Kituo Kikubwa Cha Mikutano "MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER." Kujengwa Jijini Arusha

Kituo Kikubwa Cha Mikutano "MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER." Kujengwa Jijini Arusha

Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram

"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."

"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"

Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."


Watu elfu 3 ni wachache sana,kama wako kwenye design please kiwe.na uwezo wa ku host watu elfu 5 Kwa pamoja
 
Arusha ipo AICC, huo uwekezaji ufanyike Dodoma.
Tusifanye kosa kama la kuweka viwanja vya mpira katika eneo moja.
AICC iboreshwe alaf kituo kipya kijengwe mkoa mwingine, Mfano Dodoma
 
#4 na 6 haziwezi ku-coexist na #7. Hakuna taifa la wajinga wanaoweza kulaza rais wao karibu na apartments au shopping malls. Hata sisi watanzania hatujafikia ujinga wa kiasi hicho, japo kuna mambo tunafanya yanayoashiria kuwa tumekaribia.
 
Kwani maendeleo yanaletwa na rais? Huu ujinga ulioanzishwa awamu ya tano, naona na nyie mmeubeba kama ulivyo eti fedha za rais! Kama mna ujinga huo maendeleo mtayaweza?
Maendelea yanaletwa na maono ya Rais,hata wewe familia Yako Ukiwa zoba itadumaa..

Toka Samia Kawa Rais biashara ya Conference Tourism imerejea Kwa Kasi sana lakini hapo awali hakuna mtu Alitaka kuja Tanzania..

Juzi tuu hapo alikuwa anafungua mkutano wa Sadc na Kilimo,mwezi November Kuna mkutano mkubwa wa Mifumo ya chakula,mwezi August Kuna mkutano mkubwa wa madaktari all over the world nknk..

Wacha Samia awafundishe kazi nyie wajinga wajinga ndio jitambua.
 
Maendelea yanaletwa na maono ya Rais,hata wewe familia Yako Ukiwa zoba itadumaa..

Toka Samia Kawa Rais biashara ya Conference Tourism imerejea Kwa Kasi sana lakini hapo awali hakuna mtu Alitaka kuja Tanzania..

Juzi tuu hapo alikuwa anafungua mkutano wa Sadc na Kilimo,mwezi November Kuna mkutano mkubwa wa Mifumo ya chakula,mwezi August Kuna mkutano mkubwa wa madaktari all over the world nknk..

Wacha Samia awafundishe kazi nyie wajinga wajinga ndio jitambua.
Nimecheka kwa nguvu, kwahiyo hapo ulipo unasubiri maono ya Samia ili upate maendeleo? Daah, nimechoka kabisa.

Hiyo mikutano ipo miaka yote, labda ndio umemaliza shule ya msingi hivi karibuni, hivyo unadhani hayo ni mambo mapya.
 
Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram

"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."

"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"

Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."


Mikutano ... ya nini?
 
Nimecheka kwa nguvu, kwahiyo hapo ulipo unasubiri maono ya Samia ili upate maendeleo? Daah, nimechoka kabisa.

Hiyo mikutano ipo miaka yote, labda ndio umemaliza shule ya msingi hivi karibuni, hivyo unadhani hayo ni mambo mapya.
Mimi as individual sisubiri maoni yake ila Yale yanayohitaji Serikali ni mpaka maono yake
 
Back
Top Bottom