Kuchukiwa kwa Wayahudi ni kwasababu ya kupendelewa na Mungu kwenye akili, Haiwezekani kundi dogo lipate maendeleo makubwa kiasi hiki bila chuki

Aaaaiisee upo ok lakini? Hemu ka kwanza kwenye tulia kidogo kwenywa maji. Haya sasa hemu anza mwanzo kutuambia
 
CEO sio scientist hapo ndipo unapoanza kujichanganya, manager yoyote yule anaweza kuwa CEO, huhitaji kuwa smart kivile, ila kuwa scientist unahitaji kichwani uwe vizuri.

nimekupa mfano Hapo Nasa mtu aliekua responsible na project ya Mars Firouz Nadari ni Muiran

sio yeye Tu hapo NASA wamejaa kibao,

si NASA tu angalia hizi contribution za hawa scientist

1. Ghavam Shahidi, head wa silicon IBM soma contribution yake kwenye computer na silicon hapa

2. ben Fathi moja ya vichwa vilivyodevelop software nyingi tunazotumia leo kuanzia core ya windows, Cisco na vinginevyo

3. Pierre Omidyar, founder wa Ebay na software egnineer

4. sarkis Acopian mvumbuzi wa solar radio

5. siavashi alamouti mgunduzi wa Alamouti code ambayo mpaka leo imefanya space time block kuwa possible na unatumia technology za wireless.
6. Arashi Ferdowsi founder wa dropbox
7. Bob Miner co founder wa Oracle
8. justin Mateen founder wa Tinder
9. Farzad Nazeem aliyeitoa Yahoo from Nothing hadi kuwa Giant
10. parisa tabreez bi dada behind project nyingi unazizona za chrome, na security za google

hao ni wachache tu Iranian American ambao wamegundua ama kuanzisha vitu ambavyo vimekuwa ma giant ulimwengu wetu wa sasa.

kama mimi na wewe unaweza niwekea wavumbuzi wahindi wenye contribution kama hio?
 
Ila hao jamaa kiukweli akili wanazo!
Mengine namwachia mtoa post.
 
Israel wanachukiwa kwa mambo mengine, kuhusu akili kuna wenye akili zaidi...
 
Tatizo lenu ni story za vijiwe vya gahawa na kalimati zisizo na facts

Drop the facts sio bla bla za vijiweni
comment iliopita tumemaliza iranian American nimekupa list ndefu tu, hapa nakupa ushahidi mwengine kwamba wao ndio most educated Ethnic group Usa, utafiti umefanywa na MIT Massachusetts Institute of Technology

The group estimates that the actual number of Iranian-Americans may top 691,000 — more than twice the figure of 338,000 cited in the 2000 U.S. census. According to the latest census data available, more than one in four Iranian-Americans holds a master’s or doctoral degree, the highest rate among 67 ethnic groups studied.

source imekuwa archived hapa

ukiwa na community kila watu 4 basi mmoja ana PHD au Master utaiitaje?

tuje sasa Middle East,

1. ubora wa vyuo

COUNTRYTOP 100101-500501-10001001-50005001-10000TOTAL
Israel052201855
Iran02911831440
source Countries arranged by Number of Universities in Top Ranks | Ranking Web of Universities: Webometrics ranks 30000 institutions
kwenye Vyuo by Far Muiran ana Vyuo vingi na Bora.

2. publications za Sayansi
nako Iran anachuana na Saudi na Mturuki israel akifuatia kwa mbali

source

3. Engineer graduates
Iran ni Nchi ya 3 Duniani nyuma ya Urusi na USA kuproduce ma Engineer wengi zaidi
RankCountryNumber of Annual Engineering/Manufacturing/Construction Graduates
1Russian Federation454,436
2United States237,826
3Iran233,695
4Japan168,214
5South Korea147,858
6Indonesia140,169
7Ukraine130,391
8Mexico113,944
9France104,746
10Vietnam100,390

source

kitu pekee Ambacho Muisrael anampita Muiran ni kuomba misaada.
 
Hao computer scientists uliowaweka hapo ni wachache sana kulinganisha na wayahudi, Kwa kukurahishia ni kwamba Noble Prizes nyingi za Science na Technology zipo kwa wayahudi, Lakini bado haimaanishi kwamba hakuna wanasayansi wengine, wapo hata wa Iran na wana michango yao,
 
Nobel prize ni Tuzo imeanzishwa na wayahudi, kuna wauaji wangapi wamepewa hio Tuzo wapo kibao ni Tuzo yenye utata iliojaa damu. So kutumia Tuzo ya wayahudi ambayo wanamchagua wanayemtaka kama kigezo cha kuangalia ubora wa wanasayansi ni ujinga tu.

Na Armstrong alikua Mjerumani/Mscotland sijajua anahusika vipi na hii Mada.

Pia nimekutajia baadhi sio kwamba hao ni wote kuna maelfu ya scientist wa kiiran hapo Usa kama nilivyokwambia comment nyengine kila Iranian American 4 basi mmoja ana master ama PhD, they are that smart,
 
Mungu hapendelei. Wayahudi hawajapndelewa bali wanasifika kwa utapeli, kujipendekeza hata usaliti. Kuna waswahili wengi waliogundua vitu vingi huko Marekani lakini wazungu wakapachika majina yao au kutowatambua hebu Bonyeza hapa na hapa hii mfano mdogo tu.
 
chanzo ulichoweka website hakina uzito wowote, Mwenye website hana hata pesa ya kuiendesha imefungiwa

www.payvand.com

Hata mimi naweza kuweka video kwamba Wanigeria ndio watu waliolemika zaidi duniani




Kuhusu ubora wa vyuo kwa picha uliyoweka ni kwamba Israel wana vyuo bora vingi kwenye nafasi ya juu kuzidi Iran, Halafu uwe unajiongeza mkuu, Iran ina ukubwa zaidi ya mara 100 ya Israel, Israel ipp limited kujenga vyuo

Hii ni Havard university inaonyesha graduates kulingana na mataifa, Kila mwaka idadi ya wayahudi walioelimika inaongezeka hawa ni kutoka Israel waweke kando wa Marekani, Hakuna hata nchi moja ya kiarabu iliyoweza kupenya hii list.



Mimi nakuwekea source za uhakika sio za kubangaiza Worldwide Data | Harvard Worldwide

Unaweza kuwa na utitiri wa scientific publications lakini ukazidiwa mbali mifano ni nchi kama Indonesia, Brazil, n.k. Israel ipo kivitendo zaidi ndio maana makampuni mengi yamejazana huko kutafitiwa na kuendelezewa bidhaa / huduma.

Hao engineers ungejiongeza kidogo kutathmini population kwa kila nchi, Pia source uliyoweka haijaweka reference ya uhakika ya ku proove, Lakini muhimu kuzidi vyote hao engineers wana impact ipi ? Ukienda Israel Engineers wameweza kutengeneza kampuni kubwa ya kilimo dunia nzima, Kwenye cyber security wanakimbiza, Makampuni ya nchi kibao yanawekeza Israel kubuniwa bidhaa na engineers.
 
Kwa haya uliyo yaandika hapa ina onesha kiwango cha upumbavu kilichoko kwenye kichwa chako,Iran irushe makombora kwenye makazi ya watu ili ipate faida gani?
Kwahiyo hizo video zilizo jaa mitandaoni zinazo onesha makombora yakipiga talikuwa yana piga kwenye makazi ya raia?

Eti Iran hakuna intanet hivi ww jamaa una akili kweli?
 
Source sio Payvands hao ndio walio report source Ni MIT university. Unaweza tafuta site yoyote ilioreport kama unataka ku question data Question hio university na sio website ilio report.

Halafu twende taratibu usichanganye mambo kama tunaongea Iranian-Usa uwe specific na kama tunaongelea Iran pia uwe specific.

Scientific papers ndio zinarun Dunia kila kitu unachokiona cha kisayansi kinatoka huko, na Ili uelewe kama hao jamaa wapo vizuri angalia Data za Stanford University walivyo rank juu scientist wao. Stanford wana list ya ya top 2% researcher, ambao ni researchers wanaokuwa cited kushinda wote Duniani.
Hii list ya researcher wakubwa Israel



Hii list ya researcher wakubwa Iran

By far Muiran kamu outclass Israel, Top researcher wa Israel ana rank 2500 Duniani na angekua Iran hata top 5 asingekuwepo

So mnavyokuja kutupiga kamba humu muwe hata mnasoma Soma, haki ka nchi kenu hata Top 20 ya nchi zinazorun Dunia kisayansi hawamo,



Halafu hio list ya Havard sijajua hata unataka ku maanisha nini, angalau hata ungetoa contribution, kuonesha tu idadi ya wanafunzi means nothing kwenye tunachozungumzia hapa.
 
Kwa nini waisrael a.k.a wayahudi wa sasa wawe wazungu huku ndugu zao na jirani yao ni waarabu???
 
Hebu tutajie huyo Muiran anayeongoza Project za Nasa kama sio kutulisha matango pori ya Ukobazini..
 
Tatizo lenu ni story za vijiwe vya gahawa na kalimati zisizo na facts

Drop the facts sio bla bla za vijiweni
0
Tuanzie hapa
1.Ukitaja nchi 10 duniani zenye uchumi mkubwa israel haipo.

2.Ukitaja nchi 10 zenye viwanda vingi duniani israel haipo.

3.Ukitaja nchi 10 zenye teknolojia ya hali ya juu israel haipo.
×Simu zote zinazotumika duniani zinatoka marekani(iphone),korea kusini(samsung),china(xiaomi,huawei,oppo,vivo,oneplus,nothing phone,tecno,infinix,itel).
×Magari yote yanayotumika duniani yanatoka marekani(usa),ulaya na china.
×Vifaa vingi vya elektroniksi vinatoka china.
×Nguo nyingi zinatoka china.

4.Ukitaja nchi 10 zenye nguvu kubwa ya kijeshi israel haipo.

5.israel hawatengenezi simu,friji,kompyuta,saa,majiko ya umeme na gas etc,magari,ndege,meli,n.k

Akili zao wanazitumia wapi sasa?
 
Ni
Nilikuwa Nafanya litrature review ya topic flan nilipewa kwa hakiki Jamaa wanapepar nyingi sana kwenye eneo la vaccine pake yake sikuku hata na paper moja iliyotoka iseael taifa la mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…