rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Ila TFF walitakiwa wachukuwe hatua mapema Ila kudekezwa hayo ndio matokeo yakeBarua inaeleza kuwa Yanga walikumbushwa lakini wakashupaza shingo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila TFF walitakiwa wachukuwe hatua mapema Ila kudekezwa hayo ndio matokeo yakeBarua inaeleza kuwa Yanga walikumbushwa lakini wakashupaza shingo
sawa tumia hayo maelezo ya Mayele kuchukua ubingwa au uende nusu fainaliYa mayele hayajaisha yamekuja ya Fifa [emoji23]
Yanga hakuna mchezaji bilinganyaNi yule bilinganyq
Kuna watu wanataka mada iwe ni Yanga kufungiwa ili kusahau mashindano ya kombe la CRDB Federation.Mambo madogo hayo.
Yanga ni lidude fulani hivi litishalo!Klabu ya Young Africans iliyoko Ligi Kuu ya NBC imefungiwa kufanya usajili kwa kukiuka kanuni za Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA).
Uamuzi huo umefanywa na FIFA baada ya klabu hiyo kukiuka Annexe 3 ya Kanuni ya Uhamisho wa Wachezaji (RSTP) ya Shirikisho hilo.
Pamoja na masuala mengine, Young Africans haikuingiza uthibitisho wa malipo ya uhamisho wa mchezaji husika katika Mfumo wa Usajili (TMS), licha ya kukumbushwa kufanya hivyo.
Klabu hiyo imetakiwa kutekeleza matakwa hayo ya kikanuni, na kuwasilisha taarifa kwa Sekretarieti ya Kamati ya Nidhamu ya FIFA ambapo suala hilo limefikishwa kwa ajili ya hatua zaidi.
Kutokana na uamuzi huo wa FIFA, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) nalo limeifungia klabu hiyo kufanya usajili kwa wachezaji wa ndani.
====
Pia soma
1. Yanga yafungiwa kusajili mpaka itakapomlipa mchezaji Gael Bigirimana
Linatengenezwa zengwe la Aprili 20 hilo. Kipigo kipo pale pale kwa Makolo. Halafu kesho Aprili 13 Uwanja wa Kilumba lazima kolo ale za kutosha kutoka kwa vijana wetu pendwa Yanga B the ...... Black Stars??We Jiandae tu kwa kipigo hapo tarehe 20 hizi propaganda zako hazitakusaidia
Unayo nafasi ya kutaka rufaaBarua ya TFF inaonyesha ni namna gani TFF inamlinda Yanga sana.
Huyo mchezaji ambaye hana kibali cha kucheza imekuaje akacheza ligi yetu kwa kibali kipi maana yake Yanga anatakiwa akatwe point kwenye mechi zote huyo mchezaji alizocheza.
TFF ina uyanga watu hamuoni????
Nimewaza tu kama hiyo kitu ina ukweli basi tuendelee kuchimba hadi ijulikane
Hii si ndio klabu inayoendeshwa kisasa? Imekumbwa na nini?Waingize hizo taarifa.
Shangaa hata wewe club kubwa Africa inatolewa na waha!Hii si ndio klabu inayoendeshwa kisasa? Imekumbwa na nini?
Fifa wamezuia nje na ndani, tff wamezuia ndani tuBarua inaonyesha wamefungiwa kufanya Usajili wa wachezaji wa ndani...tuendelee kula shushuu wakiwa wanasajili majembe ya nje...
FIFA hawadanganyiki.Hii si ndio klabu inayoendeshwa kisasa? Imekumbwa na nini?
Watakuja hapa kutukana 😂😂😂 hawapendi ukweliCc mayele clabu ya wahuni.
MAYELE akiwaambia wanatokwa povu Kama MWAJUMA NDALA NDEFU 😂😂😂Hii si ndio klabu inayoendeshwa kisasa? Imekumbwa na nini?
SawaaFifa wamezuia nje na ndani, tff wamezuia ndani tu
Nahisi huyo mchezaji atakuwa kibabage na mwigulu ndiye alimhamisha.Barua ya TFF inaonyesha ni namna gani TFF inamlinda Yanga sana.
Huyo mchezaji ambaye hana kibali cha kucheza imekuaje akacheza ligi yetu kwa kibali kipi maana yake Yanga anatakiwa akatwe point kwenye mechi zote huyo mchezaji alizocheza.
TFF ina uyanga watu hamuoni????
Nimewaza tu kama hiyo kitu ina ukweli basi tuendelee kuchimba hadi ijulikane
Fifa inaifanyia Yanga figisu Ili kuipendelea Simba.