Kumtumia mtu mmoja [Rais Samia] kuwa mwakilishi wa jinsia nzima nchini; ni akili timamu kweli?

Kumtumia mtu mmoja [Rais Samia] kuwa mwakilishi wa jinsia nzima nchini; ni akili timamu kweli?

Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.

Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.

Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.

Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!

Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao😀. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].

Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.

Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;

1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.

How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?

2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?

Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.

Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?

Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?

Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?

Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.

Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani 🤣🤣🤣.

But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?

Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.

Deuces ✌️.
Wivu tuu wa wanaume uchwara,ukiacha kwamba Wameshindwa kuonesha wao wanavyofaa ila pia Wameshindwa kuonyesha jinsi Rais Samia ameshindwa.

Mengine ni blaa blaa za chuki,ukiwemo wewe hapo
 
Mwepesi kwenye nini? Unataka awe mzigo Kiaje?
Duuh, nakumbuka tu pale alipohutubia Taifa akasema

"Kuna Mtu namfahamu kwasasa yupo nje ya nchi, yeye alienda kukopa mamilioni ya fedha katika benki 5 halafu akatokomea na tunamfahamu"

Daah nilimshangaa sana Rais, sasa alituambia ili iweje kama hakumchukulia hatua? Ili walipa kodi tuumie au?

Yaani kama Rais anawafahamu mafisadi na ushahidi wa Ufisadi wao akatoa maamuzi gani?
 
Duuh, nakumbuka tu pale alipohutubia Taifa akasema

"Kuna Mtu namfahamu kwasasa yupo nje ya nchi, yeye alienda kukopa mamilioni ya fedha katika benki 5 halafu akatokomea na tunamfahamu"

Daah nilimshangaa sana Rais, sasa alituambia ili iweje kama hakumchukulia hatua? Ili walipa kodi tuumie au?

Yaani kama Rais anawafahamu mafisadi na ushahidi wa Ufisadi wao akatoa maamuzi gani?
Mtu amekopa pesa zake wewe ulitaka afanyaje? Waliotokomea na Trilioni 1.5 walifanywa nini? 😂😂🤣

Wajinga ndio mliwao
 
Jinsi ni nini na jinsia ni nini?
Jinsi( Gender) ni mahusiano ya kijamii na kiutamaduni yanayozingatia mgawanyi wa majukumu Kwa kuangalia maumbile ya kibayolojia/ Jinsi ( ie Mwanamke au Mwanaume)
Jinsi(Sex) ...ni hali ya kiumbe hai ima Mwanamke au Mwanaume/ kiume au kike.
Nawasilisha!
 
Jinsi( Gender) ni mahusiano ya kijamii na kiutamaduni yanayozingatia mgawanyi wa majukumu Kwa kuangalia maumbile ya kibayolojia/ Jinsi ( ie Mwanamke au Mwanaume)
Jinsi(Sex) ...ni hali ya kiumbe hai ima Mwanamke au Mwanaume/ kiume au kike.
Nawasilisha!
Sioni tofauti yoyote ile katika hizo fasili zako!
 
Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.

Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.

Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.

Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!

Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao[emoji3]. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].

Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.

Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;

1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.

How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?

2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?

Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.

Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?

Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?

Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?

Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.

Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani [emoji1787][emoji1787][emoji1787].

But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?

Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.

Deuces [emoji3577].
Naunga mkono hoja.

Kuna akina Mama makini sana hii nchi.
 
Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.

Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.

Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.

Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!

Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao😀. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].

Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.

Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;

1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.

How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?

2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?

Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.

Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?

Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?

Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?

Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.

Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani 🤣🤣🤣.

But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?

Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.

Deuces ✌️.
Tafadhali fafanua kuhusu "uwezo duni wa Raisi Samia".
 
Unajua hata mwanzoni mwa uongozi wa Magufuli ilisemwa hivyo hivyo kuwa kuna remote kutoka msoga, inawezekana ilikuwa kweli ila baadaye hali ikachange.
Huyu sasa atabadilika lini kama ni hivyo?
 
Samia uwezo wake duni unajulikana.

Kwani kidato cha nne si mnajua aliambulia nini?

Hana vibrant brain ya kuongoza hata udiwani , huyu anaweza kuongoza ngazi ya familia tu.

Ndio maana nasema akigombea hata udiwani uchaguzi ukasimamiwa na tume huru hashindi.
 
Huyo rais tukitake chifu usukumani ndiye Hangaya
 
Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.

Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.

Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.

Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!

Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao😀. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].

Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.

Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;

1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.

How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?

2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?

Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.

Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?

Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?

Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?

Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.

Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani 🤣🤣🤣.

But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?

Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.

Deuces ✌️.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.

Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.

Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.

Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!

Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao[emoji3]. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].

Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.

Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;

1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.

How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?

2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?

Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.

Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?

Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?

Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?

Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.

Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani [emoji1787][emoji1787][emoji1787].

But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?

Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.

Deuces [emoji3577].
Kwanza tupe vigezo ulivyotumia kusema kuwa Samia ana uwezo duni.
 
Back
Top Bottom