Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hili nijambo muhimu na linalo leta hisia Kali kwenye mioyo ya watu. Jambo ni moja tu makonda yuko wapi?
Wako wanao tamani apotee kabisa. Wako wanaoomba hata kusikia tu makonda yuko wapi
Tu naomba familia ya makonda watokee watutulize mioyo yetu. Au viongozi waselikari watokee waseme makonda yuko wapi. Au makonda mwenyewe ajitokeze aseme makonda yuko wapi. Makonda tuondolee hofu
Washasema yuko likizo

Ova
 
Huyo mbunge wa Arusha sikumuelewa, kama anajitetea vile! Kijana mpendwa ni rafiki yake mkubwa na hawezi kumfanyia ubaya wowote.
 
Mimi Binafsi nimekuwa katika hali ambayo siwezi kulielezea, kwanini kiongozi mkubwa kama RC PAUL MAKONDA ametoweka ghafla bila taarifa rasmi kwa Uma?
Hili ni tatizo kubwa, wengine wanasema Anaumwa,wengine wanasema wamempiga spana, wengine Wanasema yupo likizo ofisi yake pia hautoi majibu yaliyonyooka
kipi ni sahihi ,Makonda Anumwa? Yupo wapi? kwanini msitoe taarifa kamili? "Serikali Naomba mtuweke wazi"
 
Napata mshuto mkubwa ,
How is this possible for Makonda to be silent for more than 3 weeks?
Kama yupo likizo Hizi taarifa hazimfikiii? kwanini asitoke hdharani?????
Kama kiongozi anaumwa kwani kuwajulisha Uma sio jambo la busara?
Naomba majibu kutoka Jamie forum......Hamjawahi kuacha kufuatilia.....Naomba sana nimsikie Makonda kama yupo hai au lahh....
Isije ikaw ni kama ilivotokea kwa hayati JPM....
taarifa zikafichwaaa weeehhh baadae Umauti.....
Naoomba sanaa nimekuwa na maswali mengi sana
 
Mimi ninaomba kama yupo likizo, tupeni hata mahojiano yake na nyie walau atoe neno, hauiwezekani serikali ikkqe kimya mda mrefu na watu wanaulizana, hakafu majibu yanakuja simple tu "YUPO LIKIZO" kama yupo likizo na Afya njema, inamaana haoni yanayozyngumzwa? kwanini asiseme neno lolote?
 
Napata mshuto mkubwa ,
How is this possible for Makonda to be silent for more than 3 weeks?
Kama yupo likizo Hizi taarifa hazimfikiii? kwanini asitoke hdharani?????
Kama kiongozi anaumwa kwani kuwajulisha Uma sio jambo la busara?
Naomba majibu kutoka Jamie forum......Hamjawahi kuacha kufuatilia.....Naomba sana nimsikie Makonda kama yupo hai au lahh....
Isije ikaw ni kama ilivotokea kwa hayati JPM....
taarifa zikafichwaaa weeehhh baadae Umauti.....
Naoomba sanaa nimekuwa na maswali mengi sana
tulia wewe
 
Likizo huwa ni lazima ianze baada ya muda gani?
Nimeweka neno lazima sababu huamini mtu aliyekaa muda mfupi anaweza kuchukua likizo

Bado nasisitiza mtandaoni muingie mkiwa na akili timamu, bila hivyo utageuka jalala la wenye akili. Unarushiwa Jambo unaachwa uhangaike nalo wiki nzima alafu mhusika yupo zake anakula bata mdogo mdogo huku akiwazoom
Zipo pia likizo za dharura. Changamoto ni maelezo yasiyojitosheleza.
Mtu asiyefikiri vizuri aweza kutoa maelezo yanayozidisha shaka na mtafaruku zaidi. Hizi ni zama za watu wenye fikra pana na weledi kuongoza au kutumika kueleza vitu.
 
Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!

Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?

Taarifa kamili hii hapa

"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.

"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."

Global TV
ina maana akiwa likizo haingii ata grocery kunywa K-VANT ili japo 2mwone?
 
Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!

Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?

Taarifa kamili hii hapa

"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.

"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."

Global TV
Kwasasa chadema mnacheza ngoma ya makonda
 
Back
Top Bottom