Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

ila huu msala wa majina umewakuta watoto wa vigogo wengi nakumbuka hata Jesca Magu nae kama sikosei yalimkuta, baada ya mshua kuwaita baadhi ya waliodahiliwa kwa miaka ile UDOM kuwa ni vilaza(ni kweli hawakuwa na sifa) raia wakajibu kwa kutoa matokeo yake ambayo hayakuwa mazuri kivile
 
Div 4 point 26 amefeli???

Yule wa Div 4 ya 30 pale St Matthew anawekwa Kundi gani???
 
Na we unaamini hilo, kabsaa?!!
Sasa hapo, kwa mamlaka yake, mbona ilikuwa issue ndogo sana......kuwaagiza tu necta mpeni point 8 huyu.

Feza girls?!!!!!!! Ilikuaje mtu asiye na uwezo kama huyo afike f4 bila baba yake kushauriwa vinginevyo?!!!
Utampaje point nane kwenyw mitian amejaza utumbo, inavyoonekana hata angelepewa majibu akalili bado angepata zero.
 
Ilikuwa 2011 ndio mwaka wa mwisho matokeo kutoka na majina !!
 
Linganisha maisha yake ya Leo na Yako.Wabongo vizabizabina.
 
Upo sahihi kabisa chief,kulikuwa na sintofahamu Fulani kuhusiana na ubaguzi WA kidini
 
Kwa hiyo kuna mpuuzi ameleta uamuzi mpya wa kutokutaja top ten ya shule zilizofanya vizuri na mwanafunzi bora kitaifa ili kuficha udhaifu mahali fulani? [/i]

Yapi ili kuficha aibu ya mahala flani. Katika hili hakuna ubishi. Sikiliza na kungalia video hii Kutoka You Tube. [emoji116][emoji116]


Hiyo ni hotuba aliyokuwa akiitoa huko Zanzibar miezi nane iliyopita (yaani Mwaka 2022) ktk ufunguzi wa shule.

Yaani mtu mmoja alete mawazo yake ya kijinga kisha yakubaliwe na baraza kuwa ndiyo utaratibu muafaka? Hapana hii haitakubalika
Mawazo ameleta mtu mmoja Ili kuficha aibu ya nyumbani na Shule zote za kata - Tanzania.

Elimu ya Tanzania Siasa ndiyo inayomua mambo ya Elimu, na si Elimu inayoamua mambo ya Siasa[/i][/i]
 
Sio kweli, matukio ya mtoto huyo unayosema yakitoka baada ya namba kutumika

Sasa ngoja nikwambie Kwanini namba zilianza kutumika badala ya majina

Kama ulikuwapo Tanzania miaka ya 2008,09,10 hadi 12 utakumbuka kulikuwa na vuguvugu la udini. Kuna dhehebu jipya la kiislamu Liliingia Liliingia kwa kasi na moja ya mbinu waliyotumia kupata waumini ni kuanzisha redio na kuanza kutoa mawaidha ya kusema kuwa nchi inaongozwa na mfumo Kristo.

Eti ma kanisa yamejipanga kufanya tanzania kuwa nchi ya kkrsto na Wali hakikisha wanafeslisha waislamu.

Malalamiko y alikuwa mengi ndio NECTA wakaona isiwe tabú wa kasema haya basi tutumie namba
 
unapotumia namba kutangaza matokea ya mtihani bila kuweka jina kuna uhusiano upi na kufelisha wakatii mtihani umeshasahihishwa.
 
Huyo hapo, number 25
Oya huyu dogo katupindishia sheria sana si tuliosoma nae mwaka mmoja[emoji23][emoji23][emoji23]darasa la nne kurudia kulifutwa,darasa la saba kukawa kuna second selection mpaka awamu ya tatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]form two kurudia kukafutwa,form four kulikua na div four mpaka 40[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…