Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Unayemsemea labda si Sugu aliyekuwa mbunge wa Mbeya Mjini !Braza Sugu sasa hivi ana 50 miaka au kuikaribia wala hana ndoa ndio nilisikia yupo kwenye mchakato. Mimi ni nani niovertake wakubwa!?
Watoto wanachelewa aje kwenda shule kisa baba yao hakuoa mapema?Kuchelewesha watoto kwenda shule
Kumbuka kuna magonjwa yasiyotibika. Kuoa kuna kuepusha na mengi mkuuSi anakuwa kachelewa kupata stress
Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.
Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.
Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.
All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .
Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
Yale mambo baba amefikisha umri wa miaka 50 mtoto wake ana miaka 10, basi mtoto anaanza kukuita ...babu..Kumbe wanaume na nyie mna deadline? Nikajua ni sisi wadada tu[emoji848]
Aisee 😀😀Yale mambo baba amefikisha umri wa miaka 50 mtoto wake ana miaka 10, basi mtoto anaanza kukuita ...babu..
Ilimtokea Head Master wetu kipindi hicho..
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]umenikumbusha mbaliAnakua ngoloo
Sio kweli Kuna mzee ana miaka 88 mwaka Jana amepata mtoto, huku mtoto wake akiwa na miaka 66 mwanaume ni nguvu na ela ndo kitu Cha msingiWe jifariji tu mkuu, ukifika umri huo utajua
Hahahahaha wapi mkuu?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]umenikumbusha mbali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shusheni nondo waungwana naona huu uzi unanitetea kwa aslimia 90
Kama kastahafu na ana mibiashara yake[emoji849]Nina ushahidi na mmoja, anaishi karibu na Mbezi stendi. shem kwakweli anadeka. Ila ndo madhara yake ni kwamba kama ni mwaajiriwa hachelewi kustaafu wakati watoto bado wadogo.
[emoji23][emoji23] sugu moto chiniUnayemsemea labda si Sugu aliyekuwa mbunge wa Mbeya Mjini !
Kwani huyo ubwabwa wake wa harusi ulishalika SIKU MINGI TU....
Wastaafu walio wengi wanafulia.
UsikaliliWastaafu walio wengi wanafulia.
Wenye biashara za kumaitain status wachache sana.
Amepima DNA au ndo wale wale watoto wa kupandikiza hii dunia ina mambo mengiSio kweli Kuna mzee ana miaka 88 mwaka Jana amepata mtoto, huku mtoto wake akiwa na miaka 66 mwanaume ni nguvu na ela ndo kitu Cha msingi