Kosa la Rais Samia ambalo watanzania wengi hawalitaki ni hili


Kwa nini wanaiba?
Wananchi wamekubaliana na wizi huo? Kama hapana je ni Hapana midomoni au moyoni?
Kwa nini hawachukua hatua kukabiliana na viongozi wa Aina hiyo?
 

Mkuu sijasema kuwa Watu ni Sawa.
Naungana na maelezo yako
 
Tatizo upigaji kwa wachache umeongezeka, huku maisha ya wengi yakiendelea kudidimia. Katika hili, ajiandae tu kusikia kelele kutoka kila kona ya nchi.
Mkafanye kazi kwa bidii jamani magufuli mlisema vyuma vimekaza huyu tena mnalialia yani watanzania wanapenda vya bure.
 

Mkuu sijasema kuwa Watu ni Sawa.
Naungana na maelezo yako
Kwanini wewe ulazimishe fasihi yako ndio maana ya kauli Rais Samia alikusudia?, hopeless kabisa

Unajua maana ya kulazimisha Mkuu?

Mimi nimeandika Maoni yangu, wewe umeandika yako. Sijaona mahali popote nilipokulazimisha au ulipo kulazimisha. Mbona unanipa jukumu ambalo sijafanya?
 
Hopeless thread,unatetea upumbavu wa kauli ya kiongozi mkuu?,rohoni kwa mtu ni mbali yeye ambaye madhara ya hii kauli kaisikia toka kwa jamii atoke hadharani kuitolea maelezo,sio wewe kapuku waheed

😀😀
Sasa unakasirika nini sheikhe?

Mimi nimeelezea vile ninavyomuelewa Samia, Kwa hiyo nikiwa kapuku ndio nisimuelezee?

Haya Tajiri WA mafenesi, nimekuachia wewe umuelezee.
 
Shetani anachukiwa yeye au Matendo yake?

Matendo ya MTU ndio MTU Mwenyewe na hata adhabu hupewa MTU na sio Yale aliyoyatenda.

Kuhusu Katiba mpya, sina uhakika. Ila kama wangefanya amendment hasa kipengele cha mamlaka ya Rais ningepongeza Sana.
Yule ni binadamu kama sisi wala si shetani. Matendo yake ndio hukumu yake kwa raia.

🤣 Kubadilisha kipengele cha mamlaka yake ni sawa na yeye kujipeleka kwenye deathrow. Hilo ni gumu sidhani kama ataweza.
 
Kama unadhani kumiliki mali nyingi ni kazi rahisi basi inaonekana na wewe utakuwa maskini tu.

There is always behind bussness nyuma ya utajiri Mkubwa.

Sio utajiri wa kuuza duka na kuuza Nyanya kariakoo

Tatizo la watanzania na Wanawake wengi hasa Afrika ni kufanya imagination ya vile wanavyofikiri na kuwawekea Watu wengine hizo imagination zao kwenye fikra za wengine.

Ati kama ninadhani, ninafikiri. Hayo mawazo yangu umeyajuaje? Au ndio hizo imagination zako juu ya fikra zangu?
 
Yule ni binadamu kama sisi wala si shetani. Matendo yake ndio hukumu yake kwa raia.

🤣 Kubadilisha kipengele cha mamlaka yake ni sawa na yeye kujipeleka kwenye deathrow. Hilo ni gumu sidhani kama ataweza.

Binadamu akifanya mambo ya kishetani huitwa shetani tuu. Shetani ni Cheo, Sifa, MTU yeyote anaweza kuitwa.

Mimi nataka hapo kwenye mamlaka ya Rais ndio pafanyiwe kazi. Huko kwengine wapaaache kama palivyo. Uone Hii nchi kama haiendi.

Katiba ikiruhusu Rais kushtakiwa kama Watu wengine automatically nguvu ya Mahakama na Bunge itakuwepo.
 
🤣 Hahahah ngoja tuone fupa lililomshinda fisi kama litatafunika awamu hii
 
Mitanzania Mingi ni mijinga sana na iliharibiwa akili na Babu Yao wa Taifa chini ya ujamaa mbuzi.

Ndio maana utasikia fisadi sijui analamba asali ila hayana hata ushahidi Bali uropokaji tuu.

Akitokea Kiongozi wa ambae ana muelekeo wa kukandamiza wengi Kwa sababu za wivu na chuki basi maskini hao hufurahi sana.

Mwisho tabia ya ujamaa ni kulisha Imani ambazo hazipo yaani kama dini wanapigiwa propaganda harafu Kwa kuwa ni majinga yanaamini na hii ndio sababu utasikia Bora Magufuli lakini Uliza sasa wewe Kwa Mwendazake maisha Yako yalifanikiwaje hakuna kitu ila ataanza kutaja mifano ya wafanyabiashara walioporwa pesa basi hapo yalivyo makolo yanafurahii..

Samia kaza hivyo hivyo na Huwa napenda sana nikiona unawajazia hakuna kulemba Kila mtu afanye kazi ale jasho lake hakuna Cha Bure.

Yamekaa huko Mjini yanategemea mkulima ahenyeke harafu Rais aje aseme hakuna kuuza mazao Nje Ili yenyewe yanumue bei chee Kwa jasho la wasio na sauti,Samia amekataa huu upuuzi.
 
Niambie yule waziri wa mapesa anayemiliki timu ya mpira na kusajili kwa pesa ya kutisha huku akiajiri wazungu kuifundisha kapata vipi huo utajiri? Mstaafu wa Msoga anayemiliki biashara kubwa akiwa madarakani kapenya vipi? Wapo wengi tukianza kuorodhesha
 
Huyo ni WA kwanza hapa Tanzania? Mnyeti alikzipata ? PM alikzipata wapi?

Nachojua mfano Mimi ni Meneja wa TanRoads mathalani Ili mkandarasi apate kazi anakuja kunihonga Sasa naachaje kuchukua pesa ya Bure? Maana hii haihusiani na execution ya kazi ni kama dalali kukutafutia mteja tuu.

Hongo za hivi ndio wakubwa wengi wanapata Sasa hapo unakuathiri vipi wewe maskini? Tafuta pesa Mzee hakuna namna 🤪🤪
 
Tafsiri yako ni Wizi si ndio Mkuu.
Kwa hiyo msemo wa kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake unauelewaje?
Sio wizi hiyo ni kanuni ya kibilia na kanuni ya kibepari,utakula Kwa jasho lako kadiri ya Juhudi zako.

Hapo kwenye Juhudi Kuna mambo mengi bahati,connection,Juhudi,kupata pande nk nk
 
Mkafanye kazi kwa bidii jamani magufuli mlisema vyuma vimekaza huyu tena mnalialia yani watanzania wanapenda vya bure.
Una uhakika sifanyi kazi, na badala yake nimekaa tu na kulialia! Na kupenda vya bure? Ni vipi hivyo vya bure mnaweza kunipa nyinyi maccm?

Ungekuwa jirani, ningekuzabua vibao vya kutosha sana.
 

Sijakataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…