Hadi nimepigilia misumari mawazo yangu, nilikuwa zaidi ya sahihi🤣🤣
Hili naongea serious, mdada anayenisaidia malezi ya madogo siwezi kumgusa katu. Yule ni sehemu ya familia yangu, ingekuwa hivyo mbona zamani sanaaa...
Ntakuchapa 😂😂😂Mie mzee wa hovyo, si unajua..halafu mtaalam wa loose balls..we endelea tu!🤪
Wa singidani si unawajua mkuu..!Dada wa kazi shepu ipo kidogo?
Tuone namna unavyonichapa🤣Ntakuchapa 😂😂😂
Shimo si shimo tu wazeee au beki 3 linapindia upande😎😎😎😎Kut**mba dada wa kazi ni udhalilishaji kwa mke wa ndoa aseeeee daaaah!.
Halafu mbaya zaidi utam**ombea hapo hapo nyumbani kisha ataanza dharau kwa mke wako kwakuwa anajiona hana tofauti naye vile anashea dicck hiyo hiyo na mama mwenye nyumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kipapatio cha kuku 😂😂Tuone namna unavyonichapa🤣
Si tushakubaliana mume hatoki mitandaoni mkuu?Na kipapatio cha kuku 😂😂
Afu wewe utanifanya nikose mume na maneno yako!!
Mume anatoka kwa Bwana 😂😂Si tushakubaliana mume hatoki mitandaoni mkuu?
Ewaa, hapo sawa mkuu. Nami hapa ndio nimeshushwa na Bwana.Mume anatoka kwa Bwana 😂😂
Ngono ni haramu na laana kwa wasio wana ndoaNyumbani it's first time kaja dada wa kazi kutoka Mbeya,
Hana maajabu ila akili za wanaume si mnazijua. Nikaanza kumtamani. Nikaanza kumlia timing, nikawaza wife akienda kwenye kitchen party au send-off usiku nimkule.
Yesu tusaidie wanaume.
Unajua unaweza kuharibu familia kwa tendo la dk 3 tu.
Mungu kaniponya na huu mtego wa Ibilisi.
Nimeponaje?
Nimewaza effects za tendo , Yaani nimeenda mbali mpaka kucheki maisha baada ya kumfanya huyu binti.
Sasa niko huru.
Hii ndio njia nitaitumia kuepuka kufanya ngono na mtu asiye sahihi. Nitawaza madhara na si kuwaza ladha ya zile dk 5.
Fanya hivi kijana na mwanaume ili uvuke vikwazo
Sio kweli….?!Ewaa, hapo sawa mkuu. Nami hapa ndio nimeshushwa na Bwana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wafuasi wa kula kimasihara hawatakuelewa.
Kongole kwa kumshinda shetani, ila tuungane sote kumpinga shetani mkubwa zaidi ya Lucifer aitwaye CCM.