Nyie mnaodai katiba mpya ni WAPUMBAVU. Inawezekana vp kwa bunge lile 99% ni CCM lijadili na kupitisha mnayotaka nyie?? Hivi hamuoni kuwa ni upumbavu? Kwann msihangaike na tume huru ya uchaguzi ili mkijaa bungeni muweze pata uungwaji mkono.
HUWA NASHANGAA SANA MTU KAMA MBOWE KUWA MWENYEKITI WA CHAMA. YAAN MPUMBAVU ANAWAONGOZA WEREVU.
 
Rais kutuzuia wananchi kutaka namna ya kuongozwaje hiyo ni dharau kubwa ya rais na chama cha mapinduzi kwa wananchi.
Hilo ni jambo ambalo hatuwezi kulikubali!

Ccm wanaona katiba mpya kama nyaraka ya uchaguzi, hivyo hawako tayari maana wanajua kukiwa na mazingira rafiki ya ushindani, itakula kwao. Hii kelele ya katiba mpya haitakiwi kusimama, ccm na mwenyekiti wao wanajua hii agenda ni ngumu kwao, hivyo wanajaribu kutupoteza maboya ili tutoke kwenye reli. Hakuna kuachia ni hapa hapa.
 
Mkuu kuna dikteta mwingine Ikulu anayedhani ana haki ya kutuamulia Watanzania vile atakavyo yeye kinyume na Katiba ya Nchi.
Eeeeehhh...naona ufipa sasa akil zinawakaaa sawaaa..mbumbumbu wa mwishoo..yaan ccm inawachezesha ngoma usiku na mchanaa
 

Aliyekuambia lazima katiba mpya iandikwe kwenye hilo bunge la majizi ya kura ni nani?
 
Katiba haina Chama lakini iliyopo inakumbatia Chama kilichopo madarakani.Lakini lazima wanasiasa wote wajue hakuna Chama au Utawala wowote utakaodumu milele.Ikitokea kuna dalili ya Chama au Utawala kama huo Mungu mwenye huingilia kati, amini usiamini CCM inakwenda kuondoka madarakani na haitakuwa rahisi lakini inakwenda kutokea hatuna miaka 20.
 
Hivi hakuna uwezekano wa kisheria kudai mchakato uendelee? Mfano kufungua kesi mahakama kuu kwa maana tayari ilishatungwa sheria...
 
Aliyekuambia lazima katiba mpya iandikwe kwenye hilo bunge la majizi ya kura ni nani?
Ww mwehu, sasa ujue kuwa sheria inasema wabunge wote wanakuwa wajumbe wa katiba je unadhani watapitisha matakwa yenu? Anzeni na TUME YA UCHAGUZI.
 
Mkuu, hapa sio swala la kuuliza sababu mchakato ulishakuwepo na haukukamilika.
 
Magufuli alisitisha kwa kigezo cha uchumi. Leo mama akasema uchumi umeshuka. sasa kuna uhakika gani uchumi utapanda ndipo katiba mpya ipatikane.
 
Wanasiasa,mjuwe sisi wananchi,hatutaki madaraka yoyote kwenye siasa,kwetu sisi twahitaji mkono wende kinywani,tukishapata mahitaki muhimu,hatuna zaidi ya hapo.
Too simple, una maana katiba si muhimu. Kama katiba iliyopo inampa nafasi rais aliyepo madarakani nafasi ya kucheza na maisha ya watu iachwe tu ili mfradi watu wanakula?
Pamoja na hayo mimi naamini mama atalishughulikia hili. Anajipa muda ili ajue inaendaje, hataki kukurupuka.
 
Kwa nini wanasiasa,hamuwaulizi wananchi,nyinyi mwataka Katiba mpya,wakati wananchi,twataka mkono uwende kinywani.Nyinyi wanasiasa mwatetea upande wenu,hamtaki kuwasikiza wananchi wanataka nini.
Mbona Wananchi walishaulizwa na wakatoa maoni yao. Cha kujiuliza sasa ni kwa nini hao walio madarakani hawataki kufuata maoni ya Wananchi...!!?
 
Sasa nani kakudanganya Kuwa Katiba inazuia uchumi kukua au inazuia mlo wa Mtanzania...!?
 
Ww mwehu, sasa ujue kuwa sheria inasema wabunge wote wanakuwa wajumbe wa katiba je unadhani watapitisha matakwa yenu? Anzeni na TUME YA UCHAGUZI.

Narudia tena, sio lazima hiyo katiba ikajadiliwe kwenye hilo bunge la majizi ya kura.
 
Mimi sio mfatiliaji sana wa siasa ila kwa mtazamo wa nchi inavoenda kama kuruhusu chanjo ya covid,kusainiwa kiholela mikataba ya uwekezaji,kuendelea kuminywa kwenye kodi,kuanza kujitokeza matukio ya uhalifu baada ya polisi kupumzika kwa muda mrefu kidogo na mpaka hii leo ndani ya siku 100 tu mama kashaanza kukiri urais ni kazi ngumu hata kusema tumuache kidogo,Hii inaonesha Hali ishaanza kuwa tete kwa upande wake ingawa inabidi aoneshe ukakamavu,wazee tukumbuke Mwanaume alianza kuumbwa kabla ya mwanamke hivo itafika tu muda tutamkumbuka Rais magufuli na alishasema tutamkumbuka tena kwa mazuri si mabaya...Ni kumuomba tu Mungu maana me nnavojua hata iweje maisha hayajawai kuwa rahisi kwa watu Wa kipato cha chini tusipoangalia tunaweza kurudi tulipotoka kibaya pia rais magufuli amekufa na maono yake kichwani ni vigumu kuelewa alikuwa anataka kutufikisha wap ingawa dalili zilishaanza kuonekana.

PRAY FOR TZ PRAY FOR MAMA SAMIA.
 
Bado mama ni bora kuliko shetani jiwe. Tutaendelea kumshauri kila inapowezekana
Nakubaliana na Pythagoras. Mama hajasema katiba mpya haitakuwepo. Angalau huyu tunaweza kufanya biashara naye. Tumpe muda ajiweke sawa. Lands sasa hivi tuombe "minimum constitutional reforms" ikiwemo ya kuunda tume huru ya uchaguzi. Mengine tusubiri 2025 -2030.
 
Kwani sisi tunaojadili hapa ni Raia wa Mbinguni? Akili zingine bwana!
 
Mama kasema Katiba mlya badae kidogo kuna mambo mengi sana ya Kufix. Ndani ya Chama chake pekee kuna Kenge wengi mno. Lazima hawa awadhibiti kwanza. Mama nimemwelewa sana ameongea lugha ya fasihu mno. Hata hivyo Mama atafanya mangapi ndani ya miezi mitatu? Bado ana miaka minne mbele.

Tazama tulivyo na amani ndani ya miezi mitatu?? Je itakywaje miaka mnne iliyobaki?

Bado Mama yuko vizuri mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…