Sukuma gang wapo, labda tu kama hutaki kukubali ukweli huu. Njia zisizo halali ni kama zip?Usikaririshwe,
Hiyo gang uloitaja ni imagination, haipo,
Kilichopo ni Wananchi wanapambana kupata HAKI zao, na kundi la Watawala WAOVU linazuia.
Mgawanyiko ni huo, WENYE NACHO Kwa njia zisizo halali VS WASIONACHO.
Badilikika usiwe KASUKU, Yeye hurudia vile vile alichosikia.
Jiandae,Sukuma gang wapo, labda tu kama hutaki kukubali ukweli huu. Njia zisizo halali ni kama zip?
Kwa hiyo hapo ndio umemjibu swali lake? pumbaf mkubwa, hoja hii mezani na mama yake anahusika vipi?Muulize mama yako atakwambia
Ok, wewe kwa akili yako mambo yanakwenda sawa kiasi kuwa hayapaswi kupingwa?Nyie chadema ni wapumbavu sana. Ninyi wakati Magufuli Alipokuwepo madarakani na akajaribu kupambana na mafisadi. Kudhibiti nidhamu kazini kujenga miradi mikubwa.
Nyie nyie mlikua mnampinga na kumtukana kila siku.
Aya kaja mama sasa. Mliekua mnamtaka. Mmeanza tena ujinga wenu. Nyie sio chama cha siasa Bali ni wahunitu.
Ndio maana Mzee Mkapa Aliwaita " Malofa na Wapumbavu"
Kauli hii ya kikamanda hasa.Sisi CHADEMA tumekaa kimya tunasoma comments zenu tu, nothing can stop us in any way
Hujagundua kuwa comments zako zinadharaulika sana humu JF?Chadema Ni chama SHIKIZI tu, hiyo Ni Saccos, Ni mradi wa mtu huo ndio sababu ya upigaji wa hela uliopo pale
Wataje.Sijawahi wapa kura CCM tokea 2010
Ila kuna vijana wa Chadema wanarudisha watu nyuma
Bado tu umeshikilia msimamo wako huu duni, usiotazama mbele na wa kipropaganda?Chadema haina ubavu wa kumtikisa mh Rais mama Samia,Haina nguvu hiyo Wala uwezo huo, chadema Ni chama kilichojichokea,Ni chama kilichokosa dira na muelekeo.
Ni chama kilichokosa safu ya uongozi ya kuaminika na kusikilizwa, Ni chama kisicho na muunganiko, Ni chama kilichokosa miziz.
Ni chama kilichopuuzwa na watanzania. Ni chama kisicho na Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya mtanzania mnyonge,Ni chama kinachofuata matukio
Watanzania wana Imani na CCM na serikali ya ccm chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia, kwa kuwa CCM ndio chama chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania,ndio chama kilichoonyesha kwa matendo kuwa na uchungu na maisha ya mtanzania,ndio sababu ya Kuendelea kuaminika na kuungwa mkono na watanzania wote
Kwani hao CHADEMA siku hizi wana dola?Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.
Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!
Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:
Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.
Hukusoma KATIBA kuwa wananchi ndo mwanzo wa mamlaka ya sirikali?Kwani hao CHADEMA siku hizi wana dola?
Kinadharia sawa. Lkn kivitendo mamlaka na kila kitu cha nchi kiko ktk mikono tabaka dogo sana la kijamii. Watu hao ni;Hukusoma KATIBA kuwa wananchi ndo mwanzo wa mamlaka ya sirikali?
Na badoHatimaye.
kabisa yaani !Safari Bado
Napiga msitali hapa(cdm ni chama kinacho fuata matukio)Chadema haina ubavu wa kumtikisa mh Rais mama Samia,Haina nguvu hiyo Wala uwezo huo, chadema Ni chama kilichojichokea,Ni chama kilichokosa dira na muelekeo.
Ni chama kilichokosa safu ya uongozi ya kuaminika na kusikilizwa, Ni chama kisicho na muunganiko, Ni chama kilichokosa miziz.
Ni chama kilichopuuzwa na watanzania. Ni chama kisicho na Sera Wala ajenda zenye kugusa maisha ya mtanzania mnyonge,Ni chama kinachofuata matukio
Watanzania wana Imani na CCM na serikali ya ccm chini ya uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia, kwa kuwa CCM ndio chama chenye Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania,ndio chama kilichoonyesha kwa matendo kuwa na uchungu na maisha ya mtanzania,ndio sababu ya Kuendelea kuaminika na kuungwa mkono na watanzania wote
Na siasa ni matukio hilo pia pigia mstariNapiga msitali hapa(cdm ni chama kinacho fuata matukio)
Mtu ukihisaniwa, lazima utakumbuka fadhila!. Niliwahi kuuliza Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
Mama aliusikia wito huu na kuuitikia, akasamehe bila kuombwa msamaha na baada tuu ya msamehewa kusamehewa breki ya kwanza ni kibisha Hodi Ikulu kwenda kushukuru. Msamehewa huyu baada ya kusamehewa by now he is highly compromised!, sasa ni harmless kabisa, hawezi kusumbua tena, unless kama mtampumzisha pale akaingia Heche.
P
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.[emoji419][emoji375]Nilipata kusema humu kwamba kwa namna Samia asivyo na nia ya dhati kwa aliyokuwa akikubaliana na Mbowe litakuwa ni suala la wakati tu wawili hao kutofautiana tena.
Baadhi yetu kwa siku za hivi karibuni tumekiona CHADEMA kama kimefifishwa kwa maneno matamu ya Samia na CCM yake lakini ukweli haupo hivyo tudhanivyo bali Chadema walijipa tu mda wa kuona yaahidiwayo na Samia na CCM yake yakitimu jambo ambalo hadi leo blah-blah ni nyingi pasipo matendo.
Tuitarajie CHADEMA inayoenda kumsumbua Samia isivyokuwa ikitarajiwa!
Fimbo ya CHADEMA kumchapia Samia imerahisishwa na yafuatayo:
Ukosefu wa umeme wa uhakika, ukosefu wa maji safi na salama hasa Dar es Salaam, miradi mingi ya umeme vijijini kukwama, rushwa na ufisadi kurejea kwa kasi, huduma za afya kuendelea kuwa duni, mafisadi kurejeshwa kwenye mstari na GHARAMA ZA MAISHA KUPANDA HASA MFUMKO WA BEI WA MAHITAJI MUHIMU.
2023 na kuendelea itakuwa ni uwanja mchungu wa mapambano kwa Samia.