Kituo cha Demokrasia (TCD) na Wadau wanajadili Tathimini ya Hali ya Demokrasia nchini, leo 19/09/2024
Its
Kwanza ana chuki na maslahi binafsi na Uongozi wa juu wa kitaifa nchini.

Lakini pia ni mchochea chuki, uhasama na mafarakano baina ya wanasiasa nchini kinyume na majukumu ya kidipomasia alonayo.

Mbaya zaidi,
anashiriki kwa siri siasa na mambo ya ndani ya nchini yetu, na kutoa ufadhili wa hali na mali wenye lengo la kupindua serikali.

Kiufupi amepoteza uhalali wa uwakilishi wa kidipomasia nchini, kwa kukiuka miiko, sheria za kimataifa na ustaarabu wa kazi na majukumu ya kibalozi kulingana na mkataba wa kudiplomasia.

Nashauri wizara ya Mambo ya nje ya nchi, kumchukulia hatua kali mara moja, ikiwa ni pamoja na kumrejesha nchini kwao kwa lazima kwa kushindwa kwake kuwakilisha maslahi ya watu wa marekani Tanzania inavyostahili.

Mungu Ibariki Tanzania :NoGodNo:
It's obviously especially since he seems to be one sided .
 
Bora wao wanaotupa misaada hata ya kuchimba matundu ya choo kuliko nyinyi mnaotumia mabilionin ya walipa kodi kununua mashangingi huku mkituhumiwa kuteka na kuuwa raia wasio na hatia kisa tu wanawaambia ukweli msiopenda kuusikia.
 
..Samia Suluhu hana ubavu wa kumfukuza Balozi wa Marekani hapa nchini.

..Raisi aliyekuwa na ubavu wa kupambana na mabeberu ni Mwalimu Nyerere na sio waliomfuatia.
 
Kwanza ana chuki na maslahi binafsi na Uongozi wa juu wa kitaifa nchini.

Lakini pia ni mchochea chuki, uhasama na mafarakano baina ya wanasiasa nchini kinyume na majukumu ya kidipomasia alonayo, ya angalau kua kiungo kwa pande zote, bila kuegemea au kupendelea upande hasa katika siasa za ndani ya nchi.

Mbaya zaidi,
anashiriki kwa siri siasa na mambo ya ndani ya nchini yetu, na kutoa ufadhili wa hali na mali wenye lengo la kupindua serikali, kuchochea vurugu na machafuko nchini.

Kiufupi amepoteza uhalali wa uwakilishi wa kidipomasia nchini, kwa kukiuka miiko, sheria za kimataifa na ustaarabu wa kazi na majukumu ya kibalozi kulingana na mkataba wa kidiplomasia duniani.

Nashauri wizara ya Mambo ya nje ya nchi, kumchukulia hatua kali mara moja, ikiwa ni pamoja na kumrejesha nchini kwao kwa lazima kwa kushindwa kwake kuwakilisha maslahi ya watu wa marekani Tanzania inavyostahili.

Mungu Ibariki Tanzania :NoGodNo:
Naunga mkono hoja afurushwe ndani ya 24Hrs!
 
Kwanza ana chuki na maslahi binafsi na Uongozi wa juu wa kitaifa nchini.

Lakini pia ni mchochea chuki, uhasama na mafarakano baina ya wanasiasa nchini kinyume na majukumu ya kidipomasia alonayo, ya angalau kua kiungo kwa pande zote, bila kuegemea au kupendelea upande hasa katika siasa za ndani ya nchi.

Mbaya zaidi,
anashiriki kwa siri siasa na mambo ya ndani ya nchini yetu, na kutoa ufadhili wa hali na mali wenye lengo la kupindua serikali, kuchochea vurugu na machafuko nchini.

Kiufupi amepoteza uhalali wa uwakilishi wa kidipomasia nchini, kwa kukiuka miiko, sheria za kimataifa na ustaarabu wa kazi na majukumu ya kibalozi kulingana na mkataba wa kidiplomasia duniani.

Nashauri wizara ya Mambo ya nje ya nchi, kumchukulia hatua kali mara moja, ikiwa ni pamoja na kumrejesha nchini kwao kwa lazima ndani ya muda mfupi kwa kushindwa kwake kuwakilisha maslahi ya watu wa marekani Tanzania inavyostahili.

Mungu Ibariki Tanzania :NoGodNo:
Waabudu mfu watakupinga
 

Mwenyekiti wa Chadema Taifa na mwenyekiti wa TCD, Freeman Mbowe siku ya leo ameongoza uzinduzi wa ripoti ya tathmini ya hali ya demokrasia nchini kwa mwaka mmoja uliopita, iliyoandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).

Tukio hilo limefanyika Chuo Kikuu cha Dar es salaam leo Septemba 19, 2024 na litahitimishwa kesho Septemba 20, 2024.

Freeman Mbowe aliambatana na Makamu mwenyekiti Bara Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa Chama, John Mnyika na viongozi wengine waandamizi wa CHADEMA.

Soma pia: Waziri Stergomena Tax ashiriki hafla ya uzinduzi wa boti ya doria katika bahari na maziwa

Katika mkutano huo Mbowe alizungumzia kuhusu sakata la utekaji linaloendelea nchini kwa kudokeza kuwa inasikitisha kuona baadhi ya viongozi wa chama hicho wakipotea kwenye mazingira ya kukutanisha.

Mbowe aliongeza kwa kusema kuwa kipindi Rais Samia anaingia madarakani, vyama vya upinzani vilianza kuona mwanga wa kurudi wa Demokrasia nchini lakini baadae mambo yalionekana kuwa tofauti.



Aidha uzinduzi wa ripoti hiyo ulihudhuriwa na balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle pamoja na viongozi wengine kwenye balozi mbalimbali.

Aidha Waziri mkuu mstaafu, Joseph Sinde Warioba ambaye kwa upande wake alikemea ukabila pamoja na uoga wa kukosoa serikali ambao kwa sasa unawakabili viongozi na wananchi wengi Tanzania huku akivitaka vyama vya siasa hasa CHADEMA na CCM kukaa pamoja kusuluhisha mgogoro uliopo.




Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Michael A. Battle amesisitiza kuwa Nchi yake itaendelea kushirikiana na Tanzania katika masuala mbalimbali na kusisitiza haitarudi nyuma katika uwazi wa masuala ya Demokrasia na Haki za Binadamu

Amesema hayo kwenye Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kinachowakutanisha Wadau kujadili na kufanya tathmini ya hali ya Demokrasia nchini, leo Septemba 19, 2024


kwa bahati mbaya ubavu huo hatuna. ndio maana ana uhuru hata wa kwenda kupiga soga na sugu mbeya, kwa uhuru wote na hatujui wameongea nini. pia,ndio maana trump alitukana kwamba hizi nchi zetu ni shit hole. hakukosea sana kama tuna watu kama wewe.
 
Kwanza ana chuki na maslahi binafsi na Uongozi wa juu wa kitaifa nchini.

Lakini pia ni mchochea chuki, uhasama na mafarakano baina ya wanasiasa nchini kinyume na majukumu ya kidipomasia alonayo, ya angalau kua kiungo kwa pande zote, bila kuegemea au kupendelea upande hasa katika siasa za ndani ya nchi.

Mbaya zaidi,
anashiriki kwa siri siasa na mambo ya ndani ya nchini yetu, na kutoa ufadhili wa hali na mali wenye lengo la kupindua serikali, kuchochea vurugu na machafuko nchini. Balozi huyo asipochukuliwa hatua ni hatari sana kwa umoja, amani na usalama wa Taifa letu. Kama taifa tumkatae kwa pamoja.

Kiufupi amepoteza uhalali wa uwakilishi wa kidipomasia nchini, kwa kukiuka miiko, sheria za kimataifa na ustaarabu wa kazi na majukumu ya kibalozi kulingana na mkataba wa kidiplomasia duniani.

Nashauri wizara ya Mambo ya nje ya nchi, kumchukulia hatua kali mara moja, ikiwa ni pamoja na kumrejesha nchini kwao kwa lazima ndani ya muda mfupi kwa kushindwa kwake kuwakilisha maslahi ya watu wa marekani Tanzania inavyostahili.

Mungu Ibariki Tanzania :NoGodNo:
Ndiyo maana Uzi wako umeunganishwa na mwingine mana unaonekana unajaza saver tu
 
Watu wenyewe ombaomba halafu mnaleta kiburi.
kiukweli samia amekutana na vijana mashababi na wanamvuruga kwelikweli...hotuba za hovyo za kukatisha tamaa kama taifa. mtego huu sijui kama ataugundua.
 
Ndiyo maana Uzi wako umeunganishwa na mwingine mana unaonekana unajaza saver tu
mimi sina tatizo kabisa na kazi za wengine za wengine kama balozi,

na wala sina haja na saver ya mtu yeyote,

ispokua mimi ni kusema ukweli tu ndiyo kazi ya maana nafanya 🐒
 
Tlaatlaah umekula zako chipsi dume ukashiba sasa unajaza server kwa pumba.
mimi sina haja na saver wala kazi ya mtu mwingine kama ndugu balozi,

Mimi ni mtu wa kusema ukweli kuzingatia vigezo na masharti yaliyopo na si vinginevyo..

na ikiwa vinginevyo pia wala siwezi kubabaika wakati tayari ukweli uko wazi jukwaani gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom