Ukiona hivyo ujue kuna upigaji, kila mnunuzi anapewa bei yake kulingana na alivyokuja. Mteja mwingine anaanza kusifia bidhaa kwanza ilivyo nzuri kabla hajauliza bei. Unategemea atapewa bei sawa na wengine?Sijawahi kuona wafanyabiashara wapuuzi kama wa Online katika hii nchi! Anaweka product na kazi yake tu ila specifications hamna na bei haweki anataka umpigie simu au uende inbox. Sasa unauza kitu ambacho thamani yake huijui ama! Hii tabia inakera mno mbadilike.
Ndio chAnzoUkiona hivyo ujue kuna upigaji, kila mnunuzi anapewa bei yake kulingana na alivyokuja. Mteja mwingine anaanza kusifia bidhaa kwanza ilivyo nzuri kabla hajauliza bei. Unategemea atapewa bei sawa na wengine?
Mbona hayo ni mambo ya kawaida....? Tena hilo la feedback kwa wateja wengine ni la muhimu sanaJiwe gizani
Wasumbufu wameguswa hapo juu
Ukiona blue ticks kwenye whatsap yangu unaweza ukaacha kabisa online business
Mtu anakuja na screenshot yenye bei Halafu anakuuliza bei gani?
Umeandika location anauliza unapatikana wapi
Picha umeweka anaomba picha zaidi
Wengine wanaomba mpaka feedback kutoka Kwa wateja wengine [emoji119]
Machozi yanaenda na majiHahahaha lazma awe mkali ili upunguze maswali utume hela. Ogopa sana wale wanaojifanya duka liko Zanzibar utalia kilio cha samaki
M
ScammerKuna wale wanauza spare parts za gari kwa bei ya jumla. Unakuta mtu kapost picha bei haweki unauliza kwenye comment halijibu. Ukienda inbox hajibu
Kweli kabisa kama ilo ni JIZI kabisaNi kweli watanzania wengi hawapo serious kwenye biashara,imagine mtu kama huyu hapo [emoji116][emoji116] anauza sim halafu anafunga comments,unategemea nin hio bei yenyewe aliyoandika hapo unaona kabisa huyu ni mpigaji,so wauzaji na wanunuzi wote ni wamoja tuuView attachment 2396148
Una elimu ganiJiwe gizani
Wasumbufu wameguswa hapo juu
Ukiona blue ticks kwenye whatsap yangu unaweza ukaacha kabisa online business
Mtu anakuja na screenshot yenye bei Halafu anakuuliza bei gani?
Umeandika location anauliza unapatikana wapi
Picha umeweka anaomba picha zaidi
Wengine wanaomba mpaka feedback kutoka Kwa wateja wengine [emoji119]
Picha ya magodoro, wengine hatuyajui.Qfl magodoro dodoma
Tx(cover ya kushona)
5/6/6=196,000
5/6/8=264,000
5/6/10=320,000
5/6/12=380,000
6/6/6=224,000
6/6/8=320,000
6/6/10=380,000
6/6/12=450,000
Call [emoji338] 0717811059
Tunapatikana ubungo kibo
Unapigwa kimyakimya yaniNi kweli watanzania wengi hawapo serious kwenye biashara,imagine mtu kama huyu hapo [emoji116][emoji116] anauza sim halafu anafunga comments,unategemea nin hio bei yenyewe aliyoandika hapo unaona kabisa huyu ni mpigaji,so wauzaji na wanunuzi wote ni wamoja tuuView attachment 2396148
Mmoja wa wateja wasumbufuSijawahi kuona wafanyabiashara wapuuzi kama wa Online katika hii nchi! Anaweka product na kazi yake tu ila specifications hamna na bei haweki anataka umpigie simu au uende inbox. Sasa unauza kitu ambacho thamani yake huijui ama! Hii tabia inakera mno mbadilike.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeshtuka ee, hawa watu vichwa panz sana , wasumbufu mnoJiwe gizani
Wasumbufu wameguswa hapo juu
Ukiona blue ticks kwenye whatsap yangu unaweza ukaacha kabisa online business
Mtu anakuja na screenshot yenye bei Halafu anakuuliza bei gani?
Umeandika location anauliza unapatikana wapi
Picha umeweka anaomba picha zaidi
Wengine wanaomba mpaka feedback kutoka Kwa wateja wengine [emoji119]
Uza kwanza ndio utajua , hawa wa kuuliza uliza maswal wanao nunua n chini ya 2% .. nawapotezeaga tu , usumbufuWateja watalaumiwa bure,
Ila Tatizo linaanzia kwa wauzaji wenyewe,
Wengi wao Hawana elimu ya marketing, maswali kdg mteja anakudadisi, tayar muuzaji ushapanic.
-Sasa asipokuuliza maswali wewe,unadhani atamuuliza Nani?
- Unadhani Kuna mjinga atatoa pesa mfukoni kirahisi kulipia bidhaa ambayo hajajiridhisha uhalali,ubora na uaminifu nayo?
Wengi hua nawapuuziaYes nikweli aise wateja wengi awapo seriously kama FB Mungu wangu FB kuna ujinga mno unalipia tangazo lako alafu watu wanakuja kukuuliza maswali ulio yatolea majibu kwenye post
Uko sahihi mkuu.Una tatizo la anger management. Hufai kuwa kitengo cha Customer Service utakuwa unaharibu sana. Kwa msaada zaidi soma types of Customers. Mi ukinilitea mawenge nakupa spana live bila chenga na biashara inakufa.
Jenga mentality mteja ni kama mtoto tu, kuna wanaoelewa fasta na kuna wanaochelewa kuelewa.
Kwa wafanya biashara serious kitendo cha ku get in touch tu na mteja kwetu ni opportunity.Wengi hua nawapuuzia
Na mara nyingi hao hua hawanunui atakusumbua tu