Kulikoni? Msafara wa Rais Samia kuwa na magari yote haya, pia ulinzi wake umeongezeka maradufu

Kulikoni? Msafara wa Rais Samia kuwa na magari yote haya, pia ulinzi wake umeongezeka maradufu

Alitakiwa aendelee kuelewesha wasiolewa lakini yeye katu - exclude sisi wengine kuwa "siyo walengwa.."
Ungetaka kueleweshwa ungehifadhi kwanza matusi yako mfukoni ukauliza kwa staha hapo ungeeleweshwa. Ukishaanza na matusi tayari umeshafunga mlango wa kueleweshwa mm si robot ni binadamu mwenye nafsi.
 
Ni ulimbukeni na ushamba ndani yake, kutokujiamini na kujihami, njia nyepesi ya wasaidizi kupiga mpunga kwani maduhuri yanakuwa mengi zaidi, ni kutokuwa sensitive na kujali maisha ya watanzania walio wengi ambao wako duni sana, mimi si mtumishi wenu bali ni mfalme wenu kwani mm ni kila kitu? Au yote hayo na mengineyo?
Ile nayo ni protoko bwasheee lazma izingatiwe
 
Ni ulimbukeni na ushamba ndani yake, kutokujiamini na kujihami, njia nyepesi ya wasaidizi kupiga mpunga kwani maduhuri yanakuwa mengi zaidi, ni kutokuwa sensitive na kujali maisha ya watanzania walio wengi ambao wako duni sana, mimi si mtumishi wenu bali ni mfalme wenu kwani mm ni kila kitu? Au yote hayo na mengineyo?
Msipende kucomment kila jambo la taifa specifically security matters,ukiulizwa unajua kuwa jinsi Raisa akienda mbali karibu na mipaka ulinzi unatakiwa kuongezeka bado utakuwa bado kwenye giza na kutaka kuleta ujuaji.
 
Msipende kucomment kila jambo la taifa specifically security matters,ukiulizwa unajua kuwa jinsi Raisa akienda mbali karibu na mipaka ulinzi unatakiwa kuongezeka bado utakuwa bado kwenye giza na kutaka kuleta ujuaji.
Kunywa maji kwanza mkuu utulize akili. Yeye ndiye rais wa kwanza nchi hii kutembelea kanda ya kaskazini? Hatujawahi kuona mbwembwe kama hizi zinazofanywa katika uchumi huu huu uliodorora kwa Covid 19. Akienda Mtwara jirani na Msumbiji kwenye waasi itakuwaje?
 
Kunywa maji kwanza mkuu utulize akili. Yeye ndiye rais wa kwanza nchi hii kutembelea kanda ya kaskazini? Hatujawahi kuona mbwembwe kama hizi zinazofanywa katika uchumi huu huu uliodorora kwa Covid 19. Akienda Mtwara jirani na Msumbiji kwenye waasi itakuwaje?
Kwani ulikuwa Pluto ndio umerudi??awamu ya 5 ilikuwaje au kisa ni mama mnataka kuleta vijembe vya vijiweni?!tambua Raisi ndio rai namba moja kwenye taifa sasa wewe ulitaka alindwe na masai, elewa uliza utaongezeka pale security services watapoona kuna aja hauelewi kama mipakani ni sehemu hatari zaidi ?unabidi uwe mpole ujifunze mambo kijana utakuta umesoma HKL na unataka kujibizana kuhusu security matters za raisi.
 
Vijana waliowengi wanaamini msafara wote wa raisi ni ulinzi mtupu, kwahiyo akiona magari 50 anadhani ya kuwa yote ni kwajili ya ulinzi wa Raisi.

Raisi anatembea na mawaziri, wakuu wawilaya mkoa husika ambako msafara unapita, mkuu wa mkoa husika na wakuu wa mikoa ya jirani, Viongozi wa chama ngazi ya mkoa na wilaya za mkoa husika, wakuu wa idara tofauti, ulinzi, kitengo cha dharula za kiafya na mambo mengine kama ajari n.k

Kabla hatujatoka hadharani kuuliza Au kukosoa Au kukashfu jambo, nivyema ukajiuliza maswali wewe mwenyewe kwanza pengine majibu unayo.
 
Ni kutafuta attention kwa watu, raia hawana kabisa attention na bi mkubwa, raia hawamuelewi, kwa hio wanaamua ujanja wa kutumia midege na magari kujaza msafara pasipo raia, pia kuvuta raia hasa wale washamba wa helicopter lazima wasogee..

Machinga walivyo na hasira soon watamzomea🤣😂😂.. nilisikia kabisa machinga wanasema watamzomea🤣😂
 
Back
Top Bottom