Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
ni kweli na mimi kama mumewe ntamshauri akuamishie kwangu, ili ulelewe vzr, ukweniMradi azaliwe na afya njema, wakike ndiye anaeweza kukulea uzeeni.
ndo ivo lazma ukubali kulelewa kwa watu, maana mwanao kawekwa ndani (kaolewa) na huna mtoto wa kiume. Ko wote na mwanao ni mali yangu mpo kwangu nimewaweka ndani nawamiliki mimi kama mumewe mwanao.