Washasema yuko likizoHili nijambo muhimu na linalo leta hisia Kali kwenye mioyo ya watu. Jambo ni moja tu makonda yuko wapi?
Wako wanao tamani apotee kabisa. Wako wanaoomba hata kusikia tu makonda yuko wapi
Tu naomba familia ya makonda watokee watutulize mioyo yetu. Au viongozi waselikari watokee waseme makonda yuko wapi. Au makonda mwenyewe ajitokeze aseme makonda yuko wapi. Makonda tuondolee hofu
Sijui kwanini anadanganyaHuo ni uongo
Wacha kichwa, magu alishikwa mwili mzima na bado siraili akapita naeMtu ashikwe kichwa na kadinali pengo, afu atikiswe na sumu nefaa
Magu alikua beyond repair πΉπΉWacha kichwa, magu alishikwa mwili mzima na bado siraili akapita nae
ππππ€£π€£π€£π€£
Huyo kadinali Pengo kada wa ccm?Mtu ashikwe kichwa na kadinali pengo, afu atikiswe na sumu nefaa
tulia weweNapata mshuto mkubwa ,
How is this possible for Makonda to be silent for more than 3 weeks?
Kama yupo likizo Hizi taarifa hazimfikiii? kwanini asitoke hdharani?????
Kama kiongozi anaumwa kwani kuwajulisha Uma sio jambo la busara?
Naomba majibu kutoka Jamie forum......Hamjawahi kuacha kufuatilia.....Naomba sana nimsikie Makonda kama yupo hai au lahh....
Isije ikaw ni kama ilivotokea kwa hayati JPM....
taarifa zikafichwaaa weeehhh baadae Umauti.....
Naoomba sanaa nimekuwa na maswali mengi sana
Zipo pia likizo za dharura. Changamoto ni maelezo yasiyojitosheleza.Likizo huwa ni lazima ianze baada ya muda gani?
Nimeweka neno lazima sababu huamini mtu aliyekaa muda mfupi anaweza kuchukua likizo
Bado nasisitiza mtandaoni muingie mkiwa na akili timamu, bila hivyo utageuka jalala la wenye akili. Unarushiwa Jambo unaachwa uhangaike nalo wiki nzima alafu mhusika yupo zake anakula bata mdogo mdogo huku akiwazoom
ina maana akiwa likizo haingii ata grocery kunywa K-VANT ili japo 2mwone?Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.
"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."
Global TV
πππππina maana akiwa likizo haingii ata grocery kunywa K-VANT ili japo 2mwone?
Kaka habar, samahan naomba namba yako ya simu π .Likizo zipo nyingi mojawapo ni sick leave
Kwasasa chadema mnacheza ngoma ya makondaNingeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.
"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."
Global TV
Kwani hiyo ngoma bado ipo?Kwasasa chadema mnacheza ngoma ya makonda