Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

Sijawahi kuona wafanyabiashara wapuuzi kama wa Online katika hii nchi! Anaweka product na kazi yake tu ila specifications hamna na bei haweki anataka umpigie simu au uende inbox. Sasa unauza kitu ambacho thamani yake huijui ama! Hii tabia inakera mno mbadilike.
Ukiona hivyo ujue kuna upigaji, kila mnunuzi anapewa bei yake kulingana na alivyokuja. Mteja mwingine anaanza kusifia bidhaa kwanza ilivyo nzuri kabla hajauliza bei. Unategemea atapewa bei sawa na wengine?
 
Ukiona hivyo ujue kuna upigaji, kila mnunuzi anapewa bei yake kulingana na alivyokuja. Mteja mwingine anaanza kusifia bidhaa kwanza ilivyo nzuri kabla hajauliza bei. Unategemea atapewa bei sawa na wengine?
Ndio chAnzo
 
Jiwe gizani

Wasumbufu wameguswa hapo juu

Ukiona blue ticks kwenye whatsap yangu unaweza ukaacha kabisa online business

Mtu anakuja na screenshot yenye bei Halafu anakuuliza bei gani?

Umeandika location anauliza unapatikana wapi

Picha umeweka anaomba picha zaidi

Wengine wanaomba mpaka feedback kutoka Kwa wateja wengine [emoji119]
Mbona hayo ni mambo ya kawaida....? Tena hilo la feedback kwa wateja wengine ni la muhimu sana
 
Qfl magodoro dodoma

Tx(cover ya kushona)
5/6/6=196,000
5/6/8=264,000
5/6/10=320,000
5/6/12=380,000

6/6/6=224,000
6/6/8=320,000
6/6/10=380,000
6/6/12=450,000

Call [emoji338] 0717811059
Tunapatikana ubungo kibo
 
Ni kweli watanzania wengi hawapo serious kwenye biashara,imagine mtu kama huyu hapo [emoji116][emoji116] anauza sim halafu anafunga comments,unategemea nin hio bei yenyewe aliyoandika hapo unaona kabisa huyu ni mpigaji,so wauzaji na wanunuzi wote ni wamoja tuu
Screenshot_20221024-093452.jpg
 
Jiwe gizani

Wasumbufu wameguswa hapo juu

Ukiona blue ticks kwenye whatsap yangu unaweza ukaacha kabisa online business

Mtu anakuja na screenshot yenye bei Halafu anakuuliza bei gani?

Umeandika location anauliza unapatikana wapi

Picha umeweka anaomba picha zaidi

Wengine wanaomba mpaka feedback kutoka Kwa wateja wengine [emoji119]
Una elimu gani
 
Qfl magodoro dodoma

Tx(cover ya kushona)
5/6/6=196,000
5/6/8=264,000
5/6/10=320,000
5/6/12=380,000

6/6/6=224,000
6/6/8=320,000
6/6/10=380,000
6/6/12=450,000

Call [emoji338] 0717811059
Tunapatikana ubungo kibo
Picha ya magodoro, wengine hatuyajui.
 
Sijawahi kuona wafanyabiashara wapuuzi kama wa Online katika hii nchi! Anaweka product na kazi yake tu ila specifications hamna na bei haweki anataka umpigie simu au uende inbox. Sasa unauza kitu ambacho thamani yake huijui ama! Hii tabia inakera mno mbadilike.
Mmoja wa wateja wasumbufu
 
Jiwe gizani

Wasumbufu wameguswa hapo juu

Ukiona blue ticks kwenye whatsap yangu unaweza ukaacha kabisa online business

Mtu anakuja na screenshot yenye bei Halafu anakuuliza bei gani?

Umeandika location anauliza unapatikana wapi

Picha umeweka anaomba picha zaidi

Wengine wanaomba mpaka feedback kutoka Kwa wateja wengine [emoji119]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeshtuka ee, hawa watu vichwa panz sana , wasumbufu mno

Utatuma picha alafu atasema akiwa tayar atakutafuta, siku mbili tatu anajisahau kama alisha kutafuta anarudia tena ujinga ule ule
 
Wateja watalaumiwa bure,
Ila Tatizo linaanzia kwa wauzaji wenyewe,

Wengi wao Hawana elimu ya marketing, maswali kdg mteja anakudadisi, tayar muuzaji ushapanic.

-Sasa asipokuuliza maswali wewe,unadhani atamuuliza Nani?

- Unadhani Kuna mjinga atatoa pesa mfukoni kirahisi kulipia bidhaa ambayo hajajiridhisha uhalali,ubora na uaminifu nayo?
Uza kwanza ndio utajua , hawa wa kuuliza uliza maswal wanao nunua n chini ya 2% .. nawapotezeaga tu , usumbufu

Una msg 1000 za kujibu niache jibu wateja nihangaike na hizo kenge?
 
Yes nikweli aise wateja wengi awapo seriously kama FB Mungu wangu FB kuna ujinga mno unalipia tangazo lako alafu watu wanakuja kukuuliza maswali ulio yatolea majibu kwenye post
Wengi hua nawapuuzia

Na mara nyingi hao hua hawanunui atakusumbua tu
 
Una tatizo la anger management. Hufai kuwa kitengo cha Customer Service utakuwa unaharibu sana. Kwa msaada zaidi soma types of Customers. Mi ukinilitea mawenge nakupa spana live bila chenga na biashara inakufa.

Jenga mentality mteja ni kama mtoto tu, kuna wanaoelewa fasta na kuna wanaochelewa kuelewa.
Uko sahihi mkuu.
Nimemsoma jamaa nikaishia kumuona kama yeye ndio tatizo kabisaaaaaaaaa
 
Wengi hua nawapuuzia

Na mara nyingi hao hua hawanunui atakusumbua tu
Kwa wafanya biashara serious kitendo cha ku get in touch tu na mteja kwetu ni opportunity.

Kwanza tunafurahia toka moyon kwamba unaongea na mteja.
Tunaamnin licha ya kuweka maelezo kwenye banner bado haitoshi kum convince so hivyo akipiga simu hata kama hakua na mpango wa kununua basi atajikuta analazimika kununua.

Katika kuzungumza nae una pata fursa ya kujua persperctive ya bajet yake na ku propose product iliyo katika bajet yake.

Pendeni kazi zenu vijana muache kulialia maisha magumu.

Yan mkisha jaza mipicha picha kwenye page zenu na watsap basi mnaona kama ndio mshamaliza kazi wasiponunua mnaanza kuona biashara ngumu
 
Back
Top Bottom