Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamii inachangia katika kuongeza stress juu ya hilitatizo ni jamii inayo kuzunguka hawachelewi kukunyooshea vidole iwe ndung au majirani na marafiki.
nina bro wangu 40 ana watoto 5 kwa wanawake watatu bado anadunda tu yuko single analea tu watoto anasema hajue ataoa lini.
kikubwa binafsi unaplan gan katika maisha yako kuoa ni anasa tu
Dah wanavosemaga age is just a number why kuwe na expire date tena! 🤔Usidanganywe, Wanaume na sisi tunaexpire mapema, mwanaume ukifika miaka 35 hujaoa ni vigumu binti wa miaka 25 shuka chini kukupenda kama ulivyo, wanaume tukifika miaka 35 ni mwanzo wa kupendewa hela na mabinti bcoz twaonekana vibabu financial services
Kama tunavyofahamu mwanaume kuna age ikifika umri wako unaanza kuonekana umeenda haswa kuanzia age of 36,40 na kuendelea at this age bado kuna vijana hawajaoa na hata mpango wa kuoa bado kabisa.
Hebu leo tuweze kushare kuna madhara gani ya mwanaume kuchelewa kuoa.
Jamani baby kwa hiyo jina langu ndio linikoseshe wife material 🙄🙄🙄Dah tunaexpire mapema mno na siyo fair kabisa! Mi nashangaa naanza kuulizwa home "vipi tunakula lini ubwabwa khaa" 😜
Ahadi gani tena na huo ugumu mkuu?🤔
Hii ni post bora ya mwaka 2021Si anakuwa kachelewa kupata stress
Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.
Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.
Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.
All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .
Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
Hili jina hili shauri yako!usije laumu tunakukimbia😀Jamani baby kwa hiyo jina langu ndio linikoseshe wife material 🙄🙄🙄
Mimi 34 hta mchumba sinaMm Nina 27 , vipi sijachelewa?
Km ni muislam nitafute tuondokane na hii aibu, mimi nina 34 bado nang'aa sharubu sisomekiDah mimi nakaribia 30 ila sina hata mtoto wa kusingiziwa! Unanishauri vipi[emoji848] niachane na uzazi nishachelewa ama?
Umebahatika, karibuUkimpata wa hivyo Ni bahati Kweli kwa mwanamke atakaemuoa, wengi wao huwaga na hamu Sana ya ndoa hivyo wanadekeza Sana wake zao
Nimeshambahatisha mmoja huku, kanioa akiwa na 45 najidekea na kujionea raha tu mieUmebahatika, karibu
Nina ushahidi na mmoja, anaishi karibu na Mbezi stendi. shem kwakweli anadeka. Ila ndo madhara yake ni kwamba kama ni mwaajiriwa hachelewi kustaafu wakati watoto bado wadogo.Ukimpata wa hivyo Ni bahati Kweli kwa mwanamke atakaemuoa, wengi wao huwaga na hamu Sana ya ndoa hivyo wanadekeza Sana wake zao
Hahaha mpeleke taratibu, usimzimisheNimeshambahatisha mmoja huku, kanioa akiwa na 45 najidekea na kujionea raha tu mie
Umeona like yangu huko?Si anakuwa kachelewa kupata stress
Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.
Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.
Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.
All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .
Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
Nadhani shida kubwa hapa ni ile kutaka kusimamia maendeleo ya watoto ukiwa bado una nguvu zako zote.[emoji8]Kumbe wanaume na nyie mna deadline? Nikajua ni sisi wadada tu[emoji848]