Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Mtoa mada umedanganya watu , sio mnyama hatari kama uanvyodai , wanyama hatari wapo na wanajulikana , ana kiwango chake cha uhatari Ila sio hatari zaidi hata kumfikia cobra tuu
 
Yah siku nyingi,,Nashukuru Mungu niko salama mkuu.
Kabisa Chief, ni masiku mengi sana yamepita na ni jambo la furaha kwangu ninapochungulia Jf na kukutana na Maveterani wa Jf kama wewe🤣☺️. Kwasasa ID mpya ni nyingi sana, so unapotokea umebumiana na I'd za kitambo Kama hivi ni lazima ustop kwanza.
SHUKRAN KWA SALAMU SHEIKH WANGU ALLAH AKUTIE WEPESI.
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Uwe na muda mwema..usiniweke sasa
Dubwasha nishalipata ila shughuli yake pevu. Limekula ndoano na chambo vyote pamoja.
Nasubiri likisinzia niwahi kulikamata mkiani niliburuze hadi mlangoni kwako 😂😂😂
 
Kenge kwa kizungu anaitwa lizard, huyu anaitwa Komodo dragon.

Kwahiyo ni vitu viwili tofauti. Ni mfano umwite Tiger, Leopard au Cheetah (chui) paka eti kwa vile wanafanana muonekano wao. Hili dubwasha limeshindwa kupewa heshima na wazungu kwa sababu halikuwahi kuishi huko kwao ulaya. Hili lidubwasha lingekuwa linapatikana ulaya na Afrika basi lisingekosa kuwekwa katika wale tano bora ya wanyama hatari duniani. Kama chui ambae ni mchumba tu amewekwa kwenye list vipi hili dubwasha lenye uwezo wa kuangamiza kiumbe chochote hapa duniani anyimwe heshima hiyo ya tano bora?
Komodo dragon naye ni lizard. Halafu hizo sifa unazompa umezidisha. Kwamba ana sumu kuliko mnyama yoyote sio kweli.
 
Kenge kwa kizungu anaitwa lizard, huyu anaitwa Komodo dragon.

Kwahiyo ni vitu viwili tofauti. Ni mfano umwite Tiger, Leopard au Cheetah (chui) paka eti kwa vile wanafanana muonekano wao. Hili dubwasha limeshindwa kupewa heshima na wazungu kwa sababu halikuwahi kuishi huko kwao ulaya. Hili lidubwasha lingekuwa linapatikana ulaya na Afrika basi lisingekosa kuwekwa katika wale tano bora ya wanyama hatari duniani. Kama chui ambae ni mchumba tu amewekwa kwenye list vipi hili dubwasha lenye uwezo wa kuangamiza kiumbe chochote hapa duniani anyimwe heshima hiyo ya tano bora?
Yaani kenge awekwe kwenye tano bora!? Ha ha haaa ...
 
Kabisa Chief, ni masiku mengi sana yamepita na ni jambo la furaha kwangu ninapochungulia Jf na kukutana na Maveterani wa Jf kama wewe🤣☺️. Kwasasa ID mpya ni nyingi sana, so unapotokea umebumiana na I'd za kitambo Kama hivi ni lazima ustop kwanza.
SHUKRAN KWA SALAMU SHEIKH WANGU ALLAH AKUTIE WEPESI.

Afuwan sheikh wangu, aamiin aamiin, nawewe Allah akulipe kila la heri.

Nikweli kabisa, kwa sasa ID mpya ni nyingi sana, Tuko pamoja sheikh wangu.

Ucku mwema
 
Umeli overrate sana hilo likenge lako mkuu, linaweza kuwa na bacteria hatari kabisa ambao wanaweza kukutoa uhai ndani ya dk tatu. Lakini sidhani kama lina uhatari kihivyo kama hao wengine maana halina speed ya kukimbizana na windo halafu mpaka likuvizie, yaani hata mimi naweza kukutana nae afu nikasepa mbio lisinipate likalala njaa kitu ambacho kwa koboko au hao akina simba/chui sahau. Sasa si bora nikutane na komodo hata kumi kuliko chui[emoji28][emoji28]
 
Kenge kwa kizungu anaitwa lizard, huyu anaitwa Komodo dragon.

Kwahiyo ni vitu viwili tofauti. Ni mfano umwite Tiger, Leopard au Cheetah (chui) paka eti kwa vile wanafanana muonekano wao. Hili dubwasha limeshindwa kupewa heshima na wazungu kwa sababu halikuwahi kuishi huko kwao ulaya. Hili lidubwasha lingekuwa linapatikana ulaya na Afrika basi lisingekosa kuwekwa katika wale tano bora ya wanyama hatari duniani. Kama chui ambae ni mchumba tu amewekwa kwenye list vipi hili dubwasha lenye uwezo wa kuangamiza kiumbe chochote hapa duniani anyimwe heshima hiyo ya tano bora?
...Kaka, Unamfagilia Sana kupita kiasi wakati unamsoma TU kwenye Vitabu na Kumuona kwenye Runinga TU! SI afadhali Umsifie Sana Kiboko ambaye angalau Yuko kwenu lakini Wachina Wanaishia kumkata Kichwa TU Chenye Sumu na Kumfanyia Asusa??
Huyo Komodo anaweza kuwa Mkali kama Mnyama yoyote Mkali alivyo lakini ni aina TU ya Kenge Mkubwa wa Huku kwetu! Ni aina TU ya Kenge!
 
Halafu mkuu pale uliposema sumu yake inaweza kukuua ndani ya dk tatu pana ukakasi.
Imebidi niamke na hili kenge vyanzo mbalimbali mitandaoni vinadai sumu yake inaweza kukuua within hours means kuna nafasi kubwa ya ku survive attack zake kikubwa upate medical care ya uhakika maana lina uwezo wa kunusa damu au kidonda kilichoanza kuoza mpaka umbali wa 5KM! no wonder why linakula victims wake wakiwa bado hai maana sumu yake haiui haraka hivyo na pia linakula mizoga maana victims wake wanaweza kukimbia mbali baada ya kushambuliwa nae, au wanaweza kufa hata kesho yake kwa kukosa matibabu sahihi na hapo ndio hilo kenge linakuja kumalizana na prey wake kama mzoga maana lina uwezo mkubwa sana wa kutrack victims wake, unlike other predators kama mamba mnamalizana hapohapo haina kupoa[emoji28]

Zuri zaidi hili dubwana licha ya makucha makubwa lakini kupanda mti haliwezi, kama umechoka kukimbia tafuta kamti panda lazima alale njaa au atafute pengine pa kula.

NOTE[emoji116][emoji116]
""Komodo dragons are not the most powerful predators in the world, the bites they give are shallow and slashing (meno yake yapo kama shark wale wa baharini), which results in bleeding damage. This is markedly different from that of other dangerous predators like big cats and crocodiles which deal crushing damage to bones or the windpipe"".
 
Huyu akija bongo tunaishi nae vizuri tu kama kenge wengine[emoji28][emoji28]
Screenshot_20220814-071547.jpg
Screenshot_20220814-071515.jpg
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.

Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.

Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.

Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.

Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.

Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.

Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.

Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.

Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.

View attachment 2321342View attachment 2321345
Mkuu,
Unaposema huyu ndo kiumbe hatari sana kuliko wengine unakosea, kiumbe anaweza kuwa hatari zaidi ya mwengine kwendana na mazingira tofauti tofauti, hata kwenye sumu ndo hvyo hvyo - First hit, first kill.
Kuna chura wa njano ambao Ute au jasho lao juu ya ngozi ni sumu mbaya na hatari sana. Mara nyingi wawindaji humvizia huyu chura akiwa ametulia kwenye Jani Ili kupata Ute au jasho analoliacha na kulipaka kwenye mishale, ambapo sumu hii ikishaganda kwenye mshale hukaa muda mrefu mpaka windo lipatikane. Huu mkuki akichomwa binadamu au mnyama mwingine, without proper medication chance ya ku-survive ni almost impossible. Huyu chura kwa mazingira yake ni very dangerous lakini kwenye mazingira mengine ni helpless.
 
Umeli overrate sana hilo likenge lako mkuu, linaweza kuwa na bacteria hatari kabisa ambao wanaweza kukutoa uhai ndani ya dk tatu. Lakini sidhani kama lina uhatari kihivyo kama hao wengine maana halina speed ya kukimbizana na windo halafu mpaka likuvizie, yaani hata mimi naweza kukutana nae afu nikasepa mbio lisinipate likalala njaa kitu ambacho kwa koboko au hao akina simba/chui sahau. Sasa si bora nikutane na komodo hata kumi kuliko chui[emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ana undugu na comodo huyuuuu...
 
Back
Top Bottom