Upo sahihi.Kama unajielewa ni wewe na mpo wangapi mnaojielewa?ngono sasa hivi mtaani inapatikana kwa urahisi sana ndiyo maana hata thamani ya ndoa vijana hawaioni wanawake wanajirahisi mno.
Waiting...[emoji28]
Hakika. Na hata kama mwanamke kavutiwa na huyo mwanaume bado hawezi tongozwa leo leo na kukubali leo leo kwanza wanaume wenyewe hawataki wanawake rahisi hivyo labda awe wa kupiga na kusepa.Ni kweli
Mtu anakuomba namba lazima uulize nini sababu ya mawasiliano
Akijibu tu nataka tujuane zaidi unamuacha hapo
Namba inatolewa ikiwa ni sababu ya kazi au biashara
Mimi naomba namba yako😊Hakika. Na hata kama mwanamke kavutiwa na huyo mwanaume bado hawezi tongozwa leo leo na kukubali leo leo kwanza wanaume wenyewe hawataki wanawake rahisi hivyo labda awe wa kupiga na kusepa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na mapungufu waliyonayo wanawake kwenye mahusiano ya kimapenzi, haimaanishi kuwa sisi wanaume hatuna mapungufu yetu, ukisoma Between the lines kwenye thread wanazoleta humu wanaume, mara (wanawake mnaoringa Nawasubiri mkifika miaka 30) mara "kataa ndoa" etc ukisoma kwa undani utagundua alitongoza mabinti Kadha wa kadha mtaani baada ya kukataliwa ndo anakuja kumalizia machungu JamiiForums.
Rafiki, tutakubali wanaume wangapi sasa?? Wapo bado.Hivi bado wapo mademu wanaokataa wanaume kumbe
Ah ni kitambo kidogo kila nikiweka ndoano inapanda na samaki tena zingine sitii hata chambo
Dunia ya leo hakuna mwanamke wa kukataa mwanaume ikiwa amekidhi kigezo kimoja kikuu - FEDHA.
Hivyo machungu ya wanaume wengi humu juu ya wanawake ni kukosa fedha za kuwapata wanaowataka. Na ndio maana utasikia wanawake wanapenda pesa.
Unakuta jitu linaomba namba ya simu kwa demu halafu kutwa kuview status na kucomment 'wow wow' kama king'ora cha ambulance. Hapo lina kazi ya kutuma mashairi ya nyimbo za mbosso kama dedication bila kutoa hata senti moja sasa hapo usikataliwe mchezo.
Na hao ndio design ya wakandiaji wakuu wa mademu humu kusema nilimpenda kidhati kwa kujiona kama wahindi kuimbiana kwenye mvua ndio mapenzi kusahau pesa ndio inayopendwa zaidi.
Tafuta pes ndugu
Kwa maisha yalipofikia sasa kuna ukweli kiasi ila najua bado kuna mabinti wanajitambua. Hata kama ni mama huruma si rahisi kukubali wanaume wote labda dada poa mana wale wanaangalia pesa tu.Ah ni kitambo kidogo kila nikiweka ndoano inapanda na samaki tena zingine sitii hata chambo
Kuna wakati unafika ww ndo unaanza kuwakwepaKiukweli vibuti huwa vinauma mno, mtoto wa kiume inabidi uvizoee na kuona kitu cha kawaida. Siyo lazima kila mwamamke awe wako. Kuna hatua utafika kwenye maisha hutatumia nguvu kupata mwanamke.
Kwamba waume zao mb*00 ndogo au ni watu wa kusafiri sana????Jamaa mjinga sana huyu sisi tunaogonga wake za watu kwenye vanguard walizonunuliwa na waume zao tusemeje sasa [emoji848]
Wee wanawame hawa hawawezi kukukataa ..watakukubali sema watakitombesha kimbususu chao kwengine which shouldnt realy be a problem maana kuchapiwa kupo pale paleNikki wa pili dc na hela alizokua nazo still amegongewa na mtoto juu, haji manara na hela zake mke alimkimbia
Diamond na utajiri wote anaishi maisha ya kimalaya ameshindwa kusettle na mwanamke
Usifikiri hela ndo kila kitu utakua nazo still kuna wanawake watakua wanakukataa, hela ni ya muhimu ila sio kila kitu kama unavyotaka kuaminisha watu
Duh mwanaume unakwepaje mwanamke jamani?Kuna wakati unafika ww ndo unaanza kuwakwepa
Masikhara haya....mbona watu mnabishana na tafiti zilizopo.Liverpool VPN kaajiriwa serikalini mkuuuu ila anawapiga chini kwenye ndoa litutumbwe katumia 1M bila kuonja papuchi mkuuu bado unangangania hiii hoja Countrywide kabambikiwa mtoto mkuuu tena na mtu wa kawaida japokuwa yy ni DC na alimhudumia mama zury
Mimi nalala na mke wa mtu mkuuu ingawa sina senti za kuvimba mmewe kila siku yuko nje ya nchi
In short pesa ina play part ndogo sana kwenye mapenzi ya kweli mkuuuu endelea kuwa simp utakufa huku unajiona hii ni mifano michache tu
😃▶️🚶🚶🚶🚶 Duuh haya basi nimekubaliMasikhara haya....mbona watu mnabishana na tafiti zilizopo.
Eti hela ina play part ndogo sana kwenye mapenzi ya kweli🤣🤣🤣🤣