Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Mimi ni jobless mwandamizi 😂😂😂. Yaani mitaa ya udom hunipotezi hata nikifumba macho 😂😂Mwanawane kumbe nawe jobless...basi tutafute commection na sie tukauze unga tuje tutese kitaaa na mademu pisi kali
Wa kutaja ni wewe unaesema wana makando kando na sio mimi mkuu.Hebu wataje wafanyabiashara wakubwa watano wa kitanzania wenye fedha safi na halali. 😂😂. We taja tu. Uzuri humu jf wapo watu wazima wenye mafaili mengi ya watu 😂😂😂 hebu wataje watano tu 😂
Kwa kweli jamaa kafaidi ndio raha yenyewe hiyo mwanawane. Ate hela ule warembo maana warembo wenyewe hawan upendo wabachotaka ni hela tuuTwende mbele, turudi nyuma. Jamaa kafaidi like tako 😂😂. Na binti wa watu kawa muislamu kabisa na kaacha kupost tako mtandaoni. 😂😂😂😂. Mwamba kafaidi kwelikweli na inasemekana alimtia mimba na kuzaa nahisi tayari. 😂😂
Naomba unisamehe sana, tajiri. Nimekosa sana mkuu 🙏Wa kutaja ni wewe unaesema wana makando kando na sio mimi mkuu.
Wote ambao serikali haijawatia mkononi basi biashara zao ni halali, huu unazi wa kuendekeza kua ili uwe tajiri lazima ufanye biashara haramu sijui mmeutoa wapi.
Hiyo ni mentality ya kivivu, kutaka shortcut. Na hii sio kwa hawa matajiri wakubwa tu hata wale wanaojiweza kitaa mnawananga kua ni wachawi, majambazi nk.
Acha uvivu mzee, tafuta utajiri.
Mimi ni jobless mwandamizi 😂😂😂. Yaani mitaa ya udom hunipotezi hata nikifumba macho 😂😂
😂Mzeya hapo udom sii unajiokotea tuu vijinfirst year
Usijali kijana, nimekusamehe next time punguza kutusemasema humu mitandaoni.Naomba unisamehe sana, tajiri. Nimekosa sana mkuu 🙏
Sawa Tajiri. Naomba msamaha na sitarudia tena tajiri 🙏Usijali kijana, nimekusamehe next time punguza kutusemasema humu mitandaoni.
Ngoja waje kukwambia una wivu kwa maana wewe hauna hayo magari na majumba ya kifahari.
Respect to all who own clean money. Sio kila tajiri ni mhalifu.
Sasa mwanawane shipment moja kama hiyo tayari ni billion 24 nashindwaje kuhonga rais.Na El Chapo aliwahonga kweli hadi rais wa nchi [emoji28][emoji28][emoji28]
Acha kumchafua kama hauna uhakika, mo hawez kufanya biasharq za hovyo hivyo.....
Kwa lile Bata la Wachezaji wa Cambiaso Soccer Academy, Hadhi yao na Mengineyo sishangai leo kusikia kuwa kumbe Mmiliki ni Drug Baron na anashirikiana na Watu wengine.
Shikamoo sana Kocha wa sasa wa Kagera Sugar FC Mecky Mexime ( ambaye ulikuwa Kocha wa Cambiaso Soccer Academy) kwa kuwa Mjanja, Kushtuka, kutoa Ushirikiano na kusepa Mapema kabka ya Msala Kukukuta.
Duuu, Vituo vya Redio navyo vimekuwa sehemu ya Money Loundering. Watu wanajificha humo kumbe wanapiga deal haramu. Naona na mzee wa Jambia naye ameanza kwenda Uropu. Kitenge anaenda, Oscar Oscar anaenda.
Mwarami Said Mohamed Sultan mchezaji wa zamani wa Taifa Stars, Simba SC, Clube Ferroviário de Maputo ya Mozambique pia Ferroviario za Pemba na Nampula zote za Mozambique.
AT THURSDAY, NOVEMBER 26, 2009
Huyu ndiye kipa mpya wa timu ya taifa ya bara a.k.a Kilimanjaro Stars Mohamed Mwalami anayechezea klabu ya Ferroviaro ya Maputo, Msumbiji. Anachukua nafasi ya kipa Shaaban Dihile ambaye ametemwa.
Kipa mwingine ni Shaaban Kado wa Mtibwa Sugar. Kwa habari kamili ya kikosi kinachoondoka asubuhi hii kuelekea Kenya kwenye michuano ya Chalenji inayoanza Jumamosi 28, 2009.
18 Jul 2014
KIPA SIMBA SC ABWAGA MANYANGA
Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
KIPA wa zamani wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya Simba, Mwarami Mohammed ‘Shilton’ amestaafu soka na sasa anataka kuwa kocha.
Mwarami mwenye umri wa miaka 35, amesema kwamba ameona bora kutungika glavu zake kwa heshima kwa sababu umri umeenda.
“Nimecheza kwa muda mrefu, tangu mwaka 1997 nacheza Ligi Kuu, ni miaka mingi na ninaona mwili umechoka. Ni wakati wa kupumzika kwa heshima sasa,”amesema.
Mwarami amestaafu akiwa anachezea Ferroviario de Maputo ya Msumbiji ambayo alijiunga nayo baada ya kuchezea Ferroviario za Pemba na Nampula.
Kabla ya kwenda Msumbiji, nchini Tanzania, Mwarami alichezea timu za Coastal Union ya Tanga, Simba SC ya Dar es Slaam, Kariakoo United ya Lindi na Reli Morogoro.
“Nataka kuwa kocha, nimeanza kuafuatilia vyuo vya kwenda kusomea ukocha, lakini kwanza nitapata kozi za awali hapa hapa nchini kwa kuanzia,”alisema
Baba yako alikuwa wapi muda huo?Jidanganye Mo ni tapeli mzoefu toka enzi ya ubinafsishaji. Zile mali ni umafia wa Baba yake Gulamabbas na mjomba wake Azim. Tafuta wazee wa zamani wakupe mkanda mzima wa umafia wa familia ya akina dewji [emoji23][emoji23][emoji23]