hahahahahaha yani naona kabisa ramani zero niko na friji nauza tu.Kuuza vitu hapana, labda iwe ni kwaajili ya kuokoa uhai lakini njaa tu hii acha iume tu
[emoji23][emoji23][emoji23] japo haifurahishiKuna mwaka nilikua nimefulia sina hata sumni nikafanya kosa la mwaka nimeongea na mwanangu mmoja akaniita sehemu njaa inagonga vibaya badala ya kunipa hela ananinunulia bia tu .Mwisho tukaanza nyagi nikawaka vibaya sana akanidrop gheto ye huyooo kwake.Kimbembe nimestuka usiku mnene ile njaa ikawa imejidabo .Simu haina kifurushi,ndani hamna kitu kuna gesi tu.Nguvu sina .Kwa mara ya kwa nza nilikua supu ya marando.Kwa wasiojua marando ni majani yale ya viazi vitamu .Na niliyala asubuhi ,mchana na jioni .Kwa bahati nzuri bi.mkubwa jioni akanipigia ndio pona yangu .Vinginevyo nilikua nafia ndani.
Kufa kiume na tai shingoniKuna mwaka nilikua nimefulia sina hata sumni nikafanya kosa la mwaka nimeongea na mwanangu mmoja akaniita sehemu njaa inagonga vibaya badala ya kunipa hela ananinunulia bia tu .Mwisho tukaanza nyagi nikawaka vibaya sana akanidrop gheto ye huyooo kwake.Kimbembe nimestuka usiku mnene ile njaa ikawa imejidabo .Simu haina kifurushi,ndani hamna kitu kuna gesi tu.Nguvu sina .Kwa mara ya kwa nza nilikua supu ya marando.Kwa wasiojua marando ni majani yale ya viazi vitamu .Na niliyala asubuhi ,mchana na jioni .Kwa bahati nzuri bi.mkubwa jioni akanipigia ndio pona yangu .Vinginevyo nilikua nafia ndani.
Mzee njaa habari nyingine yaani nilifanya kung'oa na kuchemsha tu.Kufa kiume na tai shingoni
Yani wanaume mateso ni makali sanaaKuna mwaka nilikua nimefulia sina hata sumni nikafanya kosa la mwaka nimeongea na mwanangu mmoja akaniita sehemu njaa inagonga vibaya badala ya kunipa hela ananinunulia bia tu .Mwisho tukaanza nyagi nikawaka vibaya sana akanidrop gheto ye huyooo kwake.Kimbembe nimestuka usiku mnene ile njaa ikawa imejidabo .Simu haina kifurushi,ndani hamna kitu kuna gesi tu.Nguvu sina .Kwa mara ya kwa nza nilikua supu ya marando.Kwa wasiojua marando ni majani yale ya viazi vitamu .Na niliyala asubuhi ,mchana na jioni .Kwa bahati nzuri bi.mkubwa jioni akanipigia ndio pona yangu .Vinginevyo nilikua nafia ndani.
Njaa inawauma wanaume tu?Yani wanaume mateso ni makali sanaa
Labda kwasababu hakuna mwanamke aliyekuja kusema kidogo afe njaaNjaa inawauma wanaume tu?
Ubarikiwe mkuuKuna siku nimeagiza Msosi kwa Mama n'tilie, nataka kuanza kula kuna Jamaa kaja kaniambia NDUGU YANGU NAOMBA NIPIGE MATONGE MAWILI TU NIPATE NGUVU YA KWENDA NYUMBANI kwakweli ilinidi nimuachie tu ale, Msoto bhana uusikie kwa mwenzako tu
Kuna mwaka nilikua nimefulia sina hata sumni nikafanya kosa la mwaka nimeongea na mwanangu mmoja akaniita sehemu njaa inagonga vibaya badala ya kunipa hela ananinunulia bia tu .Mwisho tukaanza nyagi nikawaka vibaya sana akanidrop gheto ye huyooo kwake.Kimbembe nimestuka usiku mnene ile njaa ikawa imejidabo .Simu haina kifurushi,ndani hamna kitu kuna gesi tu.Nguvu sina .Kwa mara ya kwa nza nilikua supu ya marando.Kwa wasiojua marando ni majani yale ya viazi vitamu .Na niliyala asubuhi ,mchana na jioni .Kwa bahati nzuri bi.mkubwa jioni akanipigia ndio pona yangu .Vinginevyo nilikua nafia ndani.
Mimi na jamaa yangu enzi hizo tulipata njaa kubwa na hatukuwa na pesa pale buguruni, Tukaingia hoterini tukala tuliposhiba tukaanzisha ugomvi wa ngumi tulikabana kweli kweli watu wakajaaa kutugombelezea! Ila kuachanishwa kila mtu akazuga anatafta jiwe LA kumpasua mwenzake Mara ebo hao tukatokomea tukaja kutana ilala boma tukasepa!
Njaaa mbaya sana kwakweli
😂 kwenye kusachi hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu uzi nimecheka sana, maana umekuja wakati muafaka kabisa. Mimi ijumaa, jumamosi na jumapili nilikuwa sina hata mia, ninaposema mia mnielewe...ni ile mia yenye moja na sifuri mbili. Nilianza kusachi mikoba, mabegi kabatini labda kuna siku nilisahau hata buku wapi...bahati nzuri jana nimeenda kanisani nikakutana na mtu nilikuwa namdai elfu tatu ndio akawa mkombozi wangu. Maisha haya yasikie tu
Kumbe tupo wengiHuwa namkopa mara nyingi tu! Kikubwa ni kuwa mwaminifu wa kulipa kwa wakati ili kulinda heshima yako
We acha tu mwenza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] kwenye kusachi hapo
😂Mimi na jamaa yangu enzi hizo tulipata njaa kubwa na hatukuwa na pesa pale buguruni, Tukaingia hoterini tukala tuliposhiba tukaanzisha ugomvi wa ngumi tulikabana kweli kweli watu wakajaaa kutugombelezea! Ila kuachanishwa kila mtu akazuga anatafta jiwe LA kumpasua mwenzake Mara ebo hao tukatokomea tukaja kutana ilala boma tukasepa!
Njaaa mbaya sana kwakweli