Kuanzia 2023-2025 CHADEMA itampa wakati mgumu sana Rais Samia

Sukuma gang wapo, labda tu kama hutaki kukubali ukweli huu. Njia zisizo halali ni kama zip?
 
Muulize mama yako atakwambia
Kwa hiyo hapo ndio umemjibu swali lake? pumbaf mkubwa, hoja hii mezani na mama yake anahusika vipi?
Unaweza kuwa na hoja ya msingi kama unaisimamia vyema, lakini kutukana ni dalili ya ujinga wa kiwango cha juu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ok, wewe kwa akili yako mambo yanakwenda sawa kiasi kuwa hayapaswi kupingwa?
Tupe muono wako!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Bado tu umeshikilia msimamo wako huu duni, usiotazama mbele na wa kipropaganda?

Mama yako ameshajitikisa mwenyewe na anakwenda kuanguka kwa kishindo kikubwa mno kuliko akili yako ndogo inavyofikiri..!

Tafuta pa kukimbilia na zaidi sana na kama una akili za kuwaza mbele, basi, anza kumtafuta mwingine wa kuanza kulamba nyayo zake maana huyu mama yako hachukui muda atatoweka kama vumbi...!!
 
Kwani hao CHADEMA siku hizi wana dola?
 
Hukusoma KATIBA kuwa wananchi ndo mwanzo wa mamlaka ya sirikali?
Kinadharia sawa. Lkn kivitendo mamlaka na kila kitu cha nchi kiko ktk mikono tabaka dogo sana la kijamii. Watu hao ni;
1. Viongozi wakubwa wa kisiasa.
2. Wafanya biashara wakubwa.
3. Wakuu wa vyombo vya ulinzi.
4. Viongozi wakubwa wa dini.
 
Napiga msitali hapa(cdm ni chama kinacho fuata matukio)
 

Huwa nakuambia ww ni mzee wa kubahatisha, kisha jambo ulilosema ikitokea bahati mbaya likatokea basi unajifanya uliona mbali. Huyo Mbowe unayetaka tuamini alikua compromised, ndio huyo kasema mzenji anataka kuuza bandari za Tanganyika, na hadi sasa chama chake kinajiliza eti kuna ubaguzi.
 
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…