establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
Kataaa ndoaNimeoa miaka kadhaa iliyopita. Sasa unaweza ukawa unauliza kitu simple tu kwa wife (mfano ikiwa kakuandalia nguo za safari, Kama ameweza kwenda kufuatilia ulichomuagiza asubuhi).
Aisee yatamtoka maneno Hadi unajuta kuuliza hata Kwa nini ulioa.
NB: vijana chukueni tahadhari maije kukumbatia bomu kama Kaka zenu. Ndoa si lelemama.
Ikiwa wewe uliye ndani umesema hivi sisi ni nani Tupinge.Nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Sasa unaweza ukawa unauliza kitu simple tu kwa wife (mfano ikiwa kakuandalia nguo za safari, Kama ameweza kwenda kufuatilia ulichomuagiza asubuhi).
Aisee yatamtoka maneno Hadi unajuta kuuliza hata Kwa nini ulioa.
NB: vijana chukueni tahadhari msije kukumbatia bomu kama Kaka zenu. Ndoa si lelemama.
Ajakuelewa,watu hawajui kwamba mafundi wapoMpeleke kwa fundi utanishukuru mim sarbufa langu lilikua linakoroma tu usiku ila fundi kaliweka good now nakula vinanda tu......
Si achepuke kimya kimya kwann apaniki.mwanamke kuwa mkali/kupanic kwa vitu vidogo vidogo huwa ni ishara kuwa anachepuka
Pia asili uchangia uenda ni matokeo ya malezi mabovu, binti na mama yake mzazi hawapishani malezi.Hapo ni lazima utatuambia kua kipindi chenu cha uchumba alikua ni mwanamke mtiifu na mpole sana kwako. So ni wazi amekuja kwako akihitaji tu ile heshima ya ndoa, na ameshaipata. Kwahyo ameshaizoea ndoa na ameona hakuna jipya. Ni point of no return, mkiachana pasu kwa pasu itawahusu na obviously mnufaika mkubwa atakua ni yeye.
Kama nilivyosema, amefata heshima ya ndoa kwako lakini wewe haukua mwanaume wa ndoto zake. Yupo ex wake ambae alitegemea amuoe lkn ilishindika. Na sasa wameshaanza kukumbushiana ya zamani. Au kuna njemba imemtongoza, kimuonekano na personality amekuzidi. Kwahyo kila unalomsemesha anakuona kero tu (akijaribu kukulinganisha na hayo majamaa)
Lakini pia huenda hautimizi majukumu yako kisawasawa ndani ya nyumba. Anza kijitafakari. Unampekelea moto kisawasawa kama ulivyokua unafanya miaka ya nyuma? Huduma za msingi nyumbani zinapatikana? Kama moto hauwashwi vizuri kama zamani (hii hua inatokea ukimzoea sana mwanamke, na mwanaume umri ukiwa umesogea) basi point ya juu itakua inahusika, yaani amesharudiana na ex au kuna njemba kaipata inamkaza kisawasawa ndio maana anakuletea madharau.
Anyway wamakonde husemaga dawa ya mwananke ni mwananke mwenzake [emoji850].
Malaya labda umpelekee moto wa gesi.Kama mke utampelekea motooo kisawa sawa na hela unampa hana makelele na mumewe. Ila kama mume kimoja chalii na hela hana pole yako🤣🤣
Una akili nyingi sana kongole kwako 🔥🔥🔥🔥🔥Hapo ni lazima utatuambia kua kipindi chenu cha uchumba alikua ni mwanamke mtiifu na mpole sana kwako. So ni wazi amekuja kwako akihitaji tu ile heshima ya ndoa, na ameshaipata. Kwahyo ameshaizoea ndoa na ameona hakuna jipya. Ni point of no return, mkiachana pasu kwa pasu itawahusu na obviously mnufaika mkubwa atakua ni yeye.
Kama nilivyosema, amefata heshima ya ndoa kwako lakini wewe haukua mwanaume wa ndoto zake. Yupo ex wake ambae alitegemea amuoe lkn ilishindika. Na sasa wameshaanza kukumbushiana ya zamani. Au kuna njemba imemtongoza, kimuonekano na personality amekuzidi. Kwahyo kila unalomsemesha anakuona kero tu (akijaribu kukulinganisha na hayo majamaa)
Lakini pia huenda hautimizi majukumu yako kisawasawa ndani ya nyumba. Anza kijitafakari. Unampekelea moto kisawasawa kama ulivyokua unafanya miaka ya nyuma? Huduma za msingi nyumbani zinapatikana? Kama moto hauwashwi vizuri kama zamani (hii hua inatokea ukimzoea sana mwanamke, na mwanaume umri ukiwa umesogea) basi point ya juu itakua inahusika, yaani amesharudiana na ex au kuna njemba kaipata inamkaza kisawasawa ndio maana anakuletea madharau.
Anyway wamakonde husemaga dawa ya mwananke ni mwananke mwenzake [emoji850].
Ni kweli kabisaNimeoa miaka kadhaa iliyopita. Sasa unaweza ukawa unauliza kitu simple tu kwa wife (mfano ikiwa kakuandalia nguo za safari, Kama ameweza kwenda kufuatilia ulichomuagiza asubuhi).
Aisee yatamtoka maneno Hadi unajuta kuuliza hata Kwa nini ulioa.
NB: vijana chukueni tahadhari msije kukumbatia bomu kama Kaka zenu. Ndoa si lelemama.
Duuuh [emoji15][emoji2960]mwanamke kuwa mkali/kupanic kwa vitu vidogo vidogo huwa ni ishara kuwa anachepuka
Shida za kuoa Ke yeyote ilimradi tu ana makalio makubwa lakini akili atatumia za Me ndipo hapo zinapoanzia [emoji4]Hio hali alikuwa nayo tangu mwanzo au imekuja tu hivi karibuni.
Shetani anaonea Sana wanawake na ipo reason, nikupe shule.
Utoto unakusumbua naona unaisi kupeleka moto na kumpa pesa ndyo hutaona rangi yake ya pili owa uoneKama mke utampelekea motooo kisawa sawa na hela unampa hana makelele na mumewe. Ila kama mume kimoja chalii na hela hana pole yako[emoji1787][emoji1787]
Mkuu kwanz hongera kwakuon hilo tatzo na wew inaonyesh upo kwenye control yakoNimeoa miaka kadhaa iliyopita. Sasa unaweza ukawa unauliza kitu simple tu kwa wife (mfano ikiwa kakuandalia nguo za safari, Kama ameweza kwenda kufuatilia ulichomuagiza asubuhi).
Aisee yatamtoka maneno Hadi unajuta kuuliza hata Kwa nini ulioa.
NB: vijana chukueni tahadhari msije kukumbatia bomu kama Kaka zenu. Ndoa si lelemama.