Barua inaonyesha wamefungiwa kufanya Usajili wa wachezaji wa ndani...tuendelee kula shushuu wakiwa wanasajili majembe ya nje...
Sio kwamba FIFA wamewafungia usajili halafu TFF wakakazia? Soma tena barua.
 
Wewe utakuwa unatoka SENGE-Rema
 
Barua inaonyesha wamefungiwa kufanya Usajili wa wachezaji wa ndani...tuendelee kula shushuu wakiwa wanasajili majembe ya nje...
Ficha ujinga wako FIFA inafungia kusajili wachezaji wa ndani?FIFA inafungia kusajili wachezaji wa nje na TFF kwa hatua ya FIFA ikaongezea kuwa inawafungia kusajili wachezaji wa ndani.
Mlienda shule kuuza mabuyu?
 
Ficha ujinga wako FIFA inafungia kusajili wachezaji wa ndani?FIFA inafungia kusajili wachezaji wa nje na TFF kwa hatua ya FIFA ikaongezea kuwa inawafungia kusajili wachezaji wa ndani.
Mlienda shule kuuza mabuyu?

Leta Barua ya FIFA hapa tunaongelea facts zilizoko mezani
 
Huyo alishalipwa, kinavhokosekana ni taarifa kwenye mfimo na hizo ziliachwa makusudi ili mpate cha kuongea maisha yasonge.
 
Hapa wataisahau team yao watasimamia hili jamboo weee halafu tarehe 20 wanapigwa mkono tena.
 
Haiwezekani Yanga yenye Viongozi Bora, makini , kuliko viongozi wote duniani kufungiwa kisa kuto mweka mchezaji kwenye mfumo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…