Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huenda anaisujudia hii iliyopo kwakua ndio umemfanyia "nipige tafu"Hiyo ya kupoza hapa na pale ni jambo zuri lakini ni short term. Kwa mfano akishamaliza kuondoa Mabaya ya Magufuli then yeye ana nini cha kuoffer?. Ni lazima asimame sasa ajipambanue kwa ujasiri kuonyesha anajua Taifa linahitaji nini. Asiangalie utswala wake wa miaka mitano au Tisa anayoweza kukaa nadarakani. Aangalie miaka 50 au 100 ijayo...
Note huu uziTime will tell.
A constitutional reform is always fought for.Hatokuja kufanikiwa kuzuia huu mchakato we muache tu akamuulize Meko huko alipo.
Mkuu; haya ni mawazo na tabia ya kizembe.Mumewauliza wananchi kama wanataka Katiba mpya au wanataka uchumi? Wananchi wengi, tunataka uchumi, tupate mkate wetu wa leo na kesho, mambo ya Katiba ni yenu nyinyi wanasiasa, sisi wananchi bora mkono uwende kinywani. Hebu anzeni nyinyi wanasiasa muwaulize wananchi, hata kwa kupiga kura, kwenye maeneo yenu.
Kwani wanasiasa sio wananchi? Au wewe unapoongelea wananchi unamaanisha kiumbe gani. Hata hivyo yote unayojinasibu nayo bila muongozo kamwe usifikiri yatafanikiwa.vinginevyo msome mtoa mada umuelewe.Mumewauliza wananchi kama wanataka Katiba mpya au wanataka uchumi? Wananchi wengi, tunataka uchumi, tupate mkate wetu wa leo na kesho, mambo ya Katiba ni yenu nyinyi wanasiasa, sisi wananchi bora mkono uwende kinywani. Hebu anzeni nyinyi wanasiasa muwaulize wananchi, hata kwa kupiga kura, kwenye maeneo yenu.
Hakuna asiyejua kua ikipatikana katiba mpya hasa ile ya mzee Warioba itaondoa nafasi zote za Wakuu wa Wilaya na mikoa, Wakurugenzi hawatasimamia tena uchaguzi. CCM wanajua kabisa wamechokwa na wananchi wanategemea zaidi kubebwa bebwa zaidi na vyombo vya dola.
Hawa vijana wa ccm wao ni bendera upepo wanaona katiba ikipatikana watakosa ulaji. Licha ya katiba kutajwa katika ilani yao lakini wamegeuza hili suala
Kilichoshuka ni kasi ya ukuaji wa uchumi, lakini uchumi wetu bado unakua.kuandika katiba mpya ni mchakato unao hitaji fedha nyingi.
kwa sasa nchi yetu imeshuka kiuchumi kutokana na janga la korona, hivyo ni busara kwa sasa kama taifa kiongozi wetu na sisi wanachi tukajikita kujenga uchumi wetu.
katiba ni mchakato unao hitaji muda.
hivyo naungana na Rais kwa sasa kulingana na hali ya kiuchumi tuliyo nayo tufanye jambo moja kwanza.