Kuanzia 2023-2025 CHADEMA itampa wakati mgumu sana Rais Samia

Sisi CHADEMA tumekaa kimya tunasoma comments zenu tu, nothing can stop us in any way
 
Ukiwa na mke ambaye kabla hujamuoa kuna mwenzio mlikuwa mnagongana na kugombana kwa ajili ya yule demu, ukabahatika akatua kwako na ukaoa, siku mkipatana na huyo mwenzio na ukawa unamkaribisha kwako basi ujue atamla tu huyo mke aliyetua kwako.

Urafiki wa Mbowe na Samia ni kifo cha ccm. Urafiki unaoweza kuwa salama ni wa Samia na Zitto.
 
Wewe unaamini CCM, inaweza kusurvive bila mbeleko ya Polisi ? Polisi leo iamue itekeleze jukumu lake bila mkono wa CCM, unadhani mtatoboa?
 
Hakuna Cha wakati mgumu Ni kujidanganya tuu..
 
wewe msambwanda wa polepole huwa unawashwawashwa sana lakin mim kidume nitakushughulikia tu kila nionapo ujinga wako humu jf
 
wewe msambwanda wa polepole huwa unawashwawashwa sana lakin mim kidume nitakushughulikia tu kila nionapo ujinga wako humu jf
Chadema Ni chama SHIKIZI tu, hiyo Ni Saccos, Ni mradi wa mtu huo ndio sababu ya upigaji wa hela uliopo pale
 
Chadema Ni chama SHIKIZI tu, hiyo Ni Saccos, Ni mradi wa mtu huo ndio sababu ya upigaji wa hela uliopo pale
ccm na mapoyoyo yake humu jf mtanyooka tu mtake msitake ngoja ifike 2025 tutawatia adabu kama tulivyomtia adabu baba yenu akapora uchaguz matokeo yake saiv mmebaki kwenda kuhiji chato, na huyo mammayenu ajaribu kupora uchaguz 2025 kama hamjaimba parapanda italia.
 
Mbowe Jana amerudia Ile kauli nisoipenda Eti sa100 ni msikivu!!!

Angekuwa msikivu, Leo MAKAMBA, nape na mwigu wasingekuwa mawaziri.

Mbowe Rudi Kwa mstari.
Acha kupotosha wewe mbowe ndo mwamba wa siasa hapa nchini na hayo maneno labda kama unambowe wako huko kwenu aliyesema hivyo sawa.
 
mpumbavu ni wewe na ccm yako yote na sio chadema ndio maana huyo mkapa wenu kwa ulofa na upumbavu wake hakuendelea kuishi hapa dunian maana Mungu aliona ni lofa bora atoweke na nyie malofa wachache mliobaki ni wala la muda tu.
 
Hakuna wa kushindana na Rais Samia, Wala Chadema hayupo mtu wa kufikiriwa kupewa hata Kura moja ya mtanzania mwenye akili timamu, pambaneni kuhakikisha michango yenu yote iliyotafunwa huko chadema inarejeshwa ili mjenge hata ofisi ya chumba kimoja
 
Kina Heche wakirudi bungeni, mama na CCM yake watakuwa wanaonekana ni katuni. Watakata tena matangazo ya live. Save this message
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…