Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
Unamjibu tu hapana na kumrudisha kwenye point ya msingi.
 
kwa kifupi alivyoniuliza kuhusu meza sikujibu na hakunitext tena. Nahisi aljishtukia.
πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
Unamjibu tu hapana na kumrudisha kwenye point ya msingi.
 
Reactions: Tsh
Kuna muda wahindi nawaonaga wana dharau ila huwa nawaelewa muda mwingine. huwa wanataja bei then wanaendelea na mambo yao hawakutazami usoni.

Wabongo pasua kichwa sana.
 
kuna vtu hapa tanzania huwezi pata unalazimika uagize. labda useme huwezi kuagiza kwa hapa ndani ya nchi.
Daah... Ila sisi wabongo!! Alieturoga atusamehe huko alipo. Tunakwamishana sana.
 
Elimu ya customer care mkuu unamaanisha nini kuweza kuvumilia ujinga wa wengine..

Ili kupunguza maswali unaweka maelezo yote yaliyoshiba tena kwa msisitizo ili mtu akija inbox basi aje kama mnunuzi. kama sio mnunuzi ni alipite tu tangazo.
Huna elimu ya customer care mkuu.
Tuko tofaut na uelewa unatofautiana.
 
Kwaiyo mtoa mada ni tapeli?
 
Au anakumbia kwa sababu nina namba yako nitakutafuta, ukiona hivi jua hakuba munuzi hapo
 
Wauzaji pia sio waaminifu.. ndo maana wateja tunakua na maswali mengi ili kujiridhisha na huduma mkuu..
Imagine kuna mzgo nmeagiza kutoka dar tangu J3 ya wiki iliyopita, ila cha ajabu mpaka leo muuzaji hajautuma.

Uaminifu wenu ni ZERO
Online business huwa na enjoy kufanya na Wazungu na Wahindi basi, wabongo hapana
 
Elimu ya customer care mkuu unamaanisha nini kuweza kuvumilia ujinga wa wengine..

Ili kupunguza maswali unaweka maelezo yote yaliyoshiba tena kwa msisitizo ili mtu akija inbox basi aje kama mnunuzi. kama sio mnunuzi ni alipite tu tangazo.
Mkuu wabongo kwenye online sio kabisa, na bado saaa kwenye Delivery hapo ndio balaaa, anakumbia mfano niletee kuku walio.chinjwa watatu dakika za mwisho ndio unampelekea anakumbia nimepata shida hapa nitachukua mmoja tu au wawili. Acha kabisa
 
Elimu ya customer care mkuu unamaanisha nini kuweza kuvumilia ujinga wa wengine..

Ili kupunguza maswali unaweka maelezo yote yaliyoshiba tena kwa msisitizo ili mtu akija inbox basi aje kama mnunuzi. kama sio mnunuzi ni alipite tu tangazo.
Hata kwenye Delivery hakikisha anakupa pesa kwanza, unaweza juta ni washenzi sana sory
 
Mimi nisha fanya naweka kila kitu, hadi Delibery freee bado ni changamoto kwa kifupi Wazunvu na Wahindi nawakubali sana,
 
Sasa chukulia mfano, Mtu kakupa Oda sawa niandalie lets say kuku watatu uniletee Jumamosi na wachinjwe kabisa, unaandaa na mmeisha kubaliana bei, unashangaa Dakika za mwisho either anakumbia amepepata tatizo la gjafla hachukua wote au unapeleka anataka punguzo tena na mmeisha kubaliana mwanzoa, isha nitokea sina idadi kwa Wabongo ila Wazungu na Wahindi fresh kabisa,
 
Hili nalo ni tatizo au anataka utaje bei kwa kila anaye coment, mimi huwa nawapotezea mazima yaani anaona wa juu yake umemtajia bei na yeye anataka umtajie kwenye coment yake,
 
Au anaomba namba ya simu na umeweka kwenye maelezo
 
Au anakuuliza mimi nipo Kigoma napataje? Ukimjibu nitakutumia hutamuona tena,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…