Kuna kikundi kinapinga Rais Samia kuongea na upinzani

Uongo mweupe huo.....

CCM ya 2015 ilikuwa na sera ya "hapa kazi tu"....

Hayati JPM alitekeleza kivitendo malalamiko ya watanzania dhidi ya UFISADI/MAFISADI PAPA.....

Cha ajabu baadhi ya waliokuwa watuhumiwa wa ufisadi na ambao walichafuliwa sana na CHADEMA ndio haohao waliokuja KUSAFISHWA KWA DODOKI kupitia "kubadilisha gia angani alikosema mh.Mbowe".....

#SiempreCCM
#KaziIendelee
 
Lissu anaongea na samia kitu gani. Lissu kazi yake kukashifu kusema uongo na kuzua mambo. Mwanasiasa kama huyo unaongea naye nini. Maana hata kura hawana hawana kitu kisiasa wamekwisha.
 

You nailed it, ccm imeshapoteza ushawishi kwa umma, na hicho kikundi cha walaji kinachojiita system, kinajua fika mama akiongea na wapinzani kisha akalazimika kuweka uwanja sawa wa kufanya siasa, ni hatari kwa ccm, lakini kukubwa zaidi na mlo wao kupotea. Hao wanaojiita system wengi ni wenye vyeo kwenye taasisi za umma, na viongozi wastaafu wanaoendelea kulipwa mpaka wafe. Wanajua ccm ikitoka madarakani mbali ya kupoteza ulaji, hata jela wataishia kwa uhuni walioufanya.
 
Mkuu hivi kiuhalisia, Je! Unafikiri ni nani ambaye akishinda katika nafasi ile ya kinyang'anyiro urais wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kati ya Edward Lowassa na JPM. Ilikuwa ni kupitia mbeleko la vyombo vya dola na tume ya uchaguzi isiyokuwa huru na ya haki ndipo matokeo yalipotangazwa.
 
Alisema ana taarifa za uhakika bodyguard wa magufuli kafariki ila tukamuona, lissu muongo sana
Yaani mh.Lissu ni "pathological lier".....

Nilitegemea asafishe hali ya hewa kwa kuomba msamaha kuwa ALIDANGANYA kuhusu yule ndugu....daah mpaka leo amebaki kimya.....

Mh.TL haaminiki......
 
"Pang'ang'a" za Tundu Lissu tu hizo....

Jamaa ni bingwa wa kuchezea maneno....hajali hata kama ni ya UONGO.....

#KaziIendelee
#NchiKwanza
#SiempreSSH

Na yeye ni kama Majaliwa kuwa Magufuli ni mzima na yuko ofisini anapiga kazi, hivyo tupuuze uzushi wa mitandaoni na watu wasiolitakia mema ya letu?
 
Kufikiri?!!

Uhalisia ni kuwa JPM aliyekuwa anaaminika na wananchi wengi kwa uzalendo wake kuntu ,usafi wa maadili ,kukosa makandokando kulimpelekea kupata kura ZOTE ZILE...

It's a fact not fictitious......

#KaziIendelee
 
Na yeye ni kama Majaliwa kuwa Magufuli ni mzima na yuko ofisini anapiga kazi, hivyo tupuuze uzushi wa mitandaoni na watu wasiolitakia mema ya letu?
Labda unataka tu kukomalia jambo lililokuwa wazi.....

Kwani mh.Kassim Majaliwa aliitoa hiyo "statement" wiki kadhaa kabla ya mh.Rais kututangazia MSIBA.....
 
Kuna wana CCM kwenye kamati kuu yao wanataka kumharibia mama kwenye uongozi wake, awe makini sana na watu hao.

Leo mama yupo mtu kati kuhusu kesi ya ugaidi...wao wapo poa tu na wake zao.
 
Unataka kutuaminisha kuwa mh.Rais na mwenyekiti wa CCM hakijui chama vilivyo?!!

Haijui misimamo ya chama vilivyo?!!

CCM ni imani na itikadi....chama hiki cha kijamaa kamwe hakiwezi kumpitisha mwenyekiti "mwepesi" aliye "bendera fuata upepo".......

#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
#KaziIendelee
 
Fujo gani? mmmmuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…