Arusha ni kitu ingine chali angu.Sure. Lema watu wamemchoka. Gambo anakubalika Muriet zaidi, infact, walidhani Muriet lingekua Jimbo jipya but tume wamekataa so hapo mjini wakitaka kushinda wampe Bananga ukizingatia pia Mambo ya dini na nn! Hope umenierewa.
Bananga hana adui. Hachagui wa kukaa nae. Ila ana msimamo na ChademaChadema haina Urafiki na mapandikizi;Bananga huyo ni team ya kina Msando,Nenda Billionaire's pale kwa Msando utajionea Mengi.
Ndio maana makamanda wamemtuma ....Bananga hana adui. Hachagui wa kukaa nae. Ila ana msimamo na Chadema
Mlevi mzuri sana.Bananga ni muislam hanywi POMBE usimchafue
Lema aliwanyoosha eeh!Twende na Bananga
Kuridhika ni mambo ya kitandani hayo,kwny maisha hakuna kuridhika.Mkuu upo sahihi sana lazima tujifunze kurizika na tulichopata miaka alioongoza inatosha aachie damu changa
Labda Chadema ya Kina Msando na Gambo.Bananga hana adui. Hachagui wa kukaa nae. Ila ana msimamo na Chadema
Kuridhika ni mambo ya kitandani hayo,kwny maisha hakuna kuridhika.
Nakubaliana na wewe,wananchi wa Songea huku wanawasubiri mje muwaletee story zenu zile za dar za Stigler's,flyover huku wanafunzi wa vyuo vikuu mliogoma kuwaajiri tangu 2015-2020 wakiwasubiri mje muwapigie zile Nyimbo zenu za SGR.chadema ilishakufa, sasa hivi ni tunajiandaa kuizika tu ..
Hahahah kabisa kabisa mkuu.Hahahhaha akishafikishwa anaridhika sio
Nakubaliana na wewe,wananchi wa Songea huku wanawasubiri mje muwaletee story zenu zile za dar za Stigler's,flyover huku wanafunzi wa vyuo vikuu mliogoma kuwaajiri tangu 2015-2020 wakiwasubiri mje muwapigie zile Nyimbo zenu za SGR.
Push-up za mwaka huu zitakua zile kama za kule 'DOJO'.
Hahah watamwambia kama uchumi wa kati ni sisi kupoteza wateja wetu wa mahindi baada ya kutuzuia kuyasafirisha kwenda nje ya nchi basi ni sawa.Watakwambia wameipeleka songea kwenye uchumi wa kati
Bananga ni msandoTwende na Bananga
Hahah watamwambia kama uchumi wa kati ni sisi kupoteza wateja wetu wa mahindi baada ya kutuzuia kuyasafirisha kwenda nje ya nchi basi ni sawa.
Kweli kabisa. Bananga achaguliweAisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.
Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.
Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Siasa sio chukiTatizo bananga anarubuniwa na mataga kina msando anaoshinda nao kunywa pombe pale thedon
Siasa sio chuki wàache ushamba Mimi ni CCM lakini Nina marafiki na ndugu wa vyama vingineWanataka kutumia urafiki wa Bananga na Msando kumchinja chaliii etu .....
Hivi haujaona MAFURIKO ya watia NIA kwenye ubunge na Udiwani kupitia CCM?Ingekua CCM hapo ingeprint form 1 tu kama ile ya mwenyekiti.