residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Na hilo ndilo lilivyo kwa huyu na yule wa Kimara na Mch. Richard H.Inawezekana sasa haya makanisa yameanza kutumiwa na wachungaji kama vijiwe vya kutafuta umaarufu ili wajipatie wafuasi, siku wakitoka nje ya hapo wahame na wafuasi wao waende kwenye makanisa watakayoanzisha..
Waumini wanatumika bila kujua dhamira za ndani za hao wachungaji, kwasababu kama nia ya mchungaji ni kuihubiri injili, ujuaji hauwezi kupata nafasi mahala hapo, lakini kama mtu ana sababu zake zilizojificha, lazima awe mjuaji ili mwisho wa siku atimize malengo yake.
Yaani wachawi wachawi!Ndugu johnthebaptist ,"Washirikiana" ni kati ya washarika na washirikina..
Unamaanisha lipi hapo!!??
Hilo waliogopaje wakati wao ndio wasimamizi wa uchaguzi?? Wanaomchagua Askofu si huwa ni wachungaji wenyewe, tena kwa uwakilishi tu? Kwamba Kimaro ana ushawishi mkubwa kwa wachungaji wenzake, mbona sasa hatusikii wachungaji hao wakimtetea na kupinga uonevu?Waliogopa tu kuwa siku akisimama kugombeya U Askofu atawabwaga wote.
Haters Gonna Hate.Ulicho Andika sio kipya!
Hata mafarisayo walimwambia Yesu jeuri ana kiburi, anaenda kinyume na sharia ana pepo....
Kila kitu ni Mali ya Yesu!Yesu hakuwa na kipato binafsi pembeni.
Yohana Mbatizaji vilevile, alikula asali na nzige jangwani, lakini bado alipata wafuasi wengi.
maaskofu hawachaguliwi na wauminiAlionywa kwa kosa lipi?
Waliogopa tu kuwa siku akisimama kugombeya U Askofu atawabwaga wote.
Yupo huyo mkuu wa jimbo naamini ana lenga kuwa Askofu, anadhoofisha wengine nguvu.
Je mmesahau huyu mkuu wa jimbo kufikia hapo alifanya kitu gani?
Na hapa wanajiandaa kumdhoofisha pia Matsai
Kaka nauliza tuMtumishi akiwa na Karama au upako lazima aongozwe na hekima na siyo jeuri na kiburi cha kufanya na kusema atakavyo kwa kujiona yuko juu ya taratibu zilizowekwa. [emoji818][emoji817]
We unafahamu CCM ina wabunge au iliwahi kuwa na wabunge wachungaji wangapi??Chadema walikuwa na Mbunge Mchungaji wa KKKT kule kwa akina Dr Slaa
Wa KKKT siwakumbukiWe unafahamu CCM ina wabunge au iliwahi kuwa na wabunge wachungaji wangapi??
Lengo langu ni uelewe kwamba KKKT ni taasisi. Na kila taasisi inaendeshwa na taratibu zake ambazo imejiwekea. Ni simple tu kama Kimaro anaona taratibu za KKKT zinambana anauwezo wa kujitoa ili awe huru zaidi.
Concept ni kwamba amekiuka taratibu.
nimewai kuudhuria ibada pale kijitonyama Lutheran, mchungaji Kimaro alikuwa hafuati Liturgia ambay ndio inaongoza ibada, pamoja na mazuri mengi aliyofanya haimaanishi kuwa anapokosea asikosolewe na yey ni binadamu kuna mahali anakosea.
Hekima imewaangusha wengi, ana mazuri mengi aliyofanya na pia anapokosea anaambiwa vile vile
Nadhani hujui kusoma nimetolea mfano hapo. Huwa hafuati Liturgia, KKKT ibada huwa inaongozwa kwa kufuata Liturgia na sio upeo au ufaham wa mtu.Ukikazania kusema AMEKIUKA TARATIBU bila kuzitaja na wewe huna tofauti na LOKOLE
huyu jamaa clip.zake zimesambaa akitoa maneno ya kejeli... ingawa mara nyingi viongozi wasio na maono wala karama yoyote wanakuwa na wivu sana ingawa sikatai ukweli kwamba baadhi ya wenye karama nao sometimes wanakuwa na viburi.
This is too low for Mamndenyi. Unaombea utengano? Serious? Kisa tu Kimaro kuondolewa Kijitonyama? Inamaana KKKT nzima ni Kimaro tu anayefaa kuwa mchungaji wa Kijitonyama? Mbona wataka kudhalilisha kanisa la KKKT kiasi hiki. Kwani huko atakapopelekwa hakuna watu wanohitaji huduma yake kama ninyi? Tusemeje basi? Ninyi ni wabinafsi sio? Ningekuwa Askofu wa KKKT ningepiga marufuku mahubiri kupitia accounts binafsi za youtube na digital platforms. Wachungaji wengi huzitumia kujitengenezea umaarufu binafsi kuliko taasisi wanayoisimamia, na hivyo kusababisha migogoro isiyo na tija.
Ndio kanuni aliyokiuka hiyo? Kwam ba kakubaka?Kaa kimya, utaelewa tu.
Ukija ambiwa kambaka shemejiyo usijeruka!
Na wachungaji wengine wako vipi, maana nayealamikiwa na kuchukuliwa hatua ni huyu Kimaro tu.Usimfananishe Bwana Yesu kwenye zamani zile na zamani hizi..
Yesu hakuwa na mke,
Hakuwa na watoto,
Hakulipa bili ya Umeme,
Hakulipa nauli ya Basi,
Hakutumia bundle la Internet.
Hakuwa na Bima ya Afya
Hakulipa Ada ya watoto wa shule
Sasa utumishi wa Leo hii ni tofauti sana na wa kipindi cha Yesu kwa maana Yoote hayo na zaidi unayahitaji kwa hiyo ukisema uishi kama Yesu alivyoishi enzi zake haiwezekani....
Tumia akili.
Usitumie kichaka cha wivu kuvuruga taratibu za kanisa. Na hii ndio dhana ambayo wafuasi wake mnataka kuijenga. Sijui mlitaka mkae naye milele hapo Kijitonyama? Haikubaliki na haitakubalika kamwe.Kumbe ni WIVU tu
Usitumie kichaka cha wivu kuvuruga taratibu za kanisa. Na hii ndio dhana ambayo wafuasi wake mnataka kuijenga. Sijui mlitaka mkae naye milele hapo Kijitonyama? Haikubaliki na haitakubalika kamwe.
Wewe ni nani mpaka uletewe taarifa hiyo? Hujui hata taasisi zinavyofanya kazi hivyo kaa kimya. Umeumia sana mshauri mtu wako aanzishe kanisa lake maana maamuzi yameshafanyika.Kama huweki utaratibu uliovunjwa maana yake huna hoja ACHA WIVU WA KIJINGA