Kuna muda unaweza kuishiwa pesa hadi ukatamani kumkopa mdada wa kazi

Vincious circle of poverty. Familia maskini, mtoto anazaliwa kwenye umaskini, anakosa elimu Bora na ujuzi anapata shida kupata kazi na anaendelea kubaki kwenye umaskini mpaka apate external force to push out from poverty
Hyo external force ni ipi mkuu?
 
Daah...imenibidi nicheke tu[emoji16]...maana kadhia ya njaa naijua
 
Reactions: EEX
PESA PESA PESA Dah Sijui nani alievumbua haya mambo

Nilishinda siku 6 bila ya kula chakula chochote. Ulikua ni mwendo wa kunywa maji tu dumu za kuogea nilizimaliza zote. mwisho niliumwa na tumbo vibaya mno, ilikua ni michubuko tumboni.
 
PESA PESA PESA Dah Sijui nani alievumbua haya mambo

Nilishinda siku 6 bila ya kula chakula chochote. Ulikua ni mwendo wa kunywa maji tu dumu za kuogea nilizimaliza zote. mwisho niliumwa na tumbo vibaya mno, ilikua ni michubuko tumboni.
Duh pole... inawezekanaje aisee...siku zote hizo bila kula
 
hakuna kushuka heshima kama unalipaaa...heshima inashuka kama unakopa alafu unakuwa msumbufu...!! me kuna ndugu nlimkopa laki akasema atanilipa hakunilipa hadi kesho lakini akiwa na shida mimi huwa namsadia bila kinyongoo

Hivi unajua kuna tendency hile ukimkopa mtu kwa mara ya kwanza ukamlipa kwa wakati, sasa siku ukipata tatizo utamuwaza yeye akusaidie tena sasa hapa lazima hata kama atakupa kuna hali inakua sio ya kawaida na heshima aliyokua anakupa awali anaweza ishusha binadamu banah
 
Akija wikiendi ijayo mkumbushe,nipe namba zako niwe nakupigia ili umkumbushe hio scenarios
 

Kama kweli vile [emoji2955]
 
Unakopaje kwa dada wa kazi hana uwezo wowote haka kukupa 50K, 100k.
Kuna housegal unamlipa 100k mbona ni kitu kinawezekana, hosuegal wa siku hizi sio wale wakulipwa elfu20, au elfu 30, maisha yamebadilika
 
Kwa kweli hapo mtu unatakiwa ujifikirie kama kuna umuhumi wa kuleta viumbe wengine dunia hii.. Lakini kama hali inaruhusu hata wasizidi wawili...ili waweze kusaidiana mbele kwa mbele sio unaleta mmoja halafu ghafla wote mnavuta....sipati picha....
Man,Maisha saa nyingine Ni upuuzi linapokuja swala la watoto,Mobutu alikuwa na watoto wanne wa kiume wakaanza kufa kwa kufuatana wakiwa watu wazima,wa Kwanza kuzaliwa kafa 1993,wa pili 94,wa nne 98 na wa tatu 2006
 
Kuna housegal unamlipa 100k mbona ni kitu kinawezekana, hosuegal wa siku hizi sio wale wakulipwa elfu20, au elfu 30, maisha yamebadilika

Naona Wengi wanalipwa 50,000- 70,000. Wana matumizi yao ya kama wanawake wengine, nguo, viatu, sanitary items, kanisani, msikitini, vocha, Kutuma pesa kidogo nyumbani.

Anyway labda inawezekana.
Nani kakwambia
Amefanya kazi 12 months anapata 60,000 yake
Hatumii hovyo anashindwa kukukopesha laki?
Niambie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…