Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Kibabe sana hii
 
Mwaka 2009 wakati nipo kikazi Visiwani Zanzibar kuna mdada nilikutana nae yule dada bhana ni wa zenji ni swala tano haswa,kuna siku nipanga tukutane kwenye kamgahawa furani hivi aisee alikuja kavaa ijabu na nikabu juuu alafu ilikuwa night kiukweli nilikwazika mno tulivyoachana,

Nikamweleza sikupenda ulivyovaa wakati tuna date akaniomba nimsamehe date ya pilu ilifanyikia gest kiukweli siku hii nilimsaliti mke wangu na mwanamke wa kipemba kilichofanya nisiendelee nae tena yani tumetoka kudate faragha na nilikuwa nikipiga na withdraw ila cha kushangaza anasema ana mimba nilimblock pale pale mpaka leo hata sijuaigi yuko wapi yule binti.
 
Kachukue mwanao Zenji ana miaka 13 sasa!
 
Dah masikini pacha angu domo zege huyo hapo alikuwa haamini kama mko wote
 
Ulikuwa unamwaga nje na mrija(urethra) ulikuwa unausuuza na nini ili kuhakikisha makombo ya mbegu yameisha kabla ya kupiga cha pili?
"Tafakari"
 
Sijaona kosa la jamaa hapo, alikuwa anakupenda kweli ndo maana alipata hilo wenge, ni wewe tu ulikuwa humtaki ndio maana Hannah
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Halafu wala sio kichaa ila sijui kwanini ali behave that way. Maana sio kwamba hata hakuwa na hela useme niliagiza sana akachanganyikiwa, hapana.

Au labda alikuwa anaumwa na tumbo. Nikaona siwezi ku deal naye mimi
May be ungempa nafasi ili observe zaidi kipi kilikuwa kinamsumbua pengine hakuamini kama ataweza kukushawishi mtoke.
 
Kaka nimecheka mpaka nimejitonesha mshono wangu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…