Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Ephen ameandika hapa tayari au unataka iandikwe huko halafu iletwe na majahazi kama kitangulizi cha ukoloni tena?
ephen_ kauliza kwanini hao watutsi wanawapaka uchafu watoto wachanga.
Siyo kwamba kaleta andiko linalowataka mpake watoto hiyo damu na kueleza faida zake. Yeye kauliza, hajaleta andiko ambalo kalifanyia utafiti na kapata matokeo sasa nae kawa mtume kaja na andiko lake.
 
Haya thibitisha kuwa andiko lako ni sahihi na hiyo damu ipo wapi tuipake
 
Nimeamini
 
Ni ujinga tu.
 
Pengine inawezekana ni kweli hao Watutsi hupaka damu ya uzazi kwa watoto wao.

Kama ni kweli, Basi huo ni utamaduni wao na uhuru wao wa kimila kufanya hivyo.

Lakini hakuna ukweli wowote kwamba hiyo damu ya uzazi itawakinga hao watoto na husda za walimwengu.

Hizo ni imani zao uchwara tu zisizo na ukweli wowote.

Hata uchagani miaka ya zamani walikuwa wanaamini kuzaa watoto mapacha ni nuksi kwenye ukoo.

Hivyo ilikuwa ukizaa watoto mapacha, wanamuua mtoto(pacha) mmoja wakiamini eti wanafuta laana kwenye ukoo.

Kumbe ni mila uchwara tu za kijinga.
 
Ndio nasikia Leo,labda ni mila.ya kwenu huku kwetu haipo.
 
Serikali yetu sikuvu ifanye utafiti wake na kama ni kweli basi maelekezo haya yawekwe kwenye vipeperushi vya mama mjamzito
Hii serikali ambayo inapuuzia mambo ya maana ndio unaitegemea ikufanyie utafiti?
 
Inasaidia nini🤣
Hayo hayo wanayosemaga kila siku mara sijui husda, kurogwa, magonjwa n.k.. yule manzi kutokea ngarenaro nilishindwana naye hapo tu.. alikuwa na mambo ya kiswazi sana... simlaumu sana mitaa aliyokulia ndio chanzo.
 
Huo ni ujinga tu wa waafrica,..hamnaga nuksi, uchawi,muujiza, wala BARAKA,....🥲🥲
 
I was today's years old when I learned this... Anyway, labda watuambie Warutsi, sijui kama hiyo mila ipo Tanzania
 
I was today's years old when I learned this... Anyway, labda watuambie Warutsi, sijui kama hiyo mila ipo Tanzania
Unajua jinsi inavyofanyika? Walisema inasaidia nini tofauti na kuzuia husda?
 
Ramadhan kareem shekhe.
 
Kuna ile uchagani watoto wakiota meno ya juu kwanz ni laana na nuksi😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…