moja ya biashara chafu zinazofanyika kwenye mpira wa miguu ni HII BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA(DRUGS), YA PILI NI HUMAN TRAFFICKING, YA TATU NI GAMBLING, YA NNE NI MONEY LAUNDERING, YA TANO NI MATCH FIXING.. NOTE: Hii biashara ya tano vilabu vyote vya kibongo inaitumia japo inategemea na mfuko wa timu husika ilikuwa Uto msimu wote uliopita wamekuja kuacha kuanzia mechi ya Kagera..
 
Buliaga ya mtaa wa Likwati karibu na Temeke mwisho kwasasa inaitwa Kisuma.
Pale Temeke squad Ndipo walipotoka Mlage wa Kabange,Ally Machela, Ramdhani Leny, Edward Chumila n.k
 
Buliaga ya mtaa wa Likwati karibu na Temeke mwisho kwasasa inaitwa Kisuma.
Pale Temeke squad Ndipo walipotoka Mlage wa Kabange,Ally Machela, Ramdhani Leny, Edward Chumila n.k
Hapo hapo mkuu.

Upo sahihi na huyu Kambi ndio mzaliwa na alishacheza mpira
 
pamoja na kocha wa makolo
 
Watu wengi wa masaki na osterbay nje watu ndani nyoka! Kyna jirani yangu mmoja hapa upanga anabadilisha magari kila siku na si hizo kama ist zenu ni hizi ranger rover jana amenunua land discover namba E halafu ana biashara ya kipuuzi tu kariakoo
 
Kwani lini haikuwepo?
 
Inhekuwa kwa wenzetu huko mbona balaa kubwa kwanza sponsors wote wanapull out maana hawataki kuhusishwa na vitu kama hivyo.

Pale kwenye timu za u17 kulijwa na vijana kutoka cambiaso so napo watu wangetia mguu tff. Ila huku kwetu kesho kutwa tuu business as usual
 
Mzigo huu wa 34kg billion ngapi huko mtaani?
 

Simba's goal keeping coach Muharami Said Mohammed Sultan among those being held​


Tanzania’s Drug Control Enforcement Authority (DCEA) has arrested 11 suspects including Simba’s goalkeeping coach Muharami Sultan (40) for allegedly being in possession of 34.89kg of heroin and 50 biscuits made from marijuana.

Speaking at a press conference,the Commissioner General of DCEA ,Gerald Kusaya named the other suspects as owner of Cambiasso Sports Academy in Tuangoma, Kambi Zuberi seif, Said Matwiko a resident of Magole, Maulid Mzungu aka Mbonde(54) a resident of Kisemvule and John John aka Chipanda(40) a scout at Cambiasso Sports Academy.

The others are Rajabu Dahabu (32) a resident of Tabata, Seleman Matola Said (24) a resident of Temeke Wailes, Hussein Pazi (24) a businessman and Ramadhani Chalamila (27) a resident of Kongowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…