Hapo wataenda kuitwa stupid yeshee.

Watarudi kukata umeme.
 
Kama hata hujui kwanini kuna kaimu na sio meneja kamili then kuna safari ndefu ya kukuelewesha, mengine tafuta kidogo usisubiri kulishwa tu
 
Give reasons?
hawajapewa fursa ya kusikilizwa

inawezekana wanaosimamisha wenzao ndio wanapaswa kusimamishwa

uchunguzi huru wa watu wa nje ya Wizara ndio wanaweza kutenda haki

Kama Waziri na Katibu hawakufanyia kazi mapendekezo ya kitaalam wanaweza kweli kujihukumu ?
 
Serikali inayoundwa na wezi wa kura haiwezi kuwa na ufanisi katika lolote
 
Mechi ya kimataifa halafu mnaomba radhi watanzania pekee?
Nchi zingine kwny mambo ya kipuuzi kama haya hakuna kuombana radhi kuna kulipana fidia kwa usumbufu na uzembe uliotokea

sie ndio Wazee wa '…Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza ' na ngoma inaishia hapo …nani kishawahi kuishitaki Tanesco kwa shoti zinazounguza Majumba ya watu na mali zingine kwa katika katika na ya kihabithi ya Umeme ?
 
Waziri Pindi Chana Ndio mawaziri wanawake walio onekana wanafaa kupewa wizara.

Kuna mwingine yuko Tamisemi nako Halmashauri zimeoza.

Kuna mwingine yuko kazi na ajira nako kumeoza.

Kuna mwingine kapewa magogoni Leo Msikilizeni huko Mei Mosi muone na mjifunze kuwa wanawake wakipewa nchi ni nini matokeo yake.
 
Heri ungekaa kimya tu maana haufahamu muundo na mifumo ya utendaji serikalini, ndio maana unadhani Karia ndiye anayepanga makato ya uwanja wakati na yeye taasisi yake inagawiwa tu
 
Heri ungekaa kimya tu maana haufahamu muundo na mifumo ya utendaji serikalini
Nchi ina watu wa hovyo hii harafu mnajifanya kujua...makato ya TFF ya gharama za uwanja na muundo wako vinahusiana nini kununua generator nako kunahitaji muundo aisee Nchi ina watu wenye fikra za kimasikini sana hii
 
Bajeti ya July, yenyewe inategemea mkopo kutoka Bank ya Dunia.
Nchi hii ngumu sana utawalaumu hao waliosimamishwa bure.
Nchi nzima tunategemea uwanja mmoja maraisi wanapita tu hakuna anayewaza kujenga uwanja mpya.
 
Amewaonea tu. Uongozi umeingiliwa na wanasiasa. Kina January ndio wanahusika na hayo matatizo.
 
Nchi ina watu wa hovyo hii harafu mnajifanya kujua...makato ya TFF ya gharama za uwanja na muundo wako vinahusiana nini kununua generator nako kunahitaji muundo aisee Nchi ina watu wenye fikra za kimasikini sana hii
Sasa kwa akili yako unadhani Karia ndio anamaintain miundombinu ya Uwanja wa Mkapa? Au nikukumbushe ulichoandika?
 
Sasa kwa akili yako unadhani Karia ndio anamaintain miundombinu ya Uwanja wa Mkapa? Au nikukumbushe ulichoandika?
Faza ishu ya generator ni ndogo sana wala sio Big deal naomba tuishie hapa kweli tumedumaa tupo busy tunajadili umeme wa Taa tuu ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…