kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
- Thread starter
-
- #101
wanaume wadhaifu wapo wengi siku hizi tena wamelelewa na mamaMans weakness is to his family,ila mkuu kuwa na familia ni jambo jema zaidi,chukua mwanamke lipa mahali tulia usifunge naye ndoa ya serikali wala ya kidini..mana wakaipata cheti hujiona wamefika
Natoa rai kwa kikongwe Evelyn Salt akukumbuke katika ufalme wake wa huba.Wanawake sahihi wapo hata humu wapo ila sio malengo yangu kwa sasa.
Kachanganikiwa uyo kapata vitu kweli leo?Natoa rai kwa kikongwe Evelyn Salt akukumbuke katika ufalme wake wa huba.
Cc: mshamba_hachekwi Mwachiluwi Nyani Ngabu Poor Brain Extrovert Labella Demi Kalpana
😁😁😁 vijana bhanaKachanganikiwa uyo kapata vitu kweli leo?
Acha tu watu wanapenda kitonga wakiona watu wanamilik vitu vikubwa wanapagawa wanasahau kuwa kuna kupambana😁😁😁 vijana bhana
Mawazo ya kimaskini kukwepa majukumuBinafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
Kama ni mkristo tayari wewe ni dhaifu rejea unapokiri ondoleo la dhambiModerator heading isomeke kuoa ni kwa ajili ya wanaume wadhaifu tu
Sio kika mtu ana maisha mazuri anapambana mkuu ,wengine wanauza ngada jombaa ishi maisha yako bwashee.😁😁Acha tu watu wanapenda kitonga wakiona watu wanamilik vitu vikubwa wanapagawa wanasahau kuwa kuna kupambana
yote uliosema ni sahihi ila 😂😂Sasa tuwaache wake zetu kwa sababu ya mtazamo wako kuwa tutaonekana dhaifu.???
Ngoja nikupe siri dogo. Sisi tuliooa kuna mida tunaongeaga vibaya sana kuhusu maisha ya ndoa. Lakini usitishike ukaona ndio maisha yetu. Ndoa ni tamu asikwambie mtu, japo akijitokeza mtu kusema mazuri ya ndoa yake mnaona anatamba na kusema bado ndoa changa na maneno mengine mengi.
Mwanaume anashinda kijiweni akiponda mke wake ila baadae anapitia zawadi dukani kumpelekea mke wake na maisha yanaendelea. Sasa wewe kaa ukiamini yale aliyosema halafu njoo yaanzishie uzi huku JF.
Ina maana wewe ni mjanjahii nchi ina maadui wa3 akiwemo UJINGA
Kwa mantiki hiyo watu wengi wana upeo wa juuJapo mimi sijaoa na sitaoa ila kuoa na kumiliki mke na familia sio jambo dogo, ni watu wenye upeo wa juu wa kujua namna ya kuweka hali yoyote katika msawazo / balance , na mara nyingi wanafaa hata kuwa viongozi wanchi.
Japo mimi sijaoa na sitaoa ila kuoa na kumiliki mke na familia sio jambo dogo, ni watu wenye upeo wa juu wa kujua namna ya kuweka hali yoyote katika msawazo / balance , na mara nyingi wanafaa hata kuwa viongozi wanchi.
absolutely unajua mtu mweusi sijuhi nani kamrogaKumiliki familia hakuhitaji kuoa ndoa za kisheria
nyeto tena mkuuAlisikika kijana mpiga Ny£to akisema "......
nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa🚶🏾Binafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
Nimependa mchango wako.Japo mimi sijaoa na sitaoa ila kuoa na kumiliki mke na familia sio jambo dogo, ni watu wenye upeo wa juu wa kujua namna ya kuweka hali yoyote katika msawazo / balance , na mara nyingi wanafaa hata kuwa viongozi wanchi.
Na UKIWA ZEZETA OA.Ukiwa huna akili usioe, imeandikwa ishini nao kwa akili.
Shukrani mkuu🙏Nimependa mchango wako.