Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Wewe ni mtu wa kwanza nakusikia umesoma afya kwa bahati mbaya tu.Wala hakuna passion ya kukufanya ufe masikini. Watu tulijikuta tu huko kwa bahati mbaya. Tungekuwa kuna kurudia, tusingekwenda huko.
Wewe ni mtu wa kwanza nakusikia umesoma afya kwa bahati mbaya tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Mbona darasa zima la watu zaidi ya 50 walikuwa wanajilaumu kwenda huko? Angalau sasa wanaanzia kamilioni na zaidi. Wakati sisi tunaanza ilikuwa laki 1!! Tukagoma, Waziri Mkuu Sumaye akasema tuache kazi twende popote kwenye mishahara mizuri. Na kweli mimi nikaondoka baada ya hayo maneno.
Upo Tanzania hii Kweli?Kasome AMO miaka 2 tu utapanda mshahara
HahahajahahHahahahahah we utakuwa unazungumzia wages mzee! Kuna wages na mshahara na hii tofauti yake ni kwenye ajira, kazi na kibarua!
Ukiona unalipwa not less than 50K per day jua upo kwenye ajira mzee. Hapa kuna ambao wanalipwa kati ya laki 1 mpaka laki 3 per day kwenye taasisi hizi hizi za serikali ama NGO za kimataifa. Huwezi sema ati mshahara hautoshi wakati account yako inaingiziwa 7.5M kila mwezi!
Less than 30K jua upo kwenye kazi. Hawa ni vibarua waliochangamshwa kidogo na overtimes.
Less than 20K jua unaenda kibaruani. Hawa ndio wanakula wages sema zimekuwa extended kwa mwezi tu.
Mwenye akili na aelewePesa nyingi unajitafutia!
Hakuna mwajiri (Serikali ama Mtu binafsi) Anaefanya biashara yake atakupa pesa ikutoshe!
Ukitaka kikubwa anzisha biashara uibembeleze ikue.
Serikali Siyo mzazi/ndugu yako, ni wafanya biashara so lazima wakunyonye!
Unajua kwa nini ‘shuguri’ zote za Serikali zinaendeshwa kijeshi?
Anajiona anafanya kazi kubwa peke yake kumbe kuna wenzake wametulia washausoma mchezoNchi hii wajinga ni wengi. Yani ka mtu kana diploma kanakuja hapa kanajiona kana stahili zaidi kulko kada zingine.
Kwa nini ulifeli mdogo wangu? Kama kazi kubwa ndo kigezo basi tuanze kutoa mishahara mikubwa kwa wafanya usafi na walinzi.
Ntambafu ungesoma ukawa angalau hata na ka degree
HahahahahWazee wa kugugo Diagnosis na kusoma prescription kwenye vitabu.
Kila Diagnosis ni UTI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa watu bana.
Nurses wanakomaa na Labour, RCH, CTC, Triage
Vituo visipokuwa na pharmacist wao ndio wanakaa kubabakee,[emoji1787]
Halafu kinatokea ki-CO kimoja na shule yake ya Tandabui kinaona mshahara hautoshi[emoji1787]
Nipo DenverUpo Tanzania hii Kweli?
AMO ilishafutwa Miaka mitano iliyopita
Mkuu hata mimi ningejua huu ujinga ungenipita mbaliWewe ni mtu wa kwanza nakusikia umesoma afya kwa bahati mbaya tu.
Kwahiyo msukumo wako wa kwanza kusoma afya ilikuwa mshahara?Mkuu hata mimi ningejua huu ujinga ungenipita mbali
Sio mshahara mkuu...hii wizara watu hawaoni thamani yake .......investment ya muda,pesa na resource nyingine ili uwe mhudumu wa afya tanzania hazilandani na utakachokipata.....Kwahiyo msukumo wako wa kwanza kusoma afya ilikuwa mshahara?
Acha mutu atoe mawazo yake hajaomba Hela kutoka mfukoni mwako Wewe fala.wengine mnaroho za kimaskini sana kwanini yeye apate,Kwani unafikiri MD hawalalamiki kwamba Hela haitoshi,unamawazo nyifu sana,Rudi chuo kasome uwe daktari (MD).
Swali zuriKwahiyo msukumo wako wa kwanza kusoma afya ilikuwa mshahara?
Dr gani au Hawa CO? Kama ni hao hata 250k inamtosha.Mkuu acha kabisa kuna dr analopwa 450k eti hajapata ajira....hii nchi inahitaji revamping
Endeleeni kumbeza Samia,anawatafutia fursa kwa private mnasema anazurura mara anauza nchi,,mtaongea lugha moja.Mpaka 2030 graduates watukawa wengi kiasi kwamba ajira zilizopo kwa sasa zisipo ongezeka mara 5 hazitawatosha hata kwa utoshelezezali wa sasa......
Kunywa pepsi nakuja kulipaBinafsi huwa naona watu wanaostahili kulalamika ni Nurses.
Kazi nyingi na departments nyingi wao ndio wanafanya kazi.
Kazi zote za kujaza MTUHA, kufanya usafi ni wao.
Kazi mpaka Weekends, sikukuu na usiku wa maanane.
Kazi za Labour kila siku cases mpya tena siku hizi Primes kibao, nurses hawalali usiku. Na sasa hivi mama mjamziti akifia Labour sijui utatoa maelezo gani mpaka serikali ikuelewe.
Na baya zaidi Bachelor Nursing ni 4 good years lakini mshahara wao ni TGHS C ambayo ni sawa na watu wa Lab, EHS, na HSM ambao husoma Bachelor miaka 3.
Co kulipwa laki 6 unalialia ni upuuzi wakati hata kazi nyingi huna. Unajipa umuhimu usiokuwa nao.
Kweli kabisa mkuu, kuna kijiwe fulani huko kusini CO ni laki 2 per monthHakuna kitu kigumu kama CO kwenda MD. Ukipata ni bahati ya Mungu kakuangazia tu.
Na sasa hivi CO wamejaa mtaani kama nzige.Na wengine manalipwa mpaka Laki 2 kwa mwezi kwenye vijiwe.
Kwahiyo unakubali kuwa passion ni kitu cha kwanza kabla ya vyote?Sio mshahara mkuu...hii wizara watu hawaoni thamani yake .......investment ya muda,pesa na resource nyingine ili uwe mhudumu wa afya tanzania hazilandani na utakachokipata.....
Passion halafu ukashindwa kumudu maisha ni uchawi tu......