Mbona laki ni ndefu cha 20,000 ni mtihani, kuna sehemu nilienda nikakutana na watumishi zaidi ya 50 ila pale niliwangalia kuanzia chini mpaka juu, sikuona mwenye kiatu cha 50k, mwenye suluwale isio ya mtumba, shati wengi kunyosha ni mtihani wengine waliva mashati ya vitegi, ni kajisemea mwoyoni hao wanaish maisha magumu tu.We unazungumzia kujenga ukizubaa hata kiatu cha laki moja ni shida[emoji3]
Unavaa kiatu mpaka kinaanza kukasirika!Mbona laki ni ndefu cha 20,000 ni mtihani, kuna sehemu nilienda nikakutana na watumishi zaidi ya 50 ila pale niliwangalia kuanzia chini mpaka juu, sikuona mwenye kiatu cha 50k, mwenye suluwale isio ya mtumba, shati wengi kunyosha ni mtihani wengine waliva mashati ya vitegi, ni kajisemea mwoyoni hao wanaish maisha magumu tu.
Kabisa!Una watoto watatu wote wanaenda shule za mabasi ya njano, wastani wa ada kwa kila mmoja ni 2m, unalipa kodi ya nyumba mnayoishi walau 250k, hapo bado matumizi ya chakula, mavazi na mengineyo.
Lazima kichwa ipigwe AC, otherwise siku zako lazima uzipunguze kwa stress utakazopata.
[emoji38][emoji38][emoji38] noumaaa sana mkuu maisha haya ukikosea kufanya maamuzi mapema ni tabu Sana ukiwa na umri wa makamu pamoja na uzeee wako woteMbona laki ni ndefu cha 20,000 ni mtihani, kuna sehemu nilienda nikakutana na watumishi zaidi ya 50 ila pale niliwangalia kuanzia chini mpaka juu, sikuona mwenye kiatu cha 50k, mwenye suluwale isio ya mtumba, shati wengi kunyosha ni mtihani wengine waliva mashati ya vitegi, ni kajisemea mwoyoni hao wanaish maisha magumu tu.
Kufanya maamuzi sahihi inaitajika uwe na roho ngumu pamoja na busara nyingi, wengi tunakwama kwasbb ya maamuzi mabovu na unaumia maishani mwaka mpaka unakufa.[emoji38][emoji38][emoji38] noumaaa sana mkuu maisha haya ukikosea kufanya maamuzi mapema ni tabu Sana ukiwa na umri wa makamu pamoja na uzeee wako wote
Kweli kabisaa broKufanya maamuzi sahihi inaitajika uwe na roho ngumu pamoja na busara nyingi, wengi tunakwama kwasbb ya maamuzi mabovu na unaumia maishani mwaka mpaka unakufa.
Hivi nyie binadamu mliopewa neema ya kufanikiwa kwenye biashara zenu na maisha kwann baadhi yenu mnadharau sana watu ambao hawajatoboa? Yani kauli zako ni kama unawachukia masikini, kwann usiwe humble na kutoa ushauri wa do's and don't ili watu wafaidike kupitia wewe kuliko kuwadharau na kuwalejeli, basi hapo unajikuta mwamba sana ila unasahau kuwa hili life ni hisani tuYaani wanawaza kujenga na kusubr kufa..hawawazi hata kumiliki biashara kubwa,matokeo yake umaskini unaenda kizazi hadi kizazi.hakuna anaye waza nje ya box,hawawazi hata angalau watoto wakute wazazi walifanya uwekezaji ili watoto waendeleze.
Ona kama hili limbukeni, Sasa kauli gan hizo za kuita wenzako masikini na kusema walaaniwe kisa wanadiscuss maswala ya kujenga, kama kuna Uzi ambao hauflow kwenye priorities zako unakaa kimya,Yan kwamba watu wakiwa wanadiscuss maswala ya kujenga wewe unawaita masikini na kusema walaaniwe, uko timamu kweli?Masikini nyie bwana yaani kwao wanahisi nyumba ndiyo kila kitu! Mlaaniwe
Bro Wala usifikili wamefanikiwa hao jamaa sio kweli ni kua tu Wala stress kupita maelezo that why wanapanik hivyo huwezi ona mtu mwenye maisha yake hakawa anaongea maneno hayo kaka hakuna ni shida na tabu ndio zinawapa kamasirikoHivi nyie binadamu mliopewa neema ya kufanikiwa kwenye biashara zenu na maisha kwann baadhi yenu mnadharau sana watu ambao hawajatoboa? Yani kauli zako ni kama unawachukia masikini, kwann usiwe humble na kutoa ushauri wa do's and don't ili watu wafaidike kupitia wewe kuliko kuwadharau na kuwalejeli, basi hapo unajikuta mwamba sana ila unasahau kuwa hili life ni hisani tu
Sio mchezo.... Yaan unapambana mpka unaona unazidiwa....Dah nawashauri vijana kama uneweza kujenga ukiwa bado hujaanza familia itakua bora sana kuliko kusubiri wakati majukumu yamekua mengi dah inasumbua Sana inaweza ata kuchukua miaka 10 kukamisha nyumba kila kitu.
Huu ndio ushauri kama bado unajitafuta usiumiee sanaMkuu jenga nyumba ndogo, alafu balance watoto wasifuatane sana, pia usizae zaidi ya watoto watano
Ni ukweli kabisa usingizi unakata saa 9 usiku unawaza wapi upate pesa ya nondo na sementi yakutosha ili ufunge lenta, wakati huo huo watoto wanahitaji ada zao mhula unaisha, mama anakuambia nafaka inakaribia kuisha, mshahara unao tegemea unamkopo tayari lol!Sio mchezo.... Yaan unapambana mpka unaona unazidiwa....
Nipo hapa nataman nisiamishe ujenzi...[emoji1787][emoji1787][emoji2957]
Nyumba ndogo ndo ya shillkng ngapi? vyumba vingapi wakati una watoto wa kike na kiume, hapo unajipa pressure ya kujenga nyumba nyingine mbeleniHuu ndio ushauri kama bado unajitafuta usiumiee sana
Mkuu jenga nyumba ndogo, alafu balance watoto wasifuatane sana, pia usizae zaidi ya watoto watano
Nyumban kwa wazazi unapigiwa simu unaambiwa hatuna ela ya kula....Ni ukweli kabisa usingizi unakata saa 9 usiku unawaza wapi upate pesa ya nondo na sementi yakutosha ili ufunge lenta, wakati huo huo watoto wanahitaji ada zao mhula unaisha, mama anakuambia nafaka inakaribia kuisha, mshahara unao tegemea unamkopo tayari lol!
Ndo maana tunakufa mapema kati 55 to 65 mtu ana kick bucket, sio kwamba amezeheka hapana stress of over thinking loh.Nyumban kwa wazazi unapigiwa simu unaambiwa hatuna ela ya kula....
Hujakaaa sawa umeungwa kwenye group la michango, afu unaambiwa ahidi...
Hujakaa sawa unaambiwa gesi inaisha, ila ya nondo ipunguze ununue gas....
Nyie wanaume tumeumbwa mateso
Njia nyingine ya kujenga ni kuacha kujenga na kujifariji kuridhisha nafsi yako ndunia tunapita tu, utajenga je kwenye njia, ila kujenga ni hivi vimishahara vyetu ni mtihani mkubwa.Ukweli ni huo, kijana kama unajishugulisha na unapata kipato anza sasa kuwekeza kwenye ujenzi, wale wenye ajira za uhakika inaweza kuwa rahisi.
Ila wale kwenye mvua, jua vyote ni vyao hakika pambana kuitafuta shilingi na uwekeze, issue ya uwekezaji sasa, maana kuna changamoto sana baadaye.
Hii balaaa jamani. Kweli fainali uzeeniHela ya mshahara haijengi ndo maana unaumia imagine mshahara wako take home ni 1.3m monthly, nyumbani matumizi ni 15000 kila siku kwa mwezi 450k usafiri wako ni na luch 5000 kila s siku 150,000 kodi ya nyumba ni 200k, jumla 800,000, salio 700,000 kila mwezi ukiweka kwenye nyumba itakuchukulia miaka 20 kijenga nyumba ya 50m. Kama umeanza kujenga na miaka 40 unaingia nyumba ukiwa 60yrs
Kwa kweli wacha tufe tuNdo maana tunakufa mapema kati 55 to 65 mtu ana kick bucket, sio kwamba amezeheka hapana stress of over thinking loh.