Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Sidhani kama kiboko ya wachawi ni worse zaidi kuliko waganga wa kienyeji ambao wanaua albino na watoto wadogo kwa kafara za wanasiasa.
Ingewakamata na kuwazuia waganga wa kienyeji jamii yetu ingepona sana
We uoni Ulaya wana maendeleo baada ya kuwaua wachawi na waganga wakapata jamii yenye fikra mpya.
 
Matapeli yapo mengi, yamejiingiza kwenye dini ili kuwalaghai watu wenye shida wasiojua kuyasoma na kuyaelewa maandiko matakatifu. Matapeli yanapotosha maandiko kwa wasiojua kupambanua roho wa Mungu na shetani, nuru na giza
 
Mchawi hatakiwi kuishi hata maandiko yanasema wauwawe sisi ni nani tunakataa kuwaua wachawi
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Matapeli yapo mengi, yamejiingiza kwenye dini ili kuwalaghai watu wenye shida wasiojua kuyasoma na kuyaelewa maandiko matakatifu. Matapeli yanapotosha maandiko kwa wasiojua kupambanua roho wa Mungu na shetani, nuru na giza
 
Matapeli yapo mengi, yamejiingiza kwenye dini ili kuwalaghai watu wenye shida wasiojua kuyasoma na kuyaelewa maandiko matakatifu. Matapeli yanapotosha maandiko kwa wasiojua kupambanua roho wa Mungu na shetani, nuru na giza
 
 
Matapeli yapo mengi, yamejiingiza kwenye dini ili kuwalaghai watu wenye shida wasiojua kuyasoma na kuyaelewa maandiko matakatifu. Matapeli yanapotosha maandiko kwa wasiojua kupambanua roho wa Mungu na shetani, nuru na giza
 
Matapeli yapo mengi, yamejiingiza kwenye dini ili kuwalaghai watu wenye shida wasiojua kuyasoma na kuyaelewa maandiko matakatifu. Matapeli yanapotosha maandiko kwa wasiojua kupambanua roho wa Mungu na shetani, nuru na giza
 
Kama wajinga wapo tele shida nini.
Usipotaka kuyajua maandiko bure utayajua kwa kuyalipia
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Matapeli yapo mengi, yamejiingiza kwenye dini ili kuwalaghai watu wenye shida wasiojua kuyasoma na kuyaelewa maandiko matakatifu. Matapeli yanapotosha maandiko kwa wasiojua kupambanua roho wa Mungu na shetani, nuru na giza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…