Kumtumia mtu mmoja [Rais Samia] kuwa mwakilishi wa jinsia nzima nchini; ni akili timamu kweli?

Kumtumia mtu mmoja [Rais Samia] kuwa mwakilishi wa jinsia nzima nchini; ni akili timamu kweli?

Tangu tulipoanza kuwa kuwawekea nafasi za viti maalum, tayari tulishakubali kwamba wao ni weak hadi hapo wanapowezeshwa(na siye wanaume)
 
Yaani unataka kufananisha mzee wa msoga na mama yako unayemtaja hapa serious kabisa. maana hata jiwe tu hakufikia kwa mzee wetu. Sasa huyo mama unamfananishaje na hao wazee watano. Jamani[emoji23][emoji23][emoji23].
Ndugu zangu, mimi si mwanasiasa. Naomba msinukuu sana sifa hii nimeongea tu uhalisia.
Shida mnaamkia kwenye ulevi kwanza. Ndio tatizo.
 
Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.

Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.

Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.

Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!

Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao😀. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].

Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.

Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;

1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.

How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?

2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?

Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.

Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?

Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?

Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?

Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.

Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani 🤣🤣🤣.

But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?

Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.

Deuces ✌️.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
NN kuna uzi uliosema 'Rais SSH kaharibia Wanawake wote....'' nadhani ndio umekutibua.
Nilivyoelewa, hoja ya mleta mada ni kwamba wale 'Mfuno Dume' wata prove theory yao kwamba hawa ni wa viti maalum na kuteuliwa tu.

Pili, Rais SSH na Wanawake wameanzisha tatizo na 'Mfumo dume' wanatumia fursa hiyo kikamilifu

1. Rais SSH alipoingia madarakani hoja au '' Mantra' ilikuwa ni Rais wa Kwanza Mwanamke, badala ya Rais

2. Watu wakaacha kumwita Rais wakamwita Mama kwa maana ana kitu zaidi kwa umama akiwakilisha Wamama

3. Rais SSH akafanya teuzi kama vile sasa ni zamu yetu ku prove Wanawake wanaweza (gender balance)
Akachaguliwa kuwa mwenyekiti wa vyeo na jinsia duniani.
Wanawake wanapovurunda hatuwezi kumtenga na wao ndio maana wanasema 'ameharibia...'

3. Wanawake wanakuja juu anapokosolewa kama Rais,wanasema ni kwasababu ni Mwanamke.
Rais anapovurunda hawezi kutengwa na wafuasi wake!

Urais wake ameufangamanisha na jinsia na alianzisha yeye, ana jukumu la ku prove kwamba jinsia inaweza.

Akishindwa ku prove, tutamfafanisha na Wanaume waliofeli kwa miaka 60 na hoja ya Wanawake wanaweza itakufa na hoja ya kubalansi jinsia itakufa. Huo ndio msingi wa hoja kwamba ameharibia jinsia nzima.
Mzee nguruvi3,wakupe maua yako,na huo ulioandika ndio ukweli wenyewe
 
hili nalo linakuuma, linakuumiza, linakukwaza na kukusumbua kichwa kweli?

kwani maoni na mtazamo wako ukiwa kushoto na wengine kulia dhidi ya uwezo wa kiutendaji wa huyu muMama kuna shida gan?

kwani ni nini iko mbaya wewe usipoona na usiporidhika na mafanikio ya kimaendeleo ya huyu muMama na wengine wakaona na kuridhishwa na kazi na kasi ya kimaendeleo iliyoletwa na iliyochochewa na huyu muMama?

nimefurahishwa sana na mtazamo wako kwamba huyu muMama hajafanya vya kutosha na kwahivyo hastahili kuwa kielelezo au kiwakilishi cha kwamba wanawake wanaweza.
Nimefurahishwa zaidi na sifa kedekede ulizompatia huyu muMama kwenye uimara na ukubwa wa Jeshi letu.

Lakini nafurahi mno kwa maoni ya wengine kuwa huyu muMama anaupiga mwingi sana kwenye Elimu, Afya, Maji, miundombinu, madini, utalii, biashara, Demokrasia, utawala bora, ajira na kwa ujumla, kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiutamaduni.

Nafurahi mno na mitazamo tofauti dhidi ya utendaji wa wa huyu muMama.
Wewe msimamo wako ni upi?!,
 
Mbona Bangladesh inaongozwa na mwanamke!

New Zealand, Israel, Italy, Australia, Indonesia, Brazil, Korea Kusini, Denmark, Finland, Thailand, n.k, kote huko kumeshakuwa na viongozi wa nchi/ serikali ambao ni wanawake!

Au hujui hilo?
Nani kweli mwanamke anewahi kuiongoza Israel?, kwa nafasi gn?
 
Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.

Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.

Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.

Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!

Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao😀. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].

Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.

Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;

1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.

How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?

2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?

Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.

Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?

Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?

Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?

Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.

Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani 🤣🤣🤣.

But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?

Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.

Deuces ✌️.
Bado,utasema tuh, shetani lishabakia mifupa huko
 
Wanawake chance yao ya kushika hiyo nafasi ya urais ni ndogo sana na ndio maana hata yeye Samia ameipata hiyo chance kama zali, kama Rais Samia angefanya vizuri basi pengine angebadili mitazamo ya watu juu ya wanawake katika masuala ya uongozi hasa kwa nafasi kama hiyo ya urais na kutanua hiyo chance yao.

Sasa kama Samia alichofanya ni kuonyesha kuwa wanawake nao hawawezi uongozi kama wanaume au wanafanyafanya makosa yaleyale kama wanaume basi bora tu wanaume tuendelee kushikilia hiyo nafasi. Kwa sababu Rais Samia aina ya uongozi wake unafananishwa na uliyokuwa uongozi wa Kikwete na Kikwete aliitwa Rais dhaifu ila sasa Samia anaonekana si tu dhaifu bali hana maamuzi yake kama Rais yani ni kama kuna wenye kufanya maamuzi ya mwisho na yeye anaidhinisha anapelekwa pelekwa hana analolijua, sasa kama hiyo inachangiwa na jinsia yake basi bora wanaume.
Tafuta kazi ufanye pimbi ww, awamu hii ya samia fursa kibao 'na mama hataki wafanyabiashara tutaabike kama enzi zake dikteta mmagufuli
 
Msimamo wangu unajulikana. Nausimamia bila chembe ya soni.

Na ndani kabisa katika kilindi cha moyo wangu, najua kuwa niko sahihi. Tena sahihi kabisa.

Lakini kuna suala moja ambalo nimeanza kuliona humu ambalo halinipendezi hata kidogo.

Hii habari ya kuuhusisha uwezo duni wa Rais Samia na wanawake wengine wote nchini!!

Nasoma soma hapa na pale pindi nipatapo wasaa wa kufanya hivyo humu [isomeke: pale mtu anaponinunulia salio la mtandao😀. Umaskini mbaya nyie watu….usikieni kwa mbali tu].

Naweza kusema mara nyingi sasa nimeona watu wakisema humu kuwa Rais Samia kathibitisha kuwa wanawake hawafai kabisa katika nyanja za uongozi…wengine wanasema kuwa Rais Samia ndo keshawaharibia fursa wanawake wenye ndoto za kupata nafasi za juu za kiuongozi, n.k.

Kuna makosa kadhaa hapo ya kimantiki ambayo yananifanya nihoji pia uwezo wa kiakili wa watu wanaoshikilia aina hiyo ya mitazamo;

1. Kushindwa kutenganisha uwezo wa mtu binafsi na badala yake kuuhusisha utovu wake wa uwezo wa kiuongozi na jinsia nzima yenye mamilioni ya watu nchini, ni uwezo duni wa kufikiri.

How come I am able to [easily] compartmentalize her serious lacking of leadership ability and separate it from her gender and therefore not lump all the women together with her? Seriously, how come?

2. Kosa jingine la kimantiki ni; Kama Rais Samia kaonyesha kuwa wanawake hawafai katika nyanja za uongozi wa juu kitaifa, ina maana wanaume ndo wanafaa?

Mpaka kufikia hivi sasa, kati ya marais 6 ambao tumewahi kuwa nao, watano ni wanaume. Mwanamke ni Samia tu.

Ina maana hao wanaume watano wote walifanya kazi maridadi sana katika vipindi vyao vya uongozi?

Walikuza GDP kwa viwango vikubwa sana? Waliboresha viwango vya maisha vya Mtanzania? Walitengeneza ajira nyingi na zilizo bora kwa Watanzania? Walifuta kabisa deni la taifa? Walikuza demokrasia? Walilinda na kutetea haki za watu?

Kama kuna kati ya hao watano wanaume ambao hawakuwa viongozi wazuri, kwa nini hatukusikia maneno ya kuwa hao ambao hawakuwa viongozi wazuri wamethibitisha kuwa wanaume hawafai kushikilia nafasi za juu za kiuongozi nchini?

Zaidi ya miaka 60 ya uhuru, Tanzania bado ni nchi maskini ya kutupwa. Tuko wa mwisho mwisho karibu kwenye kila kigezo cha ubora wa maisha.

Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani 🤣🤣🤣.

But seriously, kama marais wanaume ambao hawakuwa na uwezo mzuri wa kiuongozi hawatumiki kuwa ndo kigezo cha kusema kwamba wanaume hawafai kuwa viongozi, kwa nini Samia ndo atumike kama kigezo cha kusema kwamba wanawake hawafai kuongoza?

Ambaye hafai ni Rais Samia. Siyo wanawake.

Deuces ✌️.
Ni ujinga tu,SAMIA anaendelea kutuambia kwamba wanawake kazi yao ni jikoni kupika tu na si kuongoza.
 
Mwepesi kwenye kila kitu kasoro mwili tu.
Kwahiyo mkuu unataka uniambie samia akitaka kuongoza kiukali na kudhibiti watu wasihojihoji kama alivyofanya magufuri hawezi?
Maana Rais akiamua hata usipomuona wala kumsikia wapo watu wenye kazi ya kushugulika na watu wanaojitoa ufahamu kama nyie mkuu.

Hebu amsheni akili kidogo tu, kwamba kuacha watu kusema, kukosoa , hadi kutukana sio kwamba mtu huyo ni mwepesi!!
Huyu n mtu wa kizazi kipya ambacho kinatamani kupewa changamoto, hivyo msijitoe ufahamu.
 
Sehemu pekee ambayo tupo juu juu kidogo ni jeshi. Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani 🤣🤣🤣.
Jeshi hili hili linalosaka jezi zake kwa wananchi ndilo lipo nafasi ya 6 kwa ubora duniani?

Hapa Napo TUMEPIGWA kwa takwimu za kutengeneza na UVCCM 😂
 
Mimi ni mmoja wa wanaopinga na kukataa siku zote mwanamke kuchukua nafasi ya uongozi wa namba 1 wa nchi na taifa hili..

Hata nani aseme nini na kwa staili yoyote, kwangu mimi siku zote naamini mwanamke hawezi kuwa kichwa cha familia huku mwanaume akiwepo. Taifa na nchi hii nzuri ya Tanzania ni familia nzuri ambayo Mungu ametupa Watanzania..

Kumpa mwanamke nafasi ya kuwa kiongozi mkuu wa taifa hili ni kuvunja na kukiuka kanuni ya asili ya uumbaji wa Mungu na ni lazima taifa hilo lipate adhabu ya kutosha..!

Huko USA uliko kwa miaka yao yote ya kujitawala hawajawahi kufanya kosa hili pamoja na kelele zao. Alijaribu Hillary Clinton kuiwania hiyo nafasi, Lakini system inayojitambua na kuuelewa ukweli huu haikuruhusu jambo hili kutokea na haitakuja kutokea...

Na maandiko ya kitabu cha historia ya ukweli na uumbaji [Biblia] inatufundisha sana juu ya ukweli kuwa, mwanamke position yake siku zote ni ya "usaidizi" kwa mwanaume..

Akivuka mstari wa "usaidizi" na kutaka kutwaa nafasi ya mwanaume, tegemea jamii kuharibiwa. Ilitokea Kwa Mfalme Ahabu kumruhusu mkewe Jezebel kuchukua sehemu ya majukumu ya mfalme. Kilichotokea unajua bila shaka..

Najua ndugu Nyani Ngabu unaweza kuniambia yapo mataifa mengi kama India, Liberia, Germany, Uingereza na mengine ambayo yamewahi kuongozwa na wanawake na mataifa hayo yapo...

Ni kweli. Lakini makosa ya mataifa hayo hayawezi kufanya jambo lisilo halali liwe halali kwetu sisi na ndani ya taifa letu...

Hizi kelele za "gender equality" zinazopigwa na wanawake wakisaidiwa na baadhi ya wanaume, ni sauti ya shetani tu ndani ya watu hao ili kupinga uumbaji na utaratibu wa Mungu...

Usawa kati ya wanaume na wanawake upo ktk eneo moja tu kuwa sisi sote ni "mtu aliyeumbwa na Mungu" ili tutawale uumbaji wake...

Lakini tukija kwenye maswala ya obligations & duties, kila jinsia ilikuwa assigned yake. Mwanaume anasimama kama kichwa na kiongozi kwa mwanamke [final decision maker]...

Mwanamke ni msaidizi wake na atasikilizwa Kila inapohitajika lakini mwisho wa siku mwanaume atafanya maamuzi...

Hii principle ina - apply katika levels zote kuanzia ktk familia, jamii and at the national level...

Msimamo wangu huu hauna maana ya kuwa nadharau jinsia ya kike. Lakini huu ni ukweli wa asili unaotakiwa kusemwa kwa uwazi ili Kila mtu aelewe..
 
Back
Top Bottom