Kuna madhara gani mwanaume anapochelewa kuoa?

Kuna madhara gani mwanaume anapochelewa kuoa?

tatizo ni jamii inayo kuzunguka hawachelewi kukunyooshea vidole iwe ndung au majirani na marafiki.
nina bro wangu 40 ana watoto 5 kwa wanawake watatu bado anadunda tu yuko single analea tu watoto anasema hajue ataoa lini.
kikubwa binafsi unaplan gan katika maisha yako kuoa ni anasa tu
Jamii inachangia katika kuongeza stress juu ya hili
 
Usidanganywe, Wanaume na sisi tunaexpire mapema, mwanaume ukifika miaka 35 hujaoa ni vigumu binti wa miaka 25 shuka chini kukupenda kama ulivyo, wanaume tukifika miaka 35 ni mwanzo wa kupendewa hela na mabinti bcoz twaonekana vibabu financial services
Dah wanavosemaga age is just a number why kuwe na expire date tena! 🤔
 
Kama tunavyofahamu mwanaume kuna age ikifika umri wako unaanza kuonekana umeenda haswa kuanzia age of 36,40 na kuendelea at this age bado kuna vijana hawajaoa na hata mpango wa kuoa bado kabisa.

Hebu leo tuweze kushare kuna madhara gani ya mwanaume kuchelewa kuoa.

Kama hajaona na ametulia haina shida, unaweza kukaa as many years as possible. Mbona kuna wana wana miaka kibao hawajaona na wanaishi pia tu, wazee kama akina Ayoub Rioba wako poa tu na maisha yanasonga na kazi wanapiga fresh. Shida uwe na umri huo halafu uwe macho juu na ushenzi mwingi, ngoma ipo ya kutosha watakuzika na kilo 5
 
Si anakuwa kachelewa kupata stress

Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.

Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.

Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.

All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .

Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
Hii ni post bora ya mwaka 2021
Hii post naiwekea lamination.
Mtoa post ni rafiki yangu wa kwanza
 
Kama mwanaume ameweza kuwapata watoto bila kuoa/kufunga ndoa, hawezi kuoa milele, Ndoa nyingi zinatarajia watoto tu ila mengine yote unaweza kuyapata nje ya ndoa hivyo ule umuhimu wa ndoa hauonekani tena kama zamani. Maana watu wanazaa tu na maisha yanenda.
 
Ukimpata wa hivyo Ni bahati Kweli kwa mwanamke atakaemuoa, wengi wao huwaga na hamu Sana ya ndoa hivyo wanadekeza Sana wake zao
Nina ushahidi na mmoja, anaishi karibu na Mbezi stendi. shem kwakweli anadeka. Ila ndo madhara yake ni kwamba kama ni mwaajiriwa hachelewi kustaafu wakati watoto bado wadogo.
 
Si anakuwa kachelewa kupata stress

Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.

Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.

Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.

All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .

Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.
Umeona like yangu huko?
 
ll in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .

Haka ka sentence nimekaelewaaaa
 
Back
Top Bottom