Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

[emoji38][emoji38][emoji38] duh aliwaokoa wengi,hapo basi mzee alichungulia akaona huko mbele nitapata aibu
 
Mnamfanya huyo mdada ajisikie vibaya kufeli kupo ila jinamizi la kufeli linaandama sana,lol...i have experienced that,lol
 
Sure na wahuni wakAmind wa udom wakawa wanaweka matokeo yake na supp zake😂😂 ..na wengine wakaenda mbali na kutaka kumdunga mimba..ndipo mkuu wa mkoa akaamua awe anatokea kwake kwenda chuoni..nadhani pia ilikua issue ys usalama zaid😂😂
 
Kichwa cha habari kisomeke ulalamishi wa waislamu dhidi ya mfumo kristo ndio ulifanya Necta kubadili utangazaji wa matokeo Kwa kutumia majina.

Matokeo ya shule za kiislamu na seminary za crusaders ni mbingu na Ardhi.
 
Unaogopa nini kusema matokeo ya mtoto wa Rais Mstaafu Jakaya MrishoKikwete.
Sasa turudi mtaani wa division one na hiyo division four leo mtaani nani mwamba?

Ndio utajuwa hujui.
 
Kichwa cha habari kisomeke ulalamishi wa waislamu dhidi ya mfumo kristo ndio ulifanya Necta kubadili utangazaji wa matokeo Kwa kutumia majina.

Matokeo ya shule za kiislamu na seminary za crusaders ni mbingu na Ardhi.
Hapana Sina maana hiyo. Tunakoekekea Kwa akili hizi Hadi majina ya shule yatafichwa
 
Aisee kumbe ilikuwa hatari
Asingetoboa
 
Nakumbuka mwaka wetu ndio wahanga wa kwanza 2006 matokeo ya form 4 yakatoka na Initials tu mfano Usher Smith nikaandikwa USH [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtimdo wa wa namba siku za hivi karibuni ulianzia 2012. Tangu hapo matokeo yote ya 4 na 6 yalikuwa ya namba
 
Na we unaamini hilo, kabsaa?!!
Sasa hapo, kwa mamlaka yake, mbona ilikuwa issue ndogo sana......kuwaagiza tu necta mpeni point 8 huyu.

Kama kweli basi saluti kwake Jah Kaya...alikuwa na uwezo wa kubadili hayo matokeo kwa nafasi yake...kuna watu wadogo tu kicheo waga wanabadili matokeo...

Na mie huwa najiuliza, kweli walishindwa kumpa hata 2 ya 18? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kulikuwa na mama anaitwa Dk. Joyce Ndalichako- alikuwa firm kwelikweli, hayumbishwi na hana mchezo linapokuja suala la mitihani na matokeo ya mitihani. Alikuwa hakubali kupandisha ufaulu kwa kustandardize. Kuna uwezekano alikataa kumwongezea maksi huyo Mwanaasha na wengine

Hata mi

Hats mi nashindwa kuamini hivi huyo alietoa matokeo aliendelea na kazi kweli!!
Baadae Dk. Joyce Ndalichako alifutiwa kazi ya ukatibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA) akarudi kufundisha UDSM kama sikosei
 
Yule wa mwendazake aliepata division four kwa sasa yupo wizara ya madini....magufuri karibia ndugu zake wengi aliwachomeka wizara ya madini kwa sababu aliamini kule ndio kuna kula ya uhakika halafu akisimama majukwani anajamba kwa mdomo eti vijana wajiajiri na serikali haina ajira
 
Acha kupindisha ukweli Mzee.
Mwanaasha ndo alileta yote haya.

Ilikuwa aibu kubwa sana Kwa Mzee kipindi hicho, watu tulicheka sana

Uo ni uongo namba zimeanza kutumika toka miaka ya 2004 Uko watoto wa siku hizi hamjui kitu
 
Yeah!!! Aliondolewa ndio akaenda nje kuchukua uprof
 
Uo ni uongo namba zimeanza kutumika toka miaka ya 2004 Uko watoto wa siku hizi hamjui kitu
Umeambiwa namba zilikuwa zinatumika sambamba na majina yaani inaandikwa namba kisha jina baada ya mwanaisha ikawekwa mamba tu jina likaondolewa
 
Jamaa we ni muongo WEWE!!

Kigoma Malima HUYO SABABU kuu ni imani za KIDINI ndizo zilipelekea!

SIYO Hiyo!
 
Ndio kama wazazi wako hawakukuandalia fursa ukome
 
[emoji38][emoji38][emoji38] duh aliwaokoa wengi,hapo basi mzee alichungulia akaona huko mbele nitapata aibu
Aliokoa sana Jahazi darasa la saba mpaka mwenye piont 90 alienda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 2012 walipanga matokeo kwa njia ya B.R.N kwenye mwaka wetu wakafuta wakatuwekea div four mpaka 40[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah kusoma na watoto wa wakubwa raha sana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…