiteto ni zaidi ya Tshs 160/ unaambiwa Hadi Kuna tozo ya mtunza ghala Tshs Kwa kg 40/, Vyama vya ushirika, mifumo, Halimashauri, Na hao hakuna kitu chochote walichomsadia mkulima,,
Tunataka kufahamu mchango wao kwenye sector ya kilimo Kwa Kiteto.
Wakulima wa Mbazi Leo Tena saa 4 asubuhi watakutana na Mkuu wa Wilaya Kiteto kujuwa Hatima ya Mbazi zao. msimamo wao Bado upo pale pale ama wapewe Bei nzuri au Kibali Cha kusafirisha Mbazi Zetu kwenda kwenye Soko la Dar es salaam
Hao "watu" unaotaka wapewe vibali vya kusafirisha mbaazi kupeleka Dar ni wakulima au madalali?
Juzi nimeona kwenye taarifa ya habari, nadhani ni utv wale,wenzao lindi wanasifia bei ya 1950.
Ila nilipoona wasifiaji wamevaa nguo za kijani na njano, nikapata mashaka na habari ile.[emoji23][emoji1787]
Wakulima wakubwa Wana mashamba yanayontesha hizo mbazi zimetoka Shambani , mtu ana trekta mbili ama tatu atakosaji mbazi kuanzia Gunia 200 kwenda mbeleHao "watu" unaotaka wapewe vibali vya kusafirisha mbaazi kupeleka Dar ni wakulima au madalali?
Dalali Wa Dar es salaam commission yake ni 10/ Kwa kg, na anasema mwanzo mwisho upande wa mkulimaKwahiyo dalali Malick atakuuzia kwa 2,400 na kukutumia net bila kuweka commission yake?
ooh sawa...sasa mbona kuna watu huwa wanasema eti Dodoma ni Jangwa mahindi hayastawi🤣🤣Hizi mbazi zinatofautiana ubora mbazi ya Kusini ni Tofauti na Mbazi za Kiteto na Kondoa huwa zipo juu sokoni.
Hata kwenye Mahindi ya Kiteto na Dodoma ni Bei Juu sokoni kuliko ya Handeni Tanga
Zile nyany za Ali Hapi si zitaoza?Mnada huo ambao ulitarajiwa kufanyika toka Jumanne, uliahirishwa mara mbili na hatimaye kufanyika Alhamisi 14/09. Wakulima zao la Mbaazi, walishangazwa na bei ya mnada kuwa chini kuliko matarajio.
Kwa masikitiko makubwa walitangaziwa Bei ya Tshs 2190/ Ukiniunganisha na Bei ya Mbaazi Kwa soko la Dar es salaam ambayo inauzwa Kwa Tshs 2400/ na zaidi
Tunaomba Serikali ingilie kati hili suala la Wakulima wa MBAAZI Kibaya - Kiteto
Tunaomba Bei ikiwa chini ya Tshs 2350/ kwa KG Moja basi watu wapewe kibali cha kusafirisha kupeleka Dar es Salaam
Mazao ni yako bado uombe kibali cha kuyauzaTunaomba Bei ikiwa chini ya Tshs 2350/ kwa KG Moja basi watu wapewe kibali cha kusafirisha kupeleka Dar es Salaam
Hakuna majibu wanasema lazima kuuza Kwa hiyo Bei 2130/ Hadi 2150 Kwa kgMkuu kikao cha leo majibu vip
Hakuna tatizo kwa mkulima kupewa kibali cha kuuza hata nje ya nchi, kinachotakiwa ni utaratibu tu ili wakulima wasijiharibie wenyewe bei na soko.Wakulima wakubwa Wana mashamba yanayontesha hizo mbazi zimetoka Shambani , mtu ana trekta mbili ama tatu atakosaji mbazi kuanzia Gunia 200 kwenda mbele
Mada hapa ni mbaazi.Wakirudisha Kadi Za Chama Dollar Tunapandisha Bei
wababaishaji tu hao juzi walitangaza mnada utafinyika community centre kutokana na bei kiduchu watu wakagoma,baadaye wakabadili gia oh mnada utafanyika sleepway kwa mama tanesco cjui ni akili gani hii, au mama tanesco ndo ataongeza dauMnada huo ambao ulitarajiwa kufanyika toka Jumanne, uliahirishwa mara mbili na hatimaye kufanyika Alhamisi 14/09. Wakulima zao la Mbaazi, walishangazwa na bei ya mnada kuwa chini kuliko matarajio.
Kwa masikitiko makubwa walitangaziwa Bei ya Tshs 2190/ Ukiniunganisha na Bei ya Mbaazi Kwa soko la Dar es salaam ambayo inauzwa Kwa Tshs 2400/ na zaidi
Tunaomba Serikali ingilie kati hili suala la Wakulima wa MBAAZI Kibaya - Kiteto
Tunaomba Bei ikiwa chini ya Tshs 2350/ kwa KG Moja basi watu wapewe kibali cha kusafirisha kupeleka Dar es Salaam