Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Piga kazi mama mpaka waone aibu watanzania tupo na wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha ni pazuri zaidi, wanapaita GENEVA OF AFRICA!!!🤣🤣🤣Dah si wangplan kujenga Dodoma!
Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram
"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."
"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"
Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."
Ogopa matapeli.Ova and out
Atoe wapi pesa yule? Miradi yote ya real estate ilikufaHuo ulikuwa mpango wa siku nyingi sana... sema toka Magufuli aingie madarakani mradi ule mkubwa ukawa umekufa kwa maji...
naona mradi huo umerudi tena ... hongeara sana
Samia atawafundisha jinsi ya kuleta maendelea Tanzania maana nyie Wadanganyika ni wajinga miaka na miakaOgopa matapeli.
Matapeli bana, huwa nacheka nikisikia mbwembwe zao.Huyu mama huyu,,, Mwenyezi Mungu ampe maisha marefu na moyo wa kijasiri zaidi usiokata tamaa mapema ili aendelee kutuhudumia na kutuletea maendeleo watoto wake!!!!
Kilimshinda nini kuyapeleka Zanzibar? Hao wazanzibari wangekuwa na maendeleo wangesamehewa deni la umeme?Samia atawafundisha jinsi ya kuleta maendelea Tanzania maana nyie Wadanganyika ni wajinga miaka na miaka
Kwani yeye ni Rais wa Zanzibar,ndio maana tunasema nyie ni majinga ngoja mfundishwe kazi.Kilimshinda nini kuyapeleka Zanzibar? Hao wazanzibari wangekuwa na maendeleo wangesamehewa deni la umeme?
Kwani maendeleo yanaletwa na rais? Huu ujinga ulioanzishwa awamu ya tano, naona na nyie mmeubeba kama ulivyo eti fedha za rais! Kama mna ujinga huo maendeleo mtayaweza?Kwani yeye ni Rais wa Zanzibar,ndio maana tunasema nyie ni majinga ngoja mfundishwe kazi.
Maendelea yanaletwa na maono ya Rais,hata wewe familia Yako Ukiwa zoba itadumaa..Kwani maendeleo yanaletwa na rais? Huu ujinga ulioanzishwa awamu ya tano, naona na nyie mmeubeba kama ulivyo eti fedha za rais! Kama mna ujinga huo maendeleo mtayaweza?
Nimecheka kwa nguvu, kwahiyo hapo ulipo unasubiri maono ya Samia ili upate maendeleo? Daah, nimechoka kabisa.Maendelea yanaletwa na maono ya Rais,hata wewe familia Yako Ukiwa zoba itadumaa..
Toka Samia Kawa Rais biashara ya Conference Tourism imerejea Kwa Kasi sana lakini hapo awali hakuna mtu Alitaka kuja Tanzania..
Juzi tuu hapo alikuwa anafungua mkutano wa Sadc na Kilimo,mwezi November Kuna mkutano mkubwa wa Mifumo ya chakula,mwezi August Kuna mkutano mkubwa wa madaktari all over the world nknk..
Wacha Samia awafundishe kazi nyie wajinga wajinga ndio jitambua.
Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram
"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."
"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"
Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."
Kenya hakuna Mount Meru ile Meru ya Kenya ipo Mount KenyaTunaogopa wakenya watasema ni ya kwao.
Mimi as individual sisubiri maoni yake ila Yale yanayohitaji Serikali ni mpaka maono yakeNimecheka kwa nguvu, kwahiyo hapo ulipo unasubiri maono ya Samia ili upate maendeleo? Daah, nimechoka kabisa.
Hiyo mikutano ipo miaka yote, labda ndio umemaliza shule ya msingi hivi karibuni, hivyo unadhani hayo ni mambo mapya.
Basi nchi hii itaendelea kuwa masikini kwa mtazamo huo.Mimi as individual sisubiri maoni yake ila Yale yanayohitaji Serikali ni mpaka maono yake