Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Leo nilikuwa nasikiliza Kuhani Musa,nikasikia kuna binti anatoa ushuhuda kwamba yeye ndio amesababisha ile ajali ya juzi ya Tanga iliyoua takribani watu 20,anasema alituma mtu akamzibe dereva macho.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Leo nilikuwa nasikiliza Kuhani Musa,nikasikia kuna binti anatoa ushuhuda kwamba yeye ndio amesababisha ile ajali ya juzi ya Tanga iliyoua takribani watu 20,anasema alituma mtu akamzibe dereva macho.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app


Uchawi hauna ushahidi
Ila mafarao ni wengi sana duniani
 
Imani ni ufunuo wa Mungu kwa mwanadamu; ni ile hali ya akili ya mtu kupokea ukweli uliofunuliwa na Mungu akiambatanisha nafsi yake kwa Mungu.

Kuhani Musa Richard Mwacha amejulikana kama mtumishi wa Mungu mwenye imani kwa Kristo. Na amekua na huduma yake katika jiji la Dar es salaam kwa miaka michache sasa.

Ukifuatilia ni muda mfupi tangu aanze huduma ila utakutana na mambo mengi sana na kati ya hayo mengi ni style ya mahubiri yake, miujiza na maajabu kwenye ibada zake na idadi kubwa ya waumini alionao ndani ya muda mfupi sana maana miaka 3 au mi4 bado huduma ni changa.

Watu wengi tunajiuliza mengi sana juu ya mtumishi huyu. Wengi wetu hatuamini kama yanayonekana kuotokea ni ya kweli lakini pia wapo wanaoamini ni kweli.

ILA SWALI MOJA LA MSINGI "KUHANI MUSA NI NANI HASWA?

Shuhuda zimetolewa hadharani, na ni shuhuda zinazodhihirisha mambo magumu kufikirika katika hali ya kawaida. Ila hawa walioshuhudia wapo kati yetu, mtaani kwetu hata majumbani kwetu, kigoma, chato, kilimanjaro, sumbawanga, kagera, Dar es salaam mmetisha sana. Wenyeji wa huko mnasemaje kuhusu Kuhani Musa?

Fred William Rwegasira.
View attachment 2123813
Mr Rwegasira ni mzaliwa wa mkoa wa Kagera, Bukoba kule, Mkazi wa Salasala - Dar es salaam. Na sasa anaishi kimara


Innocent Carol Paulo
View attachment 2123832
Innocent Carol Paulo ni mzaliwa wa Chato. Na mkazi wa Tabata - Dar es salaam


Levina Lyamuya na mdogo wake
View attachment 2123876
Levina ni mwenyeji wa Kilema, Moshi- Kilimanjaro

Malkia


Wakorinto




KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI NANI??




Sumbawanga mtoto afufuka
ttps://youtu.be/PHUUbiYOEBY


Cancer

View attachment 2124268

Baada ya siku2
View attachment 2124312


Baada ya miezi 2

View attachment 2147561




Nimekuelewa sana. Ufufuo upo na uponyaji upo



Babu Ochu; mimi, wewe, huyo malkia wa freemason sote ni watanzania. Kila kitu kiko wazi upande wa Kuhani Musa tena vipo online hapo.

Sasa nadhani ili kuuthubitishia umma kwamba huo ni upuuzi kama unavyosema lazima uthibitishe kwamba hizo shuhuda ni za uongo. Hivi vitu havihitaji hata hasira vinahitaji tuu kuthibitishwa

Kuhusu matumizi ya biblia vifungu vya kuogofya vya ufunuo na agano la kale sioni kama vinaogofya kuliko matendo yanayofanyika na wanadamu wa leo, na wala hauna kipande cha maandiko matakatifu kisichotakiwa kutumika

Zaidi ya yote ili neno liweze kuwasaidia watu lazima lihubiriwe kwa nyakati na mazingira waliyomo na wanayoishi











Kwanini tunaongea maneno mengi ya kukataa bila kusema hayo anaayofanya yapo au hayapo?

Turudi kwenye maada, tuje na shuhuda kwamba yanayotendeka pale ni ya uongo au ni ya ukweli kwa maslahi makubwa ya umma




Umesema "Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;" mimi nitakuuliza je, kina Ibrahimu, Musa, Yakobo walipewaga vyeo vyao na nani

Nimepata video ya Kuhani Musa akielezea historia yake kwa ufupi sana




Kuhusu hilo la kuandamana kwenda mortuary na kiongozi wa dini ili akafufue wafu nalo ulifikirie vizuri.
Habari za miujiza ya kufufua wafu ipo tangu enzi za manabii na Yesu Kristo mwenyewe lakini sio kila mtu anayekufa alifufuliwa

Nimesikiliza baadhi ya shuhuda za watu kufufuka sikuona popote pale ambapo amesema anataka kuwafufua; waliofikwa na hayo matukio ndio wamerudi kupaza sauti ya ufufuo





Sijawahi kusikia hilo la kuwako na kiingilio au la kutoa pesa ili watu waponywe. Labda mama kubwa na wengine hao walioshuhudia hapo juu au ndugu na jamaa zao watupatie ukweli wa hili ili tumjue Kuhani Musa zaidi







GREAT THINKERS wa Jamiiforums hivi huyu KUHANI MUSA RICHARD MWACHA ni nani haswa?
[/QUOTE]
Hapa ulikula commission, maana si Kwa promo hii.
 
Sumbawanga mtoto afufuka
ttps://youtu.be/PHUUbiYOEBY


Cancer

View attachment 2124268

Baada ya siku2
View attachment 2124312


Baada ya miezi 2

View attachment 2147561




Nimekuelewa sana. Ufufuo upo na uponyaji upo



Babu Ochu; mimi, wewe, huyo malkia wa freemason sote ni watanzania. Kila kitu kiko wazi upande wa Kuhani Musa tena vipo online hapo.

Sasa nadhani ili kuuthubitishia umma kwamba huo ni upuuzi kama unavyosema lazima uthibitishe kwamba hizo shuhuda ni za uongo. Hivi vitu havihitaji hata hasira vinahitaji tuu kuthibitishwa

Kuhusu matumizi ya biblia vifungu vya kuogofya vya ufunuo na agano la kale sioni kama vinaogofya kuliko matendo yanayofanyika na wanadamu wa leo, na wala hauna kipande cha maandiko matakatifu kisichotakiwa kutumika

Zaidi ya yote ili neno liweze kuwasaidia watu lazima lihubiriwe kwa nyakati na mazingira waliyomo na wanayoishi











Kwanini tunaongea maneno mengi ya kukataa bila kusema hayo anaayofanya yapo au hayapo?

Turudi kwenye maada, tuje na shuhuda kwamba yanayotendeka pale ni ya uongo au ni ya ukweli kwa maslahi makubwa ya umma




Umesema "Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;" mimi nitakuuliza je, kina Ibrahimu, Musa, Yakobo walipewaga vyeo vyao na nani

Nimepata video ya Kuhani Musa akielezea historia yake kwa ufupi sana




Kuhusu hilo la kuandamana kwenda mortuary na kiongozi wa dini ili akafufue wafu nalo ulifikirie vizuri.
Habari za miujiza ya kufufua wafu ipo tangu enzi za manabii na Yesu Kristo mwenyewe lakini sio kila mtu anayekufa alifufuliwa

Nimesikiliza baadhi ya shuhuda za watu kufufuka sikuona popote pale ambapo amesema anataka kuwafufua; waliofikwa na hayo matukio ndio wamerudi kupaza sauti ya ufufuo





Sijawahi kusikia hilo la kuwako na kiingilio au la kutoa pesa ili watu waponywe. Labda mama kubwa na wengine hao walioshuhudia hapo juu au ndugu na jamaa zao watupatie ukweli wa hili ili tumjue Kuhani Musa zaidi







GREAT THINKERS wa Jamiiforums hivi huyu KUHANI MUSA RICHARD MWACHA ni nani haswa?

Hapa ulikula commission, maana si Kwa promo hii.
[/QUOTE]


Chukua na hii











 
Unaweza kuwa sahihi kwa namna fulani na watumishi na viongozi fulani wa imani lakini fanya utafiti kuhusu mmojammoja

Katika kumfuatilia Kuhani Musa nimekutana na comments nyingi sio jf tuu hata kwenye mitandao mingine. Nimejaribu na mimi niwekewe hiyo appointment ya kuambiwa inafanywa na sadaka ili dada yangu aonane nae tangu mwaka jana August hadi leo hatujaweza kupata nafasi.

Wahusika tulioongea nao wameniambi wazi kwamba Kuhani Musa hapendi kuona mtu mmojammoja unless aone shida yako inahitaji muda zaidi ya ule wa ibada na hiyo ni mara chache sana. Tatizo watu wengi wanataka aongee nao na hawataki kuhudhuria ibada wapate mafundisho na maombi yatakayomaliza shida zao. Yaani kwa kifupi mtu hayupo tayari kutumia muda wake kuongea na Mungu kupitia miongozo ya kuhani ila wanamtaka yeye

Wanasema akisema aone watu hata watu 500 kwa siku watakua na shida ya kumuona. Lakini huo sio mpango wa Mungu maana atakosa muda wa maombi na ibada ambavyo vina matokeo makubwa zaidi kwa waumini kuliko hilo la kuona mmojammoja

Dada yangu sababu yupo Dar es salaam nimemshauri kama anadhani Kuhani Musa ana msaada basi aende ibadani kwake. Akienda akapata majibu nitawajuza
wewe utakuwa kuhani musa mwenyewe hebu acha blah blah kutuchosha ........Mungu wa kweli ukiwa msafi na imani thabiti ukiomba muda wowote anakusaidia acheni biashara zenu hizo kuna maswali mtakuja kuulizwa after life
 
wewe utakuwa kuhani musa mwenyewe hebu acha blah blah kutuchosha ........Mungu wa kweli ukiwa msafi na imani thabiti ukiomba muda wowote anakusaidia acheni biashara zenu hizo kuna maswali mtakuja kuulizwa after life
Kuna vifungo vingine sizani kama unaweza kujifungua mwenyewe!
 
labda alikutana na yesu wa mkombo, hili ni zao la yule yesu wa mkombo ambaye Tanzania ilimfukuza, akarudi tena ikamkamata ikaenda kumtupa mpakani mwa congo. ni nabii wa uongo wa wazi na amepagawa na mashetani. imani kama hizi zilitabiriwa zitatokea sikiu za mwisho na shetan anafanya miujiza mingi kupitia wao ili kuwapotosha wale wa imani ya kweli. uyu mchaga alishawahi kusimulia kwenye tiv nakumbuka alisema alishawahi kuwa kama amechanganyikiwa na aliishi milimani akifanya maombi huko arusha/au moshi kama sikosei kwa kitambu. ni mtu tu amepagawa na mapepo na ni silaha ya shetani kuleta imani ya uongo duniani. hivi vikanisa, ukiona mtu anakuwa na mpambe pembeni akiongea mpambe anapambisha, pigia mstari, nabii wa uongo. wengine ni wale wa yule kijana mhaya mwenye tawi la nabii wa uongo wa malawi, kanavaa vikaptula kanisani na kana kiburi cha pesa baada ya kukusanya sadaka.
 
Ukina na vifungo vingi sizani kama unaweza kujifungua mwenyewe!
Mkuu mimi mseminary nimekuwa kwenye misingi hiyo ....hakuna maombi bora kama kujisafisha mwenyewe na kuomba kwa Baba wa Mbinguni ........Imani thabiti ipo ndani yako wewe mwenyewe hawa sijui nabii mara mtume au mara kuhani ......tunapoenda hatujui maana unaweza kusema huyu mlevi ameingia vipi halafu kuhani na nabii au mtume feki tunaonja joto la jiwe.....basi mitume na manabii wote enzi za agano la kale mpaka jipya wangekufa wakiwa matajiri
 
Mkuu mimi mseminary nimekuwa kwenye misingi hiyo ....hakuna maombi bora kama kujisafisha mwenyewe na kuomba kwa Baba wa Mbinguni ........Imani thabiti ipo ndani yako wewe mwenyewe hawa sijui nabii mara mtume au mara kuhani ......tunapoenda hatujui maana unaweza kusema huyu mlevi ameingia vipi halafu kuhani na nabii au mtume feki tunaonja joto la jiwe.....basi mitume na manabii wote enzi za agano la kale mpaka jipya wangekufa wakiwa matajiri
Sijasema haiwezekani lakini kuna vifungo acha tu, vipi vingine ukiomba vitu vinaachia, na sizani kama mtu utaingia kila pahala , mimi huyo kuhani hata sijui kabisa.
 
Jengo la Kanisa ni letu wote tena mnatuambia changieni Ujenzi wa nyumba ya Mungu,,, ila Mahoteli, Mashule na Hospitali ni yenu 🤣🤣🤣 sisi kama Kanisa hatupo kwenye umiliki 🤣🤣🤣 kwanini hizo Shule na Hospitali zisiingie kwenye Umiliki wa Kanisa na mapato ya huko nayo yaingie kwenye mfuko wa Kanisa na nyie mkawa mnalipwa tu kwani si mnafanya kazi ya Bwana???

Kukwepa hilo mnajiita watoa huduma ili mmilki wenyewe chochote kitakacholetwa na kondoo wa Bwana 😂😂😂 mnakwepa kuwa na Bodi itakayowasumbua kwenye ku-balance Makabati na kugawana njuruku...🤣🤣🤣
 
wewe utakuwa kuhani musa mwenyewe hebu acha blah blah kutuchosha ........Mungu wa kweli ukiwa msafi na imani thabiti ukiomba muda wowote anakusaidia acheni biashara zenu hizo kuna maswali mtakuja kuulizwa after life

Mimi sio Kuhani Musa, mimi ni mama D
Biashara ipi hiyo anayofanya Kuhani Musa?
 
Back
Top Bottom