Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Watanzania tupo sahihi, waliowengi anaowaita wameendelea wengi wao ni hela za rushwa na kukwepa kodi.
Hilo lipo wazi, unamkuta afisa manunuzi local gvt huko ana ukwasi hatari, DT, DED, injinia kutaja wachache. Nenda kwenye kwenye taasisi sasa TRA, tanroads, ewura.
Njoo kwa wanasiasa sasa huko ndo unazimia kabisa, kuna watu walituambia vijisenti hela ya mboga. Ni lugha za dharau kutokana na upigaji ukiokithiri.
Hiyo ni tafsiri yako ila wizi ni wizi tu.
Huwezi halalisha wizi kirahisi namna hiyo.
sijawahi kukupinga..ila leo nitakupinga..kuhusu ishu ya usawa, kihulisia hatuwezi kuwa sawa hasahasa kwenye ishu ya uchumi mpaka yesu anarudi mfano juzi tu hapa kwenye nyumba ya ibada nilikutana na jamaa mmoja amenililia sana shida zake nikamuonea huruma nikamuambia twende kwangu ukawe hata houseboy, ajabu jamaa akiishafanya kazi ndogo ndogo akapata zake ugali mkubwa anapumzika mpaka kesho😃😃😃😃 hivi unategemea mtu kama huyu awe sawa na mimi??
Mkafanye kazi kwa bidii jamani magufuli mlisema vyuma vimekaza huyu tena mnalialia yani watanzania wanapenda vya bure.Tatizo upigaji kwa wachache umeongezeka, huku maisha ya wengi yakiendelea kudidimia. Katika hili, ajiandae tu kusikia kelele kutoka kila kona ya nchi.
sijawahi kukupinga..ila leo nitakupinga..kuhusu ishu ya usawa, kihulisia hatuwezi kuwa sawa hasahasa kwenye ishu ya uchumi mpaka yesu anarudi mfano juzi tu hapa kwenye nyumba ya ibada nilikutana na jamaa mmoja amenililia sana shida zake nikamuonea huruma nikamuambia twende kwangu ukawe hata houseboy, ajabu jamaa akiishafanya kazi ndogo ndogo akapata zake ugali mkubwa anapumzika mpaka kesho😃😃😃😃 hivi unategemea mtu kama huyu awe sawa na mimi??
Kwanini wewe ulazimishe fasihi yako ndio maana ya kauli Rais Samia alikusudia?, hopeless kabisa
Hopeless thread,unatetea upumbavu wa kauli ya kiongozi mkuu?,rohoni kwa mtu ni mbali yeye ambaye madhara ya hii kauli kaisikia toka kwa jamii atoke hadharani kuitolea maelezo,sio wewe kapuku waheed
Yule ni binadamu kama sisi wala si shetani. Matendo yake ndio hukumu yake kwa raia.Shetani anachukiwa yeye au Matendo yake?
Matendo ya MTU ndio MTU Mwenyewe na hata adhabu hupewa MTU na sio Yale aliyoyatenda.
Kuhusu Katiba mpya, sina uhakika. Ila kama wangefanya amendment hasa kipengele cha mamlaka ya Rais ningepongeza Sana.
Jipe moyo
Kama unadhani kumiliki mali nyingi ni kazi rahisi basi inaonekana na wewe utakuwa maskini tu.
There is always behind bussness nyuma ya utajiri Mkubwa.
Sio utajiri wa kuuza duka na kuuza Nyanya kariakoo
Yule ni binadamu kama sisi wala si shetani. Matendo yake ndio hukumu yake kwa raia.
🤣 Kubadilisha kipengele cha mamlaka yake ni sawa na yeye kujipeleka kwenye deathrow. Hilo ni gumu sidhani kama ataweza.
🤣 Hahahah ngoja tuone fupa lililomshinda fisi kama litatafunika awamu hiiBinadamu akifanya mambo ya kishetani huitwa shetani tuu. Shetani ni Cheo, Sifa, MTU yeyote anaweza kuitwa.
Mimi nataka hapo kwenye mamlaka ya Rais ndio pafanyiwe kazi. Huko kwengine wapaaache kama palivyo. Uone Hii nchi kama haiendi.
Katiba ikiruhusu Rais kushtakiwa kama Watu wengine automatically nguvu ya Mahakama na Bunge itakuwepo.
🤣 Hahahah ngoja tuone fupa lililomshinda fisi kama litatafunika awamu hii
Mitanzania Mingi ni mijinga sana na iliharibiwa akili na Babu Yao wa Taifa chini ya ujamaa mbuzi.Habari Wakuu!
Kwanza ijue nchi yako, waelewe Watu wako. Ifahamu jamii yako.
Sisi ni jamii ambayo mtu ukifanikiwa utaitwa ni Freemasonry,
Tupo kwenye jamii ambayo ukiwa na utajiri unaitwa Fisadi, Jizi au muuza madawa ya kulevya.
Tupo kwenye jamii ambayo ukimiliki vimiradi kadhaa au biashara za hapa na pale unaitwa unatumia Uchawi wa ngende. Ielewe jamii yako na watu wake.
Fanya vyovyote utakavyofanya, TOA jasho lako utakalotoa lakini elewa kuwa siku utakayofanikiwa watanzania wengi watakuweka kwenye mojawapo ya makundi hayo hapo juu.
Kwa kweli Taikon Master tangu nimezaliwa mpaka umri nilionao sijawahi kumuona Tajiri au mtu aliyefanikiwa hapa nchini ambaye Watu wanasema amepata Pesa kihalali. Hiyo sijawahi kusikia. Itakuwa mara yangu ya Kwanza na ambayo nitaiandika kwenye kumbukumbu zangu na pengine kuandika kitabu cha huyo mtu ambaye Watu watamsema amepata Mafanikio yake Kwa halali.
Leo sitaki kuwasumbua Sana,
Mama Samia kosa alilofanya ni Kutumia Ile Kanuni ya kila MTU ale urefu wa kamba yake. Kauli ambayo watanzania hawatakuja kuitaka Kwa sababu watanzania ni jamii ya kijamaa. Watu ambao wanataka kula kamba Kwa kushirikiana.
Watanzania wanavutiwa zaidi na viongozi ambao wanataka kuwafanya Watu wote kuwa Sawa ndani ya jamii. Yaani matajiri na Maskini wote wawe Sawa. Wavivu na wachapakazi wawe Sawa. Wenye bahati na wasio na bahati wawe sawasawa. Hilo Kwa Samia halipo, hiyo sio falsafa yake. Hapo ndipo anapopishana na upendo wa watanzania.
Samia anatumia Ile falsafa ya Yesu isemayo kila MTU abebe msalaba wake. Kila mtu ajikune pale mkono wake unapofikia.
Samia hawezi kumshusha wa juu ili afanane nawa Chini. Hiyo sio falsafa yake. WA Chini akitaka kwenda juu apambane kivyake vyake. Wakati vivyohivyo.
Wenye bahati wabaki wenye bahati Yao mpaka bahati Yao itakapokwisha. Wasio na bahati waendelee kuhenyeka mpaka bahati Yao utakapokuja yenyewe au Kwa wao kuitafuta.
Watanzania kama jamii hainaga Tabia ya ku- appreciate uwezo wa waliofanikiwa. Hata hapo kwenu wewe ukifanikiwa bado watakuona kama aidha umebahatisha, huna uwezo, au umetumia ndumba, au umebebwa bebwa.
Samia hiyo falsafa yake hawezi kutoboa kwenye mioyo ya Watanzania. Na sidhani kama yeye ni wale Watu wanaotafuta kupendwa au kulazimisha kukubalika.
Eeeh! Acha nipumzike tuu.
Ijumaa Kareem
Duniani hakuna usawa,usawa ni mbinguni tu,tupambane kutafuta hela
Niambie yule waziri wa mapesa anayemiliki timu ya mpira na kusajili kwa pesa ya kutisha huku akiajiri wazungu kuifundisha kapata vipi huo utajiri? Mstaafu wa Msoga anayemiliki biashara kubwa akiwa madarakani kapenya vipi? Wapo wengi tukianza kuorodheshaHabari Wakuu!
Kwanza ijue nchi yako, waelewe Watu wako. Ifahamu jamii yako.
Sisi ni jamii ambayo mtu ukifanikiwa utaitwa ni Freemasonry,
Tupo kwenye jamii ambayo ukiwa na utajiri unaitwa Fisadi, Jizi au muuza madawa ya kulevya.
Tupo kwenye jamii ambayo ukimiliki vimiradi kadhaa au biashara za hapa na pale unaitwa unatumia Uchawi wa ngende. Ielewe jamii yako na watu wake.
Fanya vyovyote utakavyofanya, TOA jasho lako utakalotoa lakini elewa kuwa siku utakayofanikiwa watanzania wengi watakuweka kwenye mojawapo ya makundi hayo hapo juu.
Kwa kweli Taikon Master tangu nimezaliwa mpaka umri nilionao sijawahi kumuona Tajiri au mtu aliyefanikiwa hapa nchini ambaye Watu wanasema amepata Pesa kihalali. Hiyo sijawahi kusikia. Itakuwa mara yangu ya Kwanza na ambayo nitaiandika kwenye kumbukumbu zangu na pengine kuandika kitabu cha huyo mtu ambaye Watu watamsema amepata Mafanikio yake Kwa halali.
Leo sitaki kuwasumbua Sana,
Mama Samia kosa alilofanya ni Kutumia Ile Kanuni ya kila MTU ale urefu wa kamba yake. Kauli ambayo watanzania hawatakuja kuitaka Kwa sababu watanzania ni jamii ya kijamaa. Watu ambao wanataka kula kamba Kwa kushirikiana.
Watanzania wanavutiwa zaidi na viongozi ambao wanataka kuwafanya Watu wote kuwa Sawa ndani ya jamii. Yaani matajiri na Maskini wote wawe Sawa. Wavivu na wachapakazi wawe Sawa. Wenye bahati na wasio na bahati wawe sawasawa. Hilo Kwa Samia halipo, hiyo sio falsafa yake. Hapo ndipo anapopishana na upendo wa watanzania.
Samia anatumia Ile falsafa ya Yesu isemayo kila MTU abebe msalaba wake. Kila mtu ajikune pale mkono wake unapofikia.
Samia hawezi kumshusha wa juu ili afanane nawa Chini. Hiyo sio falsafa yake. WA Chini akitaka kwenda juu apambane kivyake vyake. Wakati vivyohivyo.
Wenye bahati wabaki wenye bahati Yao mpaka bahati Yao itakapokwisha. Wasio na bahati waendelee kuhenyeka mpaka bahati Yao utakapokuja yenyewe au Kwa wao kuitafuta.
Watanzania kama jamii hainaga Tabia ya ku- appreciate uwezo wa waliofanikiwa. Hata hapo kwenu wewe ukifanikiwa bado watakuona kama aidha umebahatisha, huna uwezo, au umetumia ndumba, au umebebwa bebwa.
Samia hiyo falsafa yake hawezi kutoboa kwenye mioyo ya Watanzania. Na sidhani kama yeye ni wale Watu wanaotafuta kupendwa au kulazimisha kukubalika.
Eeeh! Acha nipumzike tuu.
Ijumaa Kareem
Basi endelea kulalamikaNa hela huwezi kuzipata kwani wanazishikiria ndio hao hao WANAKULA kwa urefu wa kamba zao(viongozi)
Huyo ni WA kwanza hapa Tanzania? Mnyeti alikzipata ? PM alikzipata wapi?Niambie yule waziri wa mapesa anayemiliki timu ya mpira na kusajili kwa pesa ya kutisha huku akiajiri wazungu kuifundisha kapata vipi huo utajiri? Mstaafu wa Msoga anayemiliki biashara kubwa akiwa madarakani kapenya vipi? Wapo wengi tukianza kuorodhesha
Sio wizi hiyo ni kanuni ya kibilia na kanuni ya kibepari,utakula Kwa jasho lako kadiri ya Juhudi zako.Tafsiri yako ni Wizi si ndio Mkuu.
Kwa hiyo msemo wa kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake unauelewaje?
Una uhakika sifanyi kazi, na badala yake nimekaa tu na kulialia! Na kupenda vya bure? Ni vipi hivyo vya bure mnaweza kunipa nyinyi maccm?Mkafanye kazi kwa bidii jamani magufuli mlisema vyuma vimekaza huyu tena mnalialia yani watanzania wanapenda vya bure.
Niambie yule waziri wa mapesa anayemiliki timu ya mpira na kusajili kwa pesa ya kutisha huku akiajiri wazungu kuifundisha kapata vipi huo utajiri? Mstaafu wa Msoga anayemiliki biashara kubwa akiwa madarakani kapenya vipi? Wapo wengi tukianza kuorodhesha