sure sipendi kuomba ela na sijui
ila kama hajiongezi yeye
TUKIWA NA FAMILIA ITAKUAJE??
nakwambiaje
kama mwanaume hajiongezi hata kukuletea chupi au lolote lile
HIVI ATALEAJE FAMILIA?????
mwanamke ana siku nyinhi sana katika mwaka ambazo hafanyi kazi ikowemo kubeba mimba na period so hata kama anafanya kazi lazima ahudumiwe
na sio mpaka umuombe
kwani wengine inakuaje?
Kuhudumia huja automaticaly pale ur lady anapo kutrit like a KING nawe unamfanya QUEEN wako, otherwise tutatoana out, kula na kunywa no special treatmnt
jiepushe na mwanaume ambaye kwenye mahusiano ya kawaida hujui matumizi ya pesa yake. mkiingia kwenye ndoa utajikuta unanunua maji ya kuoga kunywa, chakula cha familia, pampers za mtoto mpaka kujenga nyumba!
Mkuu kwani huwa mnafanyana mkiwa kwenye kiza? taa lazma iwashwe
ur raiit
Siyo suala la giza au mwanga..., hebu fikiria mko katikati mtu anaanza kuzungumzia suala la Mimba, eti ukinipa mimba utanioa kweli...,
hahahaha...,....
unacheka badala ulie..., hiyo inaonyesha mwenzako hana hata hisia, yupo kimaslahi tu..., mara unaanza kufikiria nimetegeshwa nn......, stimu kwishaaaaaaaa
Sasa tusaidianeje....??
mapepe kivipi
Yani mimi ndo source.. Unakuta tupo faragha au hata kama sio faragha from nowhere tu naanzisha mada yakukera kera tu inataka stimu kabisa na kuharibu hali ya hewa anakereka inakua kaugomvi flani
sio vizuri
badilika
aiaee sasa mnatumiaga ipi
arikaaaa mwanayaee ni kigo cha cocroach tu
oooh
Kifo cha mende tu mwanzo mwenga"
nakwambiaje
kama mwanaume hajiongezi hata kukuletea chupi au lolote lile
HIVI ATALEAJE FAMILIA?????
mwanamke ana siku nyinhi sana katika mwaka ambazo hafanyi kazi ikowemo kubeba mimba na period so hata kama anafanya kazi lazima ahudumiwe
na sio mpaka umuombe
kuomba pesa kabla na baada ya tendo ni tatizo kubwa ila ni bora baada ya .kucheleweshwa kukataa kwa makusudi alafu baadae ukubali ni tatizo jingine .kutaka ubembelezwe kupita kiasi kunaboa ,
.kujifanya uko bizzy na mambo mengine mfano simu chatting wakati unajua ni muda wa tukio ni ushamba ,kuahirisha ,kusingizia unaumwa na ma uko period kumbe uongo ni tatizo kubwa .
kusema mi sijisikii ukibembelezwa ndo unazidisha mapozi inakera. ningeolozesha mengi lakini hakuna lililonikuta kati ya hayo#
sure sipendi kuomba ela na sijui
ila kama hajiongezi yeye
TUKIWA NA FAMILIA ITAKUAJE??