KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

Na hilo ndilo lilivyo kwa huyu na yule wa Kimara na Mch. Richard H.
 
Waliogopa tu kuwa siku akisimama kugombeya U Askofu atawabwaga wote.
Hilo waliogopaje wakati wao ndio wasimamizi wa uchaguzi?? Wanaomchagua Askofu si huwa ni wachungaji wenyewe, tena kwa uwakilishi tu? Kwamba Kimaro ana ushawishi mkubwa kwa wachungaji wenzake, mbona sasa hatusikii wachungaji hao wakimtetea na kupinga uonevu?
 
maaskofu hawachaguliwi na waumini
 
Mtumishi akiwa na Karama au upako lazima aongozwe na hekima na siyo jeuri na kiburi cha kufanya na kusema atakavyo kwa kujiona yuko juu ya taratibu zilizowekwa. [emoji818][emoji817]
Kaka nauliza tu

Hivi inawezekana kuwa Mganga wa Kienyeji(Mchawi) halaf bado ukawa Mkristo?
 

Ukikazania kusema AMEKIUKA TARATIBU bila kuzitaja na wewe huna tofauti na LOKOLE
 
Ukikazania kusema AMEKIUKA TARATIBU bila kuzitaja na wewe huna tofauti na LOKOLE
Nadhani hujui kusoma nimetolea mfano hapo. Huwa hafuati Liturgia, KKKT ibada huwa inaongozwa kwa kufuata Liturgia na sio upeo au ufaham wa mtu.
 
... ingawa mara nyingi viongozi wasio na maono wala karama yoyote wanakuwa na wivu sana ingawa sikatai ukweli kwamba baadhi ya wenye karama nao sometimes wanakuwa na viburi.
huyu jamaa clip.zake zimesambaa akitoa maneno ya kejeli
 

Kumbe ni WIVU tu
 
Na wachungaji wengine wako vipi, maana nayealamikiwa na kuchukuliwa hatua ni huyu Kimaro tu.
Msijaribu kuficha uchu wa pesa na utumiaji vibaya wa madaraka kikanisa, shutuma ambazo ndiyo analaumiwa huyu Kimaro.
 
Usitumie kichaka cha wivu kuvuruga taratibu za kanisa. Na hii ndio dhana ambayo wafuasi wake mnataka kuijenga. Sijui mlitaka mkae naye milele hapo Kijitonyama? Haikubaliki na haitakubalika kamwe.

Kama huweki utaratibu uliovunjwa maana yake huna hoja ACHA WIVU WA KIJINGA
 
Makanisa na Dini zote ni utapeli...

Mungu Hana dini..

Hao walioweka Sheria makanisani waliweka kwa maslahi yao binafsi wala si maagizo ya Mungu...

Religion is a crowd control...

Mwenye povu ruksa...[emoji1][emoji1]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kama huweki utaratibu uliovunjwa maana yake huna hoja ACHA WIVU WA KIJINGA
Wewe ni nani mpaka uletewe taarifa hiyo? Hujui hata taasisi zinavyofanya kazi hivyo kaa kimya. Umeumia sana mshauri mtu wako aanzishe kanisa lake maana maamuzi yameshafanyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…