bante22
Senior Member
- Jan 29, 2020
- 135
- 156
kuna watu walikuwa hawana PHD walikuwa wanajilipa milion 40 kwa mwezi wakati wa mzee Jakaya . kuna mashirika wengi tu walikuwa wanachukua milion 25 na 30 ilikuwa vitu vya kawaida sana kodi za watanzania jamaa alipoingia akasema kiwango cha mwisho milion 15 hutaki ondoka huyu ndio Jpm.