Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
ephen_ kauliza kwanini hao watutsi wanawapaka uchafu watoto wachanga.Ephen ameandika hapa tayari au unataka iandikwe huko halafu iletwe na majahazi kama kitangulizi cha ukoloni tena?
Siyo kwamba kaleta andiko linalowataka mpake watoto hiyo damu na kueleza faida zake. Yeye kauliza, hajaleta andiko ambalo kalifanyia utafiti na kapata matokeo sasa nae kawa mtume kaja na andiko lake.