Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Ni ukweli. Inakuwa mijinga mijinga na mizembe. Amuwahi hiyo tabia aache. Huwa wanakuwa mafalaSina scientific research ila kwa uzoefu wangu watoto ambao wananyonya vidole kwa umri mrefu wanakuwa na shida kwenye IQ yao. Ama anakuwa mzubaifu, mzito kiakili, mpole kupitiliza au mnyonge. Na mara nyingi hujiliza sana.
Tazama anavyokuwa ananyonya kidole anavyopigwa na butwaa au mshangao. Huwa naona ni weakness ya kupambana nayo mapema kwa mtoto.
Aisee, poleni sana!Mdogo wangu anakaribia 18 yrs na bado ananyonya vidole
Tulipaka upupu, shubiri sijui alovera, pilipili tulifunga hadi plaster lakini hakuacha
'Junya' ni nini mkuu?!!!!Kwakua ni wa kike is good but if angekua boy wanakuaga majunya
Aliwazalo mjinga ndo linalomtokea.......afande seleHao ndo wanakuja kuwa wanyonyaji vikojoleo
Naunga mkonoHakuna shida hiyo ni tabia ambayo iko kwenye kizalia cha ukoo/familia.. In fact mtoto anayenyonya kidole sio msumbufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kiongozi!Ataacha mwenyewe akianza shule
AhsanteMuachisheni wakati angali mdogo. Mnunulieni kichuchu anyonye
Mara nyingi wanakuaga wamezubaa/wazembe
Hakuna anayejua! Tuliona tu akitaka kulala basi lazima akinyonye kidole ndo usingizi unamjia vizuri......hiyo akiwa mdogo sana!Ilikuaje hadi akafikia hatua hiyo?
Wa kumdharau tu huyo!Jaribu kuonyesha japo chembe ya ustarabu
Ahsante sana kwa alert hiiSina scientific research ila kwa uzoefu wangu watoto ambao wananyonya vidole kwa umri mrefu wanakuwa na shida kwenye IQ yao. Ama anakuwa mzubaifu, mzito kiakili, mpole kupitiliza au mnyonge. Na mara nyingi hujiliza sana.
Tazama anavyokuwa ananyonya kidole anavyopigwa na butwaa au mshangao. Huwa naona ni weakness ya kupambana nayo mapema kwa mtoto.
AhsanteMdogo angu alikua ananyonya kidole gumba cha mkono wa kulia, alikua anakatazwaa sana had kuchapwa fimbo akikutwa, ila akikaa mda ananyonya tena,
Alikuja kuacha akiwa Sec O level, ilitokea tyuuh akaacha. Ko hata huyo ataacha yeye mwenyewe, ila wengine wanaendelea had ukubwani.
Oh, shukrani mkuu!Mimi wa kwangu nilimpaka pilipili wapi zaidi anajiminya macho ikawa inamuwasha nikaacha nikavikata kiaina kwa wembe lakini wapi akalia kwa ule muda kaona damu baadae nakutana naye anyonya nikaachana nae
Alikuja kuacha mwenyewe akiwa na miaka 9, haya mdogo wake kwa sasa ana miaka 5 yumo tu kwenye kunyonya mbaya zaidi nae ni vidole gumba vyote.
Ko huyo wa kwako muache atacha tu muda ukifika.
🤣🤣🤣Mimi nilikuwa nayonya vidole viwili mpaka miaka 18 nikaacha mwenyewe mimi nilikuwa nayonya huku nafinya finya sikio la kulia, mpaka leo linakujika lenyewe mpaka watu wananishangaa😃
Ahsante sana!!Nilijifunza chuoni hii kwenye saikolojia. Hiyo nguvu ya kunyonya huzaliwa nayo viumbe vyote vinavyonyonya. Ndiyo maana mbuzi, ng'ombe na nguruwe vikizaliwa tu hakuna mwalimu wa kumfundisha kunyonya. Wanyama pori ni zaidi huanza kunyonya ndani ya dakika 5 baada ya kuzaliwa. Nguvu hii huitwa libido energy au conscious activity kama sijasahau mana nimesoma zamani. Ni sawa na hamu ya kufanya mapenz Kwa wanyama huzaliwa nayo na hawafundishwi, paka, njiwa, kuku, huyo mtoto muda ukifika ataacha na akikua ataanza kufanya mapenz bila kuingia darasani kufundishwa. Mungu katuumba hivyo.
Ni kawaida japo kwangu mm najitahidi kumkataza toka akiwa mdogo mfano mwangu wa kiume alianza kula mikono toka akiwa na 2mnth ukimbeba anaweka mkono mdomoni anaanza kutafuta pozi la kidole gani anyonye nikajitahidi kumkataza na mama yake akafanya hivyo mpaka kakua akawa ameacha bila kupaka pilipili. Usihofu ni tabia ya kawaida ukitaka asizoee mikono mnunulie pacifier itamkeep busy muda ambao ananyonya vidole. Na haihusiani na mtoto kushiba au kutoshibaNdo hivyo wakuu, naomba nisaidiwe hilo!. Najua kuna wataalamu na wazoefu wa kung'amua tabia humu.
Mtoto ni wa kike, still todler (2+ yrs). Mtoto huyu halali kama hayanyonya kidole chake gumba cha mkono wa kushoto huku mkono wa kulia akiutumia kumfinyafinya mama yake (au yeyote aliyemshika). Na sehemu anayopenda kumfinya aliyemshika ni kwny kiwiko cha mkono.
Ukimtoa kidole hiko halali na lazime akupigie kelele za kilio. Huhakikisha analala nacho na muda pekee wa kuweza kumtoa ni wakati wa amelala fofofo!
Ahsante sana mkuuMara nyingi mitoto ya hivi huwa mijinga mijinga na yenye kudeka. Mpake pilipili mimi sipendi mtoto wa kunyonya kidole