Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Dah uongo uliopitiliza komodo hana sumu. Ila mate yake yamejaa bacteria na hii imesababishwa na uchafu wa kinywa chake. So akikuuma anakuachia bacteria ambao watakushambulia na itachukua muda kufa na si kwa dkk 3 au 5 ni zaidi ya masaa kadhaa. Acha uongo
Komodo ana venom. Mnyama akishakuwa na venom ina maana ana sumu tayari.
 
Unataka wangapi nikuletee?
Nipe anuani ya unapoishi nikuletee wawili kwa bure.
Gharama za usafiri na manunuzi ni zangu 😜😜😛
Wawili tu wananitosha

Kurasini karibu na liquid..kituo uhasibu..ukifika ulizia cessie kibonge utanipata.
 
Mnyama hatari duniani ni binadamu tu asipowekewa mipaka
Ndio maana vitabu vitakatifu vinasema alifurishwa kutoka kule kwa muumba kwa utundu wa ke wa kuonja onja tnda la mti wa katikati... yaani, ni hatari sana huyu mnyama binadamu... na sasa kajitengenezea hata nyuklia ya kujimaliza mwenye...
 
Niliwqhi kula nyama yake ipo kama ya kuku hivi,laini na chumvi chumvi,nilikula sana wakati nipo Indonesia
 
🤣🤣🤣🤣🤣Nitafurahi nikiwapata leo
Ndo namalizia kuosha gari nikawakamate. Wanapatikana maeneo ya bondeni kati ya kigogo na magomeni. Chakula chao kikubwa ni balangulu 🤣🤣🤣🤣
 
Ndo namalizia kuosha gari nikawakamate. Wanapatikana maeneo ya bondeni kati ya kigogo na magomeni. Chakula chao kikubwa ni balangulu 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Can't wait kuwaona..maana nimeshaandalia kajumba kao kadogo dogo kenye joto na tuchumvi chumvi ..si wanapenda kulamba lamba chumvi eeh..maana huo ulimi wake 😋
 
Back
Top Bottom