bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Sidhani kama kiboko ya wachawi ni worse zaidi kuliko waganga wa kienyeji ambao wanaua albino na watoto wadogo kwa kafara za wanasiasa.
Ingewakamata na kuwazuia waganga wa kienyeji jamii yetu ingepona sana
We uoni Ulaya wana maendeleo baada ya kuwaua wachawi na waganga wakapata jamii yenye fikra mpya.
Ingewakamata na kuwazuia waganga wa kienyeji jamii yetu ingepona sana
We uoni Ulaya wana maendeleo baada ya kuwaua wachawi na waganga wakapata jamii yenye fikra mpya.